Mwakyembe, bandarini hapako vizuri
Tanzania ni nchi ambayo kijiografia imekuwa na bahati ya kutoa huduma kwa nchi sita zinazotegemea Bandari ya Dar es Salaam kupokea mizigo yao kutoka ng’ambo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo06 Dec
Hofu bandarini
MAJINA ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), waliohusika kutoa makontena 2,431 bila kulipa ushuru kati ya Machi hadi Septemba 2014 katika Bandari ya Dar es Salaam, yamepatikana na kufikishwa kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
Urasimu bandarini Mombasa kushughulikiwa
10 years ago
Habarileo30 Mar
TPA kuimarisha huduma bandarini
UONGOZI wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), umeelezea nia yake ya kuzidi kuboresha Bandari ya Dar es Salaam na kuifanya kuwa lango kuu la kupitisha mizigo kwa nchi za ukanda wa Afrika Mashariki, Kati na Kusini.
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Uingizaji shehena waongezeka bandarini
UINGIZAJI wa shehena katika bandari za mamlaka umeongezeka kutoka tani 1.185 wakati wa uhuru mwaka 1961 hadi kufikia tani 13,500 mwaka jana. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana na...
9 years ago
Mtanzania03 Dec
Kassim: Sh 200,000 ziliniondoa bandarini
NA CHRISTOPHER MSEKENA
NYOTA wa Bongo Fleva, Kassim Mganga, amesema kabla hajaanza kufanya muziki alikuwa mfanyakazi wa kupokea na kutoa mizigo kwenye bandari ya Dar es Salaam, lakini kipaji chake cha muziki kilimwachisha kazi hiyo kutokana na ujira mkubwa aliokuwa akipata kupitia muziki wake.
Kassim alisema kwa mwezi alikuwa akilipwa Sh 200,000 kwa kazi ya bandarini lakini katika onyesho lake moja la muziki alipata Sh 500,000 ndipo akaamua kuacha kazi ya bandari na kuendelea na...
9 years ago
Mwananchi28 Nov
Makontena 31 ya magogo yakamatwa bandarini Dar
9 years ago
Bongo517 Nov
Baby Madaha akutana na ‘majanga’ bandarini

Baada ya kukamilisha kununua vifaa mbalimbali vya utayarishaji wa filamu kwaajili ya kampuni yake mjini Dubai, Baby Madaha amedai kukutana na changamoto bandarini.
Ameiambia Bongo5 kuwa hali hiyo imesababisha mzigo wake kukaa kwa muda mrefu bandarini hapo.
“Nimekutana na changamoto kubwa sana bandarini,@ amesema. “Kutoa kontena lako mchakato umekuwa mkubwa mpaka umeniharibia ratiba zangu, ni usumbufu tu wa TRA, mara leo wakague kesho utasikia kingine,” amesema Baby Madaha.
“Nashukuru Mungu...
10 years ago
BBCSwahili18 Sep
Polisi wazuilia meli bandarini Mombasa
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Ufisadi mwingine waibuliwa bandarini Dar