Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwakyembe, bandarini hapako vizuri

Tanzania ni nchi ambayo kijiografia imekuwa na bahati ya kutoa huduma kwa nchi sita zinazotegemea Bandari ya Dar es Salaam kupokea mizigo yao kutoka ng’ambo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Hofu bandarini

MAJINA ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), waliohusika kutoa makontena 2,431 bila kulipa ushuru kati ya Machi hadi Septemba 2014 katika Bandari ya Dar es Salaam, yamepatikana na kufikishwa kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urasimu bandarini Mombasa kushughulikiwa

Watumiaji wa bandari ya Mombasa nchini Kenya huenda wakawa na afueni, kufuatia mkataba wa kupunguza urasimu utakaosainiwa leo

 

10 years ago

Habarileo

TPA kuimarisha huduma bandarini

UONGOZI wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), umeelezea nia yake ya kuzidi kuboresha Bandari ya Dar es Salaam na kuifanya kuwa lango kuu la kupitisha mizigo kwa nchi za ukanda wa Afrika Mashariki, Kati na Kusini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uingizaji shehena waongezeka bandarini

UINGIZAJI wa shehena katika bandari za mamlaka umeongezeka kutoka tani 1.185 wakati wa uhuru mwaka 1961 hadi kufikia tani 13,500  mwaka jana. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana na...

 

9 years ago

Mtanzania

Kassim: Sh 200,000 ziliniondoa bandarini

Kassim MgangaNA CHRISTOPHER MSEKENA

NYOTA wa Bongo Fleva, Kassim Mganga, amesema kabla hajaanza kufanya muziki alikuwa mfanyakazi wa kupokea na kutoa mizigo kwenye bandari ya Dar es Salaam, lakini kipaji chake cha muziki kilimwachisha kazi hiyo kutokana na ujira mkubwa aliokuwa akipata kupitia muziki wake.

Kassim alisema kwa mwezi alikuwa akilipwa Sh 200,000 kwa kazi ya bandarini lakini katika onyesho lake moja la muziki alipata Sh 500,000 ndipo akaamua kuacha kazi ya bandari na kuendelea na...

 

9 years ago

Mwananchi

Makontena 31 ya magogo yakamatwa bandarini Dar

Wizara ya Maliasili na Utalii imekamata makontena 31 yaliyokuwa na magogo ya mninga katika Bandari ya Dar es Salaam yenye thamani ya zaidi ya Sh300 milioni ambayo yalikuwa yanasafirishwa kwenda China.

 

9 years ago

Bongo5

Baby Madaha akutana na ‘majanga’ bandarini

12145122_923324371079622_578685198_n

Baada ya kukamilisha kununua vifaa mbalimbali vya utayarishaji wa filamu kwaajili ya kampuni yake mjini Dubai, Baby Madaha amedai kukutana na changamoto bandarini.

12145122_923324371079622_578685198_n

Ameiambia Bongo5 kuwa hali hiyo imesababisha mzigo wake kukaa kwa muda mrefu bandarini hapo.

“Nimekutana na changamoto kubwa sana bandarini,@ amesema. “Kutoa kontena lako mchakato umekuwa mkubwa mpaka umeniharibia ratiba zangu, ni usumbufu tu wa TRA, mara leo wakague kesho utasikia kingine,” amesema Baby Madaha.

“Nashukuru Mungu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wazuilia meli bandarini Mombasa

Polisi nchini Kenya wanakagua meli inayoshukiwa kubeba dawa za kulevya katika bandari ya Mombasa baada ya operesheni iliyotekelezwa usiku wa manane.

 

9 years ago

Mwananchi

Ufisadi mwingine waibuliwa bandarini Dar

Serikali imepoteza jumla ya Sh48.47bilioni baada ya makontena 11,884 na magari 2,019 kupitishwa badarini Dar es Salaam bila kulipiwa kodi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani