Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tineja Mnigeria kupokonywa dhahabu

Chika Amalaha, mshindi wa dhahabu ya unyanyuaji uzani Glasgow atapokonywa dhahabu yake leo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Polisi mzungu ashtakiwa kwa kuua tineja mweusi

Askari huyo alimfyatulia tineja huyo risasi 16 punde baada ya kumfumania akitoboa gurudumu la gari la polisi mjini Chicago Marekani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hofu Russia na Qatar kupokonywa uwenyeji

Russia na Qatar huenda zikapokonywa uwenyeji wa kombe la dunia 2018 na 2022 iwapo ushahidi wa ufisadi utapatikana amesema afisa wa FIFA

 

10 years ago

Habarileo

Auawa kwa kipigo akipinga mama yake kuolewa na tineja

MKAZI wa kitongoji cha Izia, manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, Sylvester Mtoni (32) ameuawa kikatili na baba yake wa kambo wakishirikiana na bibi yake baada ya kushambulia kwa ngumi, mateke na rungu.

 

11 years ago

GPL

...KIKONGWE MIAKA 100 ADAI KUPOKONYWA SHAMBA!

Stori: Chande Abdallah na Denis Mtima, Mwanza
UONEVU! Bibi kizee, Mwamini Abdallah anayekadiriwa kuwa na umri wa zaidi ya miaka 100 (alikuwepo wakati wa Vita ya Kwanza ya Dunia ya 1914), anadai kunyang’anywa shamba na ndugu zake kisha kutelekezwa na kumsababishia kuishi kwa tabu. Bibi kizee, Mwamini Abdallah. Akizungumza na waandishi wetu, bibi huyo anayeishi katika Kijiji cha Ngeleka-Usagara mkoani hapa alidai kwamba...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wajane kata ya Msalala Mbeya wadai kupokonywa mali wanapokata kurithiwa

Baadhi  ya wanahabari wanaoshiriki  katika warsha ya mtandao  wa kijinsia  Tanzania (TGNP)  wakiwa katika warsha  ya  siku  mbili  jijini  Mbeya.

Baadhi  ya waraghbishi  wa  ngazi  ya  jamii  kutoka kata ya Msalama wilaya ya  Mbeya  vijijini  wakiwa katika  warsha hiyo.

DSC_0677

Mwezeshaji  wa  warsha  hiyo akiwaonyesha baadhi ya mambo yaliyoibuliwa na  waraghbishi  wa ngazi ya jamii wilaya ya  Mbeya  vijijini.

Na  MatukiodaimaBlog

WAKATI serikali  na  wanaharakati  mbali mbali   wakiendelea ...

 

11 years ago

Habarileo

Mnigeria kizimbani dawa za kulevya

RAIA wa Nigeria, Anthony Okafor (52) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kusafirisha dawa za kulevya zenye thamani ya Sh milioni 124.4.

 

10 years ago

GPL

MNIGERIA AOZA PENZI LA JOKATE

Stori:  Hamida Hassan na Gladness Mallya
Kutoka moyoni! ‘Ubuyu’ mpya mjini ni madai ya staa wa muziki wa Nigeria, Panshak Zamani ‘Ice Prince’ kuoza akilitamani penzi la staa wa Kibongo, Jokate Mwegelo ‘Jojo’. Staa wa muziki wa Nigeria, Panshak Zamani ‘Ice Prince’ kuoza akiwa na staa wa Kibongo, Jokate Mwegelo ‘Jojo’. MNIGERIA ABEMBELEZA
Habari kutoka kwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mnigeria atwaa ubingwa wa dunia wa Scrabble

Raia mmoja wa Nigeria amewashangaza ulimwengu wa mchezo wa kujenga maneno ya kizungu -Scrabble, kwa kumshinda muingereza na kuibuka bingwa wa dunia.

 

10 years ago

GPL

MNIGERIA AMPATIA MASOGANGE PASIPOTI YA SAUZI

Stori: Sifael Paul na Imelda Mtema Habari ya mjini kwenye ulimwengu wa mastaa Bongo ni taarifa kuwa video queen maarufu, Agness Gerald ‘Masogange’ amepatiwa passport (pasipoti) ya kuishi nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ na mwanaume anayedaiwa kuwa ni mfanyabiashara raia wa Nigeria. Video queen maarufu, Agness Gerald ‘Masogange’. MWANAUME KAMWINGIZA MKENGE?
Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani