Mawaziri wa sasa,wa Nyerere ,mbingu na nchi
Peter AmbilikileBARAZA la Mawaziri la sasa ambalo lina asilimia 95 ya wasomi na wenye umri zaidi ya miaka 50, limekuwa likikumbwa mara kwa mara na kashfa za ufisadi na kukosa uwajibikaji, ukilinganisha na baraza la Mwalimu Julius Nyerere na Rais wa kwanza wa Zanzibar, Sheikh Amani Abeid Karume.Uchambuzi uliofanywa na gazeti hili unaonesha kwamba kati ya mawaziri 31 kamili, ni mawaziri sita tu ndiyo wenye umri wa miaka chini ya 50.Mawaziri hao ni Waziri wa Fedha, Saada Mkuya (40), Waziri wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMKUTANO WA MAWAZIRI WA MAZINGIRA NA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE KUTOKA NCHI ZA KAMATI YA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA KUFANYIKA JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-H3yK9HZUKjw/U_8Tw9CETlI/AAAAAAAGKq4/Zdf2fqmuGMk/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kufanyika Agosti 29, jijini Dar
Alitoa rai hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar-es-salaam kuhusu mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika jijini Dar-es -salaam katika ukumbi wa...
11 years ago
Dewji Blog30 May
Dkt. Bila afungua mkutano wa tatu wa Baraza la Mawaziri wa nchi za maziwa makuu na nchi majirani za umoja wa kudhibiti Silaha ndogo (RECSA)
kamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Mkutano Maalum wa tatu wa Baraza la Mawaziri wa Nchi za Maziwa Makuu na Nchi Majirani zinazounda Umoja wa kudhibiti Silaha ndogo (RECSA), uliofanyika leo mchana kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam. Umoja huo unaundwa na nchi 15 ambazo ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Ethiopia, Somalia, Sudan, Sudan Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC),...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8yYdnClpwTE/U4d1UcmbArI/AAAAAAAFmUo/V9mfgDWoBwA/s72-c/02.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILA AFUNGUA MKUTANO WA TATU WA BARAZA LA MAWAZIRI WA NCHI ZA MAZIWA MAKUU NA NCHI MAJIRANI ZA UMOJA WA KUDHIBITI SILAHA NDOGO (RECSA).
![](http://1.bp.blogspot.com/-8yYdnClpwTE/U4d1UcmbArI/AAAAAAAFmUo/V9mfgDWoBwA/s1600/02.jpg)
10 years ago
GPLTOFAUTI YA MAWAZIRI WA KIKWETE NA WALE WA NYERERE!
10 years ago
Habarileo22 Feb
Askofu: Wanaoua albino kuikosa mbingu
WATU wanaojihusisha na mauaji ya albino kwa lengo la kusaka vyeo au utajiri, wameonywa waache tabia hiyo mara moja kwa kuwa Mungu anawaona na kuchukizwa na vitendo vyao.
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Mawaziri sasa chapeni kazi
HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete juzi alikata mzizi wa fitina kwa kufanya mabadiliko katika Baraza lake la Mawaziri. Katika Baraza hilo ambalo liliapishwa jana, zimo sura mpya kumi, huku watano wakitupiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HGvx18zq6OA/VWQiEIaZTkI/AAAAAAAHZ4c/DMCK6h9xQcc/s72-c/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
MAWAZIRI WA FEDHA WA NCHI ZA UKANDA WA AFRIKA WAJADILI MAENDELEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-HGvx18zq6OA/VWQiEIaZTkI/AAAAAAAHZ4c/DMCK6h9xQcc/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
Akizungumza na vyombo vya habari mchana huu DKt.Likwelile ambaye ni amemuwakilisha Waziri wa Fedha na katika Mkutano wa Benki ya Dunia amesema kuwa,”Mkurungezi wa Kanda ametoa ripoti ya mwaka, ameelezea ni namna gani ukanda huu wa Afrika ulivyokuwa ukifanya kazi za...
10 years ago
VijimamboMAWAZIRI WA FEDHA WA NCHI ZA UKANDA WA AFRIKA WAJADILI MAENDELEO
Akizungumza na vyombo vya habari mchana huu DKt.Likwelile ambaye ni amemuwakilisha Waziri wa Fedha na katika Mkutano wa Benki ya Dunia amesema kuwa,”Mkurungezi wa Kanda ametoa ripoti ya mwaka, ameelezea ni namna gani ukanda huu wa Afrika ulivyokuwa ukifanya kazi za maendeleo, ameelezea ripoti hiyo kuwa inagusa nchi zote sita za Afrika. Nchi hizo ni pamoja na Rwanda, Tanzania,Uganda, Kenya, Ethiophia na Visiwa vya Shelisheli, Aidha nchi hizo zimefanya kazi vizuri. Alisisitiza...