Nchi ya asili na asali
Juzi tulikuwa kwenye kikao chetu cha kawaida cha waishiwa. Supu ilikuwa inatembea kama kawaida ili watu wajipashe moto wakati huu wa baridi. Na mazungumzo yalichemka pia maana watu walikuwa wanabishana sana kuhusu haki za kujihami, mauaji ya watoto na kadhalika.Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
POMBOO: Samaki mwenye asili ya nchi kavu
POMBOO ni mnyama wa baharini ambaye yupo kundi moja na samaki wengine kama vile nyangumi na porpoises. Kuna kama aina 40 za pomboo ambao wamegawanyika katika makundi makubwa 17. Makundi...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS - MUUNGANO SAMIA SULUHU HASSAN ATOA WITO WA KUTUNZA MALI ASILI NA MAZINGIRA
10 years ago
Vijimambo
MAAJABU YA ASALI NA MDARASINI

FAIDA ZA ASALI NA MDALASINI KIAFYAAsali na mdalasini bado inaendelea kutumika kama tiba katika magonjwa ya aina mbalimbali, hasa kwa baadhi ya watu wanaoamini katika tiba mbadala kuliko tiba za kisasa, na kwa kiwango kikubwa wameweza kutibu maradhi yao bila kupata...
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Tanzania kuongeza uzalishaji wa asali
10 years ago
Mtanzania04 Apr
Pengo asali chini ya ulinzi
Na Waandishi Wetu
KATIKA hali isiyo ya kawaida, Polisi wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wakiwa na mbwa nane, waliweka doria katika Kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es Salaam wakati wa ibada ya Ijumaa Kuu iliyofanyika jana.
Ibada hiyo iliyoanza saa tisa jioni iliongozwa na Paroko wa Kanisa hilo, Audax Kaasa na Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo aliyetarajiwa kuiendesha kama ratiba ya Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ilivyoeleza, lakini hakufanya hivyo bali alisali kama muumini wa...
10 years ago
StarTV15 Sep
Baadhi ya wakulima waanza kuzalisha asali
Mabadiliko ya tabia ya nchi yanayosababisha ukame yamekuwa changamoto kwa wakulima mkoani Manyara hali iliyowalazimu baadhi yao kuanza kujikita katika uzalishaji wa asali.
Uzalishaji wa asali ni moja ya njia mbadala ya kutotegema kilimo cha kibiashara ambacho kinaelekea kutokua na manufaa zaidi kwa wafugaji wa nyuki.
Vijiji vya Endagaw wilayani Hanang na Bashay Mbulu ni miongoni mwa maeneo mkoani Manyara ambayo yameanza uzalishaji wa asali kama njia mbadala baada ya mazao ya kibiashara...
11 years ago
MichuziVIKUNDI 6 VYAKABIDHIWA MASHINE ZA KUKAMUA ASALI
11 years ago
GPL
KWA NINI MAPENZI NI ASALI, VILEVILE NI SHUBIRI?
10 years ago
Habarileo01 Nov
Pinda ataka uwekezaji zaidi ufugaji wa asali
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ametaka kuongezwa kwa uwekezaji katika eneo la uzalishaji asali ili sekta hiyo itoe mchango unaostahili katika uchumi. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Chama cha Kuendeleza Ufugaji Nyuki Nchini (TABEDO) juzi, Pinda alisema sekta hiyo ikipewa kipaumbele zaidi uzalishaji utaongezeka na hivyo kutoa mchango mkubwa katika uchumi wa taifa kutokana na Tanzania kuwa na maeneo mengi yanayofaa kwa ajili ya ufugaji nyuki.