KENYA: WAKUU WA TEHAMA WAKUTANA
KWA UFUPI: Wakuu wa vitengo vya TEHAMA wamekutana kujadili changamoto na namna nzuri ya kuzitatua changamoto hizo katika vikao vilivyo kamilika Nchini Kenya.
Watunga sera na sheria mbali mbali wamekua wakifanya maamuzi ya TEHAMA bila kushirikisha wadau wa TEHAMA – Hii imekua moja ya changamoto inayo leta mkinzano wa utendaji wenye manufaa kwa wana TEHAMA maeneo mengi barani Afrika.
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYoLPtfYEXffJD8eUw3dJfAxBobjxPqcWx8OY5IXOiX4WghkUi467qXxQ9n8nHOe783BU8DWiTfZnyZ33CBJ6Hu5/1.jpg?width=650)
WAKUU WA SEKTA YA TEHAMA NCHINI KENYA WAKUTANA, WAHIMIZA USHIRIKIANO
Washiriki wa mkutano mkuu wa mwisho wa mwaka uliowahusisha wakuu wa TEHAMA wa sekta mbali mbali nchini Kenya wakiendelea na Mkutano wao jijini Nairobi kujadili mambo mbalimbali na changamoto zake . Mkutano ukiendelea…
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-j_owi7L7XBo/VDMqVMSLi8I/AAAAAAAGodA/uvuaFkLaMWQ/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
KUTOKA KWA WATANI WA JADI: WAKUU WA SEKTA YA TEHAMA NCHINI KENYA WAKUTANA, WAHIMIZA USHIRIKIANO
Na Yusuph KileoKushirikiana katika maswala mbali mbali ili kuweza kufikia malengo ni jambo kubwa lililopata kusikika katika mkutano mkuu wa mwisho wa mwaka unaoendelea nchini Kenya unaojadili changamoto mbali mbali za sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano.
Swala la usalama katika mitandao limepata kuangaliwa na changamoto mbali mbali katika mijadala Rasmi (Ndani ya Kikao) na isiyo rasmi (tuwapo nje ya ukumbi wa mkutano) zilipata kuangaliwa kwa ukaribu.
Swala uhimu nililo jifunza ni...
Swala la usalama katika mitandao limepata kuangaliwa na changamoto mbali mbali katika mijadala Rasmi (Ndani ya Kikao) na isiyo rasmi (tuwapo nje ya ukumbi wa mkutano) zilipata kuangaliwa kwa ukaribu.
Swala uhimu nililo jifunza ni...
9 years ago
YkileoMKUTANO WA WAKUU WA TEHAMA WAMALIZIKA NCHINI KENYA
Aidha, Nilipata pia kuzindua kampeni ya Mwezi wa kukuza uelewa wa matumizi salama ya mitandao na kuweza...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/WbJM1RNTL3w/default.jpg)
MKUTANO WA WAKUU WA TEHAMA - RADIO ONE
Baada ya kumalizika kwa mkutano wa Viongozi TEHAMA Nchini Kenya Vyombo kadhaa vya habari vimepata Kunihoji ikiwa ni pamoja na Radio One - Kupitia African Panorama.Ambapo nimetolea ufafanuzi wa key take a ways kwenye mkutano na hasa kubobea kwenye eneo langu la utaalam ambapo ndio mijadala niliyo jadili - Usalama mitandao.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XUtb2jobgh8/VRON2KNlFTI/AAAAAAAHNRM/qNW8KWtxxG8/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI WAKUTANA UMOJA WA MATAIFA
Na Mwandishi Maalum, New York Wakuu wa Majeshi ya Ulinzi ambao nchi zao zinachangia wanajeshi au Polisi katika operesheni za kulinda Amani chini ya Umoja wa Mataifa, wanakutana hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa katika mkutano unaoelezwa kuwa wa kihistoria. Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jenerali Davis Mwamunyange na ujumbe wake amewasili jijini New York siku ya Jumatano tayari kuhudhuria na kushiriki mkutano huo ambao utafunguliwa siku ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kuRPXiL71UI/VMYw68S6a3I/AAAAAAAG_jg/Tp2Hao2jnZ8/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
MAOFISA WAKUU WAANDAMIZI WA POLISI WAKUTANA MKOANI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-kuRPXiL71UI/VMYw68S6a3I/AAAAAAAG_jg/Tp2Hao2jnZ8/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rXyhBbfLl2k/VMYw8NVTUOI/AAAAAAAG_js/Enh5BRXCYqg/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
10 years ago
Michuzi30 Apr
WAKUU WA TAASISI ZA TAKWIMU WA NCHI ZA AFRIKA WAKUTANA JIJINI DAR
![th6](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/th6.jpg)
![th5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/th5.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OzRDg3mHGgs/XmEKUmn0nHI/AAAAAAALhV4/q23L7I3r4K0rlRvrgHurdQv7cU-cG4g0gCLcBGAsYHQ/s72-c/bd5e8025-081a-477b-843c-3b4b96b96215.jpg)
MKURUGENZI MKUU TCRA MHANDISI JAMES KILABA, WAHARIRI VYOMBO VYA HABARI WAKUTANA JIJINI DAR KUWEKA MKAKATI WA KUFANIKISHA TUZO ZA TEHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-OzRDg3mHGgs/XmEKUmn0nHI/AAAAAAALhV4/q23L7I3r4K0rlRvrgHurdQv7cU-cG4g0gCLcBGAsYHQ/s640/bd5e8025-081a-477b-843c-3b4b96b96215.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JxoVvq1P-jg/XmEKU1UIMRI/AAAAAAALhV8/CuAmpcubiJ8JkToOr37EsELV2MNUHmdtQCLcBGAsYHQ/s640/cba817aa-50c9-45ff-b880-294175cabcdc.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kD17UfMD7rc/XmEKVeHK1vI/AAAAAAALhWA/l6tp68X8TIAmW7sSNI-1IpETBy6LY4oOQCLcBGAsYHQ/s640/d0df008c-b4e0-4e87-bc5e-5ce36312608b.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xtVuD9tRkaA/XmELzoXaTnI/AAAAAAALhWY/AT36PgPJVW0JfZBPb6GqK6I_s41ElfbjQCLcBGAsYHQ/s640/f0f946c7-1bec-4004-9ab3-a1e8d4c2c7ec.jpg)
10 years ago
Michuzi11 May
WAKUU WA TAASISI ZA KUZUIA RUSHWA BARANI AFRICA WAKUTANA JIJINI ARUSHA.
Wakuu wa taasisi za kuzuia Ruswa barani Africa wamekutana katika ukumbi wa mikutano AICC katika kuangalia jinsi gani wataweza kupambana na kufikia malengo ya kutokomeza Rushwa ndani ya Bara La Africa.
Wakuu hao ambao ni wajumbe wa Bodi ya Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa barani Afrika AUABC iliyopo chini ya jumuia ya muungano wa nchi za Afrika ambapo mwenyekiti wa Taasisi ya AUABC Jaji Daniel Batidam amesema kuwa wanatarajia kwa mkutano huu utasaidi kupunguza makali ya Ruswa ndani ya...
Wakuu hao ambao ni wajumbe wa Bodi ya Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa barani Afrika AUABC iliyopo chini ya jumuia ya muungano wa nchi za Afrika ambapo mwenyekiti wa Taasisi ya AUABC Jaji Daniel Batidam amesema kuwa wanatarajia kwa mkutano huu utasaidi kupunguza makali ya Ruswa ndani ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania