Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UVCCM Mbeya wadai Nyerere alimkataa Malecelea

MAKAMU Mwenyekiti mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Malecela ametakiwa kukumbuka namna alivyokataliwa na hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1995 kutojihusisha na mapendekezo ya mgombea wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wazabuni Mbeya wadai kufilisika

MATOKEO ya mitihani ya kidato cha nne mwaka huu huenda yakawa mabaya hasa kwa shule zilizo chini ya serikali mkoani Mbeya kutokana na wazabuni wanaotoa huduma ya chakula kusitisha kutokana...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wajane kata ya Msalala Mbeya wadai kupokonywa mali wanapokata kurithiwa

Baadhi  ya wanahabari wanaoshiriki  katika warsha ya mtandao  wa kijinsia  Tanzania (TGNP)  wakiwa katika warsha  ya  siku  mbili  jijini  Mbeya.

Baadhi  ya waraghbishi  wa  ngazi  ya  jamii  kutoka kata ya Msalama wilaya ya  Mbeya  vijijini  wakiwa katika  warsha hiyo.

DSC_0677

Mwezeshaji  wa  warsha  hiyo akiwaonyesha baadhi ya mambo yaliyoibuliwa na  waraghbishi  wa ngazi ya jamii wilaya ya  Mbeya  vijijini.

Na  MatukiodaimaBlog

WAKATI serikali  na  wanaharakati  mbali mbali   wakiendelea ...

 

11 years ago

Dewji Blog

UVCCM Mbeya wamjibu Makonda

IMG_2163

Katibu wa siasa na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoa wa Mbeya, Bashiru  Madodi.

Na Mwandishi wetu

Katibu wa siasa na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), mkoa wa Mbeya, Bashiru  Madodi, amesema kuwa tatizo kubwa la baadhi ya vijana wa chama hicho(UVCCM), wanatumika vibaya na wagombea na kukisemea chama bila utaratibu.

Madodi alisema hayo katika ukumbi wa CCM mkoa wa Mbeya, wakati wa Baraza kuu la UVCCM Mkoani hapa, ambalo lilifanyika kwa mujibu wa kanuni za umoja huo kwa ajili ya...

 

10 years ago

Habarileo

Mbowe akiri Slaa ‘alimkataa’ Lowassa

MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amekiri kuwa Katibu Mkuu wao, Dk Willibrod Slaa alitofautiana nao katika kumkubali aliyekuwa kada wa CCM, Edward Lowassa kujiunga nao, na sasa amepewa mapumziko.

 

9 years ago

GPL

HOTUBA YA MWALIMU NYERERE SIKU YA MEI MOSI 1995 MBEYA

Baba wa Taifa, Mwalimu Julius K. Nyerere enzi za uhai wake. HOTUBA YA MWALIMU NYERERE SIKU YA MEI MOSI 1995 MBEYA. TUMETOKA WAPI, TUKO WAPI, TUNAKWENDA WAPI NA TUFANYE NINI ILI TUFIKE TUNAKOTAKA! Hotuba ya Mwalimu Julius K. Nyerere aliyoitoa wakati wa kilele cha Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani, Mbeya Mei 1, 1995. Mwalimu Nyerere alialikwa kuwa Mgeni Rasmi kwenye kilele cha Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani iliyofanyika...

 

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO

???????????????????????????????
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.

???????????????????????????????
Katibu wa UVCCM wilaya ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani