Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cheyech ashinda dhahabu Glascow

Na kuinyakulia Kenya medali yake ya kwanza katika mashindano ya Jumuiya ya Madola

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mwangangi ashinda dhahabu-Sopot

Caleb Ndiku ameinyakulia Kenya medali yake ya dhahabu ya pekee katika mashindano ya raidha ya dunia mjini Sopot Poland.

 

10 years ago

Michuzi

MTANZANIA ASHINDA MEDALI MBILI ZA DHAHABU SWAZILAND.

 Bingwa wa mita 1500, Basil John kutoka Jeshi la Polisi Tanzania akimaliza mbio katika uwanja wa Mavuso mjini Mbabane Swaziland ambapo alifanikiwa kuchukua nafasi ya  katika michezo ya majeshi ya Polisi kwa nchi za Kusini mwa Afrika(SARPCCO) inayoendelea nchini Swaziland.(Picha na Frank Geofray wa Jeshi la Polisi-Swaziland)Bingwa wa mita 1500, Basil John kutoka Jeshi la Polisi Tanzania akipongezwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi la Swaziland baada ya kumvalisha medali ya dhahabu katika michezo ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Michezo ya Jumuiya ya Madola kuanza-Glascow

Mashindano ya Jumuiya ya Madola kufunguliwa rasmi hii leo mjini Glascow, Scotland na Malkia wa Uingereza

 

11 years ago

BBCSwahili

Farah aaga mashindano ya Glascow kunani?

Bingwa na Olimpiki wa mbio za mita elfu tano na kumi kwa wanaume Mo Farah amejiondoa kutoka mashindano ya Jumuiya ya Madola kutokana na jeraha

 

11 years ago

BBCSwahili

Tumbaku 'dhahabu' ya Malawi

Malawi ni miongoni mwa nchi zinazozalisha tumbaku kwa wingi duniani. Uchumi wake unategemea kilimo cha zao hilo kwa asilimia 75. Na Baruan Muhuza

 

11 years ago

Habarileo

Jubilee ya Dhahabu Muungano

TANZANIA, leo inasherehekea miaka 50 ya Muungano wa kihistoria wa Tanganyika na Zanzibar, huku Rais Jakaya Kikwete akisema uko salama na kusisitiza hana shaka utaendelea kudumu na kwamba wale wachache wanaochukia na wanaotaka uvunjike wana lao jambo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Dhahabu ya Samunge ni Alluvium’

KAMISHNA wa Madini Kanda ya Kaskazini, Alex Mayagane, amethibitisha kuwa madini yanayochimbwa kwenye Kijiji cha Mgongo, wilayani Ngorongoro ni dhahabu aina ya ‘alluvium’ . Alitoa kauli hiyo jana wakati akitoa taarifa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Dhahabu’ ya Samunge yatafitiwa

MKUU wa Wilaya ya Ngorongoro, Elias Wawa Lali, amesema kuwa wataalamu wa madini wanaendelea na utafiti kubaini endapo madini yanayoendelea kuchimbwa na wananchi kwenye maeneo ya milima na Mtoni kwenye...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tineja Mnigeria kupokonywa dhahabu

Chika Amalaha, mshindi wa dhahabu ya unyanyuaji uzani Glasgow atapokonywa dhahabu yake leo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani