Aagiza waandishi makanjanja wafichuliwe
WAHITIMU wa Uandishi wa Habari wa Chuo cha Uandishi wa Habari Morogoro (MSJ) wametakiwa kuwafichua waandishi wa habari wasio na sifa, waojiingiza kwenye tasnia ya habari. Imeelezwa kuwa waandishi hao wasio na sifa, wanaifanya taaluma hiyo ionekane kuwa ni ya uchochezi mbele ya jamii na iliyokosa mwelekeo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Feb
‘Makanjanja’ michezoni wasipewe nafasi
10 years ago
Mtanzania25 Feb
Mtandao: Walioficha fedha nje wafichuliwe
Elias Msuya na mashirika ya habari
MTANDAO wa ONE wenye makao yake nchini Afrika Kusini umewataka Waafrika Kuungana na kutia saini azimio la kuitaka Benki ya Malipo ya Kimataifa (BIS)kuweka wazi taarifa za fedha zilizofichwa katika benki za nje ili kusaidia katika mapambano dhidi ya rushwa.
Benki hiyo yenye makao yake makuu nchini Uswisi ilianzishwa tangu mwaka 1930 ikiwa na lengo la kuratibu benki kuu duniani katika kuzilinda kifedha na kukuza uhusiano wa kimataifa.
Benki hiyo sasa imetoa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0mRYsTNfsTY/VbjFrQRCHDI/AAAAAAAC9Dc/Qvr15tviQZk/s72-c/2.jpg)
KAMATI YA HARAMBEE KUWASAIDIA WAANDISHI WA HABARI YAKABIDHI MILIONI 20 KWA WAANDISHI WENYE MAHITAJI YA MATIBABU
![](http://1.bp.blogspot.com/-0mRYsTNfsTY/VbjFrQRCHDI/AAAAAAAC9Dc/Qvr15tviQZk/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Fa5_n9_MOso/VbjFqqe6J3I/AAAAAAAC9DU/P_FbShviPM0/s640/3.jpg)