Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hofu bandarini

MAJINA ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), waliohusika kutoa makontena 2,431 bila kulipa ushuru kati ya Machi hadi Septemba 2014 katika Bandari ya Dar es Salaam, yamepatikana na kufikishwa kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Uingizaji shehena waongezeka bandarini

UINGIZAJI wa shehena katika bandari za mamlaka umeongezeka kutoka tani 1.185 wakati wa uhuru mwaka 1961 hadi kufikia tani 13,500  mwaka jana. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Urasimu bandarini Mombasa kushughulikiwa

Watumiaji wa bandari ya Mombasa nchini Kenya huenda wakawa na afueni, kufuatia mkataba wa kupunguza urasimu utakaosainiwa leo

 

11 years ago

Mwananchi

Mwakyembe, bandarini hapako vizuri

Tanzania ni nchi ambayo kijiografia imekuwa na bahati ya kutoa huduma kwa nchi sita zinazotegemea Bandari ya Dar es Salaam kupokea mizigo yao kutoka ng’ambo.

 

10 years ago

Habarileo

TPA kuimarisha huduma bandarini

UONGOZI wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), umeelezea nia yake ya kuzidi kuboresha Bandari ya Dar es Salaam na kuifanya kuwa lango kuu la kupitisha mizigo kwa nchi za ukanda wa Afrika Mashariki, Kati na Kusini.

 

9 years ago

Mtanzania

Watumishi 12 mbaroni wizi wa kontena bandarini

DSC00351Jonas Mushi na Ruth Mnkeni, Dar es salaam

JESHI la Polisi   limewakamata watumishi 12 wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuwachunguza kuhusu   wizi na utoroshaji wa makontena 329 katika bandari ya Dar es Salaam.

Saba kati yao wanatoka TRA ambao walisimamishwa kazi na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

Wengine wanatoka taasisi nyingine za serikali ambazo polisi hawakutaka kuzitaja   hadi wakamilishe uchunguzi dhidi yao.

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai,   Diwani Athumani alisema jana...

 

9 years ago

Mwananchi

Ufisadi mwingine waibuliwa bandarini Dar

Serikali imepoteza jumla ya Sh48.47bilioni baada ya makontena 11,884 na magari 2,019 kupitishwa badarini Dar es Salaam bila kulipiwa kodi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ahoji rushwa za TRA bandarini

MBUNGE wa Viti Maalumu Dk. Pudenciana Kikwembe (CCM), jana aliihoji serikali akitaka kujua namna ilivyopunguza rushwa kupitia Mamlaka ya Mapato (TRA) upande wa bandari tangu kuanzishwa kwa mfumo mpya wa...

 

9 years ago

Mtanzania

Kassim: Sh 200,000 ziliniondoa bandarini

Kassim MgangaNA CHRISTOPHER MSEKENA

NYOTA wa Bongo Fleva, Kassim Mganga, amesema kabla hajaanza kufanya muziki alikuwa mfanyakazi wa kupokea na kutoa mizigo kwenye bandari ya Dar es Salaam, lakini kipaji chake cha muziki kilimwachisha kazi hiyo kutokana na ujira mkubwa aliokuwa akipata kupitia muziki wake.

Kassim alisema kwa mwezi alikuwa akilipwa Sh 200,000 kwa kazi ya bandarini lakini katika onyesho lake moja la muziki alipata Sh 500,000 ndipo akaamua kuacha kazi ya bandari na kuendelea na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Polisi wazuilia meli bandarini Mombasa

Polisi nchini Kenya wanakagua meli inayoshukiwa kubeba dawa za kulevya katika bandari ya Mombasa baada ya operesheni iliyotekelezwa usiku wa manane.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani