Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hofu Russia na Qatar kupokonywa uwenyeji

Russia na Qatar huenda zikapokonywa uwenyeji wa kombe la dunia 2018 na 2022 iwapo ushahidi wa ufisadi utapatikana amesema afisa wa FIFA

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Pinda akutana na kiongozi wa kampuni ya gesi ya Qatar na kutembelea eneo la ujenzi wa bandari mpya ya Qatar.

PG4A5517

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Bw.  Otty Msuku  ambaye ni Mtanzania ,  Mtalaamu wa upimaji ardhi katika mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar  wakati alipotembelea eneo la ujenzi wa bandari hiyo akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo Desemba 22, 2014. Katikati ni Mkurugenzi mwendeshaji wa Mradi huo, Don Morrison. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A5521

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikaribishwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mradi wa Mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar, Bw. Yusuf...

 

10 years ago

BBCSwahili

Qatar 2022: Qatar yapinga madai ya Amnesty

Qatar imepinga madai ya Amnesty International kuwa inawadhulumu wafanyikazi wanaojenga viwanja

 

11 years ago

BBCSwahili

Tineja Mnigeria kupokonywa dhahabu

Chika Amalaha, mshindi wa dhahabu ya unyanyuaji uzani Glasgow atapokonywa dhahabu yake leo

 

11 years ago

GPL

...KIKONGWE MIAKA 100 ADAI KUPOKONYWA SHAMBA!

Stori: Chande Abdallah na Denis Mtima, Mwanza
UONEVU! Bibi kizee, Mwamini Abdallah anayekadiriwa kuwa na umri wa zaidi ya miaka 100 (alikuwepo wakati wa Vita ya Kwanza ya Dunia ya 1914), anadai kunyang’anywa shamba na ndugu zake kisha kutelekezwa na kumsababishia kuishi kwa tabu. Bibi kizee, Mwamini Abdallah. Akizungumza na waandishi wetu, bibi huyo anayeishi katika Kijiji cha Ngeleka-Usagara mkoani hapa alidai kwamba...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wajane kata ya Msalala Mbeya wadai kupokonywa mali wanapokata kurithiwa

Baadhi  ya wanahabari wanaoshiriki  katika warsha ya mtandao  wa kijinsia  Tanzania (TGNP)  wakiwa katika warsha  ya  siku  mbili  jijini  Mbeya.

Baadhi  ya waraghbishi  wa  ngazi  ya  jamii  kutoka kata ya Msalama wilaya ya  Mbeya  vijijini  wakiwa katika  warsha hiyo.

DSC_0677

Mwezeshaji  wa  warsha  hiyo akiwaonyesha baadhi ya mambo yaliyoibuliwa na  waraghbishi  wa ngazi ya jamii wilaya ya  Mbeya  vijijini.

Na  MatukiodaimaBlog

WAKATI serikali  na  wanaharakati  mbali mbali   wakiendelea ...

 

10 years ago

TheCitizen

Russia’s economy to contract

The World Bank yesterday predicted that Russia’s economy would shrink by 0.7 per cent in 2015, but warned that the contraction would be worse if oil prices were to keep sliding.

 

9 years ago

BBC

Racism 'does not exist' in Russia

Ex-Cameroon star Andre Bikey challenges Alexei Smertin's assertion that racism 'does not exist' in 2018 World Cup host nation Russia.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Cheka atapigwa tu Russia’

>Kocha wa bondia Francis ‘SMG’ Cheka, Abdallah ‘Comando’ Salehe amemtaka bondia wake huyo akubali kupambana na Fedor Chudino wa Russia  kwenye pambano lao la Jumamosi, lakini atapigwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani