Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wajane kata ya Msalala Mbeya wadai kupokonywa mali wanapokata kurithiwa

Baadhi  ya wanahabari wanaoshiriki  katika warsha ya mtandao  wa kijinsia  Tanzania (TGNP)  wakiwa katika warsha  ya  siku  mbili  jijini  Mbeya.

Baadhi  ya waraghbishi  wa  ngazi  ya  jamii  kutoka kata ya Msalama wilaya ya  Mbeya  vijijini  wakiwa katika  warsha hiyo.

DSC_0677

Mwezeshaji  wa  warsha  hiyo akiwaonyesha baadhi ya mambo yaliyoibuliwa na  waraghbishi  wa ngazi ya jamii wilaya ya  Mbeya  vijijini.

Na  MatukiodaimaBlog

WAKATI serikali  na  wanaharakati  mbali mbali   wakiendelea ...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SIKU YA WAJANE DUNIANI, ZAIDI YA WAJANE MILIONI 250 WANAISHI KATIKA DIMBWI LA UMASIKINI

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza na wajane katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, Aprili nne, 2019.
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVKUPOTEZA wenza ni jambo linalovunja mioyo ya wanawake wengi duniani hasa kwa nchi zinazoendelea, wajane katika nchi hizo wamekuwa na muendelezo wa kutafuta mahitaji yao muhimu, haki zao pamoja na utu ambapo katika baadhi ya tamaduni nyingi za kiafrika huwachukulia wajane kwa namna ya tofauti ikiwemo kurithiwa na ndugu wa mume na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wazabuni Mbeya wadai kufilisika

MATOKEO ya mitihani ya kidato cha nne mwaka huu huenda yakawa mabaya hasa kwa shule zilizo chini ya serikali mkoani Mbeya kutokana na wazabuni wanaotoa huduma ya chakula kusitisha kutokana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UVCCM Mbeya wadai Nyerere alimkataa Malecelea

MAKAMU Mwenyekiti mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Malecela ametakiwa kukumbuka namna alivyokataliwa na hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1995 kutojihusisha na mapendekezo ya mgombea wa...

 

9 years ago

Habarileo

Kaseja mali ya Mbeya City

KIPA mkongwe nchini, Juma Kaseja amelikimbia Jiji la Dar es Salaam na kuanzia msimu ujao atakuwa jijini Mbeya baada ya kukubali kusaini mkataba wa miaka miwili wa kuichezea Mbeya City.

 

10 years ago

Vijimambo

KATA YA MWASANGA NA TEMBELA MKOANI MBEYA ZAPATIWA ELIMU KUHUSU JOTOARDHI


Afisa Mawasiliano wa Kampuni ya Kuendeleza Jotoardhi Tanzania (TGDC) Bi. Johari Kachwamba akiwaelimisha Viongozi wa Kata ya Mwasanga na Tembela kuhusu majukumu ya TGDC leo 7 Agosti, 2015 Mkoani Mbeya.Mhandisi Mwandamizi toka Wizara ya Nishati na Madini, Bwana. Jacob Mayalla akiwaelimisha Viongozi wa Kata ya Mwasanga na Tembela kuhusu historia ya tafiti za jotoardhi kwa mkoa wa Mbeya leo 7 Agosti, 2015 Mkoani Mbeya.Baadhi ya Viongozi wa Kata ya Mwasanga na Tembela wakifuatilia kwa makini...

 

9 years ago

Michuzi

Thalassaemia — UGONJWA WA DAMU HATARI UNAOWEZA KURITHIWA


Na Mwandishi Wetu, Ibrahim (jina limebadilishwa) alizaliwa nchini Tanzania na alipokuwa na umri wa miezi 9 tu alionekana anang’aa na hakuwa na uwezo wa kula na kukua vizuri kama watoto wengine wa umri wake. Alikuwa na maambukizi ya mara kwa mara na vipimo vya damu vilionyesha upungufu mkubwa wa damu na kiwango cha ukosefu wa damu kwa gm 3.5! Ibrahim alikuwa akiishi na chini ya robo ya kiwango cha oksijeni kinachohitajika kwenye damu na alihitaji haraka kuongezewa damu ili kuokoa...

 

9 years ago

Vijimambo

halassaemia — UGONJWA WA DAMU HATARI UNAOWEZA KURITHIWA


Na Mwandishi Wetu, 
Ibrahim (jina limebadilishwa) alizaliwa nchini Tanzania na alipokuwa na umri wa miezi 9 tu alionekana anang’aa na hakuwa na uwezo wa kula na kukua vizuri kama watoto wengine wa umri wake. Alikuwa na maambukizi ya mara kwa mara na vipimo vya damu vilionyesha upungufu mkubwa wa damu na kiwango cha ukosefu wa damu kwa gm 3.5! Ibrahim alikuwa akiishi na chini ya robo ya kiwango cha oksijeni kinachohitajika kwenye damu na alihitaji haraka kuongezewa damu ili kuokoa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tineja Mnigeria kupokonywa dhahabu

Chika Amalaha, mshindi wa dhahabu ya unyanyuaji uzani Glasgow atapokonywa dhahabu yake leo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani