Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtandao: Walioficha fedha nje wafichuliwe

Elias Msuya na mashirika ya habari
MTANDAO wa ONE wenye makao yake nchini Afrika Kusini umewataka Waafrika Kuungana na kutia saini azimio la kuitaka Benki ya Malipo ya Kimataifa (BIS)kuweka wazi taarifa za fedha zilizofichwa katika benki za nje ili kusaidia katika mapambano dhidi ya rushwa.
Benki hiyo yenye makao yake makuu nchini Uswisi ilianzishwa tangu mwaka 1930 ikiwa na lengo la kuratibu benki kuu duniani katika kuzilinda kifedha na kukuza uhusiano wa kimataifa.
Benki hiyo sasa imetoa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

SUMAYE: Walioficha fedha nje watazirudisha; Magufuli haiingii Ikulu 2015


Fredrick SumayeWaziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye, amesema kama Lowassa atafanikiwa kuingia madarakani Watanzania walioficha fedha nje ya nchi watazirudisha.Sumaye alitoa kauli hiyo jana alipohutubia mkutano wa kampeni katika Uwanja wa Laini Polisi mjini Nzega, Mkoa wa Tabora.
Kwa mujibu wa Sumaye, fedha hizo ambazo Serikali ya CCM imeshindwa kuzirudisha zitatakiwa kurudi kwa sababu ni mali ya Watanzania.
“Jana (juzi) mmemsikia Magufuli (Mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli), akisema...

 

11 years ago

Habarileo

Aagiza waandishi makanjanja wafichuliwe

WAHITIMU wa Uandishi wa Habari wa Chuo cha Uandishi wa Habari Morogoro (MSJ) wametakiwa kuwafichua waandishi wa habari wasio na sifa, waojiingiza kwenye tasnia ya habari. Imeelezwa kuwa waandishi hao wasio na sifa, wanaifanya taaluma hiyo ionekane kuwa ni ya uchochezi mbele ya jamii na iliyokosa mwelekeo.

 

10 years ago

Mwananchi

Changamoto za miamala ya fedha kwa njia ya mtandao- 2

Wiki kadhaa zilizopita niliandika makala kuhusu changamoto zilizopo katika kufanya miamala ya fedha kwa kwa njia ya mtandao.

 

10 years ago

Michuzi

WIZI WA FEDHA KWA KUTUMIA MTANDAO TISHIO DUNIANI

Jitihada za serikali katika kupambana na uhalifu wa mitandao imeungwa mkono kutokana na baadhi ya vyuo kuanzisha mitaala yenye somo la ulinzi wa  mitandao. Moja ya jitihada za serikali katika kukabiliana na changamoto hiyo ni kupeleka muswada wa kutunga sheria ya uhalifu wa mtandao ya mwaka 2015  katika mkutano wa 19 wa bunge la jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ambao ulipitishwa na bunge hilo. Taarifa ya waziri wa Mawasiliano , Sayansi na Teknologia , Profesa Makame Mbarawa kuhusu sheria...

 

11 years ago

Mwananchi

Zitto: Siwataji walioficha mabilioni Uswisi ng’o

Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe amevunja ukimya na kusema hayuko tayari kwa sasa kuwataja Watanzania wenye mabilioni huko Uswisi na kuitaka Serikali ifanye uchunguzi.

 

10 years ago

Vijimambo

Watanzania Waishio Nje ya Nchi sasa Kupata Filamu za Kitanzania Kupitia Mtandao


Mheshimiwa Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara akisoma hotuba fupi mbele za waandishi wa habari na wageni waalikwa waliohudhuria hafla fupi ya Uzinduzi wa Mpango wa Kuuza Filamu za Proin Mtandaoni.Mkurugenzi wa Makampuni ya Proin, Mh Johnson Lukaza akisoma hotuba fupi kwa Mgeni rasmi ambae pia Ni Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Mh Dkt Fenella Mukangara wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa kuuza filamu za Proin mtandaoni. Muigizaji Emmanuel...

 

10 years ago

GPL

WATANZANIA WAISHIO NJE YA NCHI SASA KUPATA FILAMU ZA KITANZANIA KUPITIA MTANDAO‏


Mheshimiwa Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara akisoma hotuba fupi mbele za waandishi wa habari na wageni waalikwa waliohudhuria hafla fupi ya Uzinduzi wa Mpango wa Kuuza Filamu za Proin Mtandaoni.
Mkurugenzi wa Makampuni ya Proin, Mh Johnson Lukaza akisoma hotuba fupi kwa Mgeni rasmi ambae pia Ni Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Mh Dkt Fenella Mukangara wakati wa… ...

 

10 years ago

Mwananchi

MCHANGO WA MAWAZO: Tunawashukuru waliotutunzia fedha zetu nje

>Watanzania tunalalamika. Mimi pia nimeambiwa mara nyingi kwamba ninaandika makala za kulalamika.

 

11 years ago

Mwananchi

Mnyika aishukia Serikali utoroshaji fedha nje ya nchi

>Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imeilipua Serikali kwa kushindwa kudhibiti utoroshwaji mkubwa wa fedha kwenda nje.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani