Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baadhi ya wakulima waanza kuzalisha asali

Mabadiliko ya tabia ya nchi yanayosababisha ukame yamekuwa changamoto kwa wakulima mkoani Manyara hali iliyowalazimu baadhi yao kuanza kujikita katika uzalishaji wa asali.

Uzalishaji wa asali  ni moja ya njia mbadala ya kutotegema kilimo cha kibiashara ambacho kinaelekea kutokua na manufaa zaidi kwa wafugaji wa nyuki.

 

Vijiji vya Endagaw wilayani Hanang na Bashay Mbulu ni miongoni mwa maeneo mkoani Manyara ambayo yameanza uzalishaji wa asali kama njia mbadala baada ya mazao ya kibiashara...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima waanza kuandaliwa hatimiliki

WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imesema hatimiliki za mashamba kwa ajili ya wakulima wadogo zimeanza kuandaliwa kwa lengo la kuwawezesha kupata mikopo katika taasisi za kibenki. Akizungumza na waandishi...

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima wa Pareto waanza kutembea kifua mbele

>Kampuni ya Pareto Tanzania (PCT), imewalipa zaidi ya Sh4.4 bilioni  wakulima wa pareto katika mikoa ya Mbeya, Njombe, Iringa na Arusha kuanzia Agosti mwaka jana hadi Machi mwaka huu baada ya kununua tani 2,300 za zao hilo, imeelezwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Baadhi ya makosa yanayojitokeza katika baadhi ya magazeti ya kiswahili

MAKOSA  yanayojitokeza katika magazeti  mengi ya Kiswahili ni kutokana na waandishi kutokuwa makini na wengine kutokuwa na ujuzi wa kutosha katika sarufi na fasihi Ya Kiswahili

 

10 years ago

Vijimambo

HAYA NDIO BAADHI YA MAAZIMIO YALIYOSABABISHA BUNGE KUAHIRISHWA KWA KUPINGA BAADHI YA MAADHIMIO YA KUWALINDA WATUHUMIWA WA SAKATA LA ESCROW



MAAZIMIO
Pendekezo la kwanza la kumkamata na kumfilisi bwana Seth lina marekebisho ya serikali, naibu waziri wa Sheria anasema haiwezekani

Pendekezo la pili kuhusu Rugemalira, serikali imeweka marekebisho kuhusu uhalali wa pesa za Rugemalira alizogawa

Azimio la TATU limerekebishwa kuwa waliopokea pesa wachunguzwe na kuchukuliwa hatua mahususi kwa mujibu wa sheria

Pendekezo la NNE. Kamati inazitaka mamlaka kuzitangaza benki za Mkombozi na Stanbic kama asasi za utakatishaji fedha
Azimio la 4...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hizi ni baadhi ya jumbe za baadhi ya Wasanii wa Bongo movies wakionyesha kuguswa na wimbi la mauaji ya ndungu zetu wenye ulemavu wa ngozi

Shamsa Ford:

“Yaani hata sijui nisemeje maana kila nikifikilia mwanadamu anayefanya ukatili huu wa kuwaua walemavu wa ngozi naumia sana.kikubwa naomba Mungu wote wanaohusika na huu unyama wakamatwe.. inshaallah Mwenyezi Mungu atasimamia kwa hili”.

Riyama Ally:

“Kiukweli siwezi kulala leo bila kusema haya nitakayosema.. hawa ni wenzetu na wanastahili tabasamu zaidi ya wanalolitoa wenyewe wanahitaji mapenzi yetu ya ziada.. lakini wapi binaadamu wenye uchu na tamaa za madaraka, pesa,...

 

10 years ago

Vijimambo

MAAJABU YA ASALI NA MDARASINI

WASIOJUA kuhusu uwezo wa asali na mdalasini wanaweza wasiamini wakiambiwa kuwa vina uwezo wa kuzuia na kutibu magonjwa hatari yaliyoshindakana hata hospitalini. Asali na mdalasini zimekuwa zikitumika kama tiba tangu enzi na enzi.
FAIDA ZA ASALI NA MDALASINI KIAFYAAsali na mdalasini bado inaendelea kutumika kama tiba katika magonjwa ya aina mbalimbali, hasa kwa baadhi ya watu wanaoamini katika tiba mbadala kuliko tiba za kisasa, na kwa kiwango kikubwa wameweza kutibu maradhi yao bila kupata...

 

11 years ago

Mwananchi

Nchi ya asili na asali

Juzi tulikuwa kwenye kikao chetu cha kawaida cha waishiwa. Supu ilikuwa inatembea kama kawaida ili watu wajipashe moto wakati huu wa baridi. Na mazungumzo yalichemka pia maana watu walikuwa wanabishana sana kuhusu haki za kujihami, mauaji ya watoto na kadhalika. 

 

10 years ago

Mtanzania

Pengo asali chini ya ulinzi

Na Waandishi Wetu
KATIKA hali isiyo ya kawaida, Polisi wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wakiwa na mbwa nane, waliweka doria katika Kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es Salaam wakati wa ibada ya Ijumaa Kuu iliyofanyika jana.
Ibada hiyo iliyoanza saa tisa jioni iliongozwa na Paroko wa Kanisa hilo, Audax Kaasa na Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo aliyetarajiwa kuiendesha kama ratiba ya Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ilivyoeleza, lakini hakufanya hivyo bali alisali kama muumini wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania kuongeza uzalishaji wa asali

Tanzania inajipanga kuongeza uzalishaji na pato litokanalo na mazao ya nyuki kutoka wastani wa tani 19,000 za asali na tani 1,266 za nta hadi kufikia tani 138,000 za asali na tani 9,200 za nta.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani