Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi wa EU wajadili wahamiaji

Viongozi wa nchi za ulaya wanakutana jijini Brussels kujadili namna ya kupambana na wimbi la wahamiaji

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa AU wajadili usalama Kenya

Viongozi wakuu wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika wanakutana mjini Nairobi,nchini Kenya kujadili usalama barani

 

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi wajadili mzozo wa Burundi

Viongozi wa jumuiya ya Afrika mashariki wanajadili na kuwasilisha mapendekezo ya ripoti kuhusu mzozo wa kisiasa Burundi

 

10 years ago

Michuzi

NEC NA VIONGOZI WA VYAMA VYASIASA ,WAJADILI MAADILI YA UCHAGUZI WA RAIS,WABUNGE NA MADIWANI

Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Jaji  Mstaafu Damiani Lubuva akizungumza wakati wa mkuato wa kujadili maadili ya uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani katika mkutano uliofanyika Hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo.  Mkurugenzi wa uchaguzi, Julius Mallaba akizungumza leo katika mkutano wa kujadili maadili ya uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani katika mkutano uliofanyika Hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo.   Baadhi ya viongozi wa vyombo vya siasa wakifuatilia kwa umakini katika...

 

9 years ago

BBCSwahili

EU wajadili uanachama wa Uingereza

Viongozi wa muungano wa Ulaya wamesema wako tayari kufikia mapatano ya kuiwezesha Uingereza kusalia katika Muungano huo.

 

9 years ago

Habarileo

Wajadili sera ya mtoto gerezani

WADAU mbalimbali wamekutana kujadili rasimu ya sera ya Jeshi la Magereza ya ulinzi wa mtoto anapokuwa gerezani kwa lengo la kutoa maboresho yao.

 

10 years ago

Mtanzania

Chadema wajadili mgombea urais

NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imekutana jijini Dar es Salaam ambapo itajadili masuala mbalimbali ikiwemo suala la mgombea urais kupitia vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Mbali na ajenda hiyo pia Kamati Kuu itajadili hatima ya uchaguzi mkuu pamoja na uandikishaji wa daftari la wapiga kura kupitia mfumo wa BVR.
Ukawa ni umoja ulioanzishwa Februari mwaka jana ukiwa ni kikundi shinikizi katika mchakato wa Katiba...

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge wajadili miamala ya kielektroniki

MUSWADA wa Sheria ya Miamala ya Kieletroniki wa mwaka 2015, umewasilishwa rasmi bungeni ukiwa na lengo la kudhibiti uhalifu wa kifedha na udanganyifu wa bidhaa na huduma katika mtandao.

 

10 years ago

Mwananchi

Warioba, Zitto wajadili escrow

Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba juzi alifanya mazungumzo ya saa mbili ya Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe kuhusu masuala ya uongozi na uwajibikaji baada ya mbunge huyo wa Kigoma Kaskazini kumtembelea nyumbani kwake, Masaki, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM wajadili maandamano ya CHADEMA

MAANDAMANO ya amani na migomo isiyokoma vilivyotangazwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), nchi nzima, yamewatia kiwewe wajumbe wa CCM waliyoko Bunge Maaalum la Katiba, hadi kulazimika kuchepuka kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani