Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM wajadili maandamano ya CHADEMA

MAANDAMANO ya amani na migomo isiyokoma vilivyotangazwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), nchi nzima, yamewatia kiwewe wajumbe wa CCM waliyoko Bunge Maaalum la Katiba, hadi kulazimika kuchepuka kwenye...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Chadema wajadili mgombea urais

NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imekutana jijini Dar es Salaam ambapo itajadili masuala mbalimbali ikiwemo suala la mgombea urais kupitia vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Mbali na ajenda hiyo pia Kamati Kuu itajadili hatima ya uchaguzi mkuu pamoja na uandikishaji wa daftari la wapiga kura kupitia mfumo wa BVR.
Ukawa ni umoja ulioanzishwa Februari mwaka jana ukiwa ni kikundi shinikizi katika mchakato wa Katiba...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM

 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kijiji cha Wangama, Fred Mgata (kulia) akikabidhi kadi za chyama hicho kwa Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga baada ya yeye na wanachama wengine 50 wa Chadema kuamua kukihama na kujiunga CCM katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika  katika Kijiji hicho kilichopo Kata ya Luhota, Iringa Vijijini leo. Mgombea ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chadema ambaye ni mzaliwa wa kijiji hicho,  Grace Tendega alikuwa chini ya...

 

10 years ago

KwanzaJamii

Chadema wakomaa na maandamano

Wakati wafuasi 15 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika wilaya za Bunda na Dodoma wakifikishwa mahakamani kwa tuhuma za kukusanyika kwa lengo la kutaka kufanya maandamano yasiyokuwa halali, chama hicho kimeendelea kupinga amri ya Jeshi la Polisi baada ya vijana wake kutangaza kufanya maandamano makubwa jijini Dar es Salaam leo. Wakati wafuasi 15 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika wilaya za Bunda na Dodoma wakifikishwa mahakamani kwa tuhuma za...

 

9 years ago

Mwananchi

Maandamano ya Chadema yakwama

Polisi jana waliimarisha ulinzi katika maeneo mengi nchini kukabiliana na maandamano yaliyodaiwa kupangwa na wafuasi wa Chadema nchini kupinga kile walichoita ubakaji wa demokrasia.

 

10 years ago

Mtanzania

Chadema watangaza wiki ya maandamano

Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Benson Kigaila

Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Benson Kigaila

NA SHABANI MATUTU Dar

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza kuanza kutekeleza maadhimio ya Mkutano wake Mkuu, kuanzia leo hadi Jumamosi kwa kufanya maandamano na migomo isiyo na ukomo nchini kote.

Akitangaza utekelezaji wa maazimio hayo, Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Benson Kigaila, alisema kuwa chama hicho lazima kitekeleze maazimio ya Mkutano Mkuu.

“Maandamano yaliyokuwa siku chache zilizopita yalikuwa rasharasha sasa mvua ya...

 

9 years ago

Habarileo

Maandamano ya Chadema yapigwa marufuku

POLISI mkoani Shinyanga imezuia maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mjini hapa yaliyotarajiwa kufanyika leo.

 

10 years ago

Vijimambo

NAPE: MAANDAMANO CHADEMA NI BIASHARA



  Adai huuzipeleka picha za vurugu nje ya nchi  Adai Chadema wanafanya ili kukinusuru chama chao  Awatuhumu kuwatoa kafara waandamanaji  Asisitiza laaana ya damu za Watanzania hazitawaacha.

 

10 years ago

Habarileo

Nape-Maandamano ni biashara Chadema

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, amesema vyama vya upinzani nchini vimeshindwa kufanya kazi za siasa badala yake vimegeuka kuwa vya wanaharakati. Aidha ametaka maandamano yanayohamasishwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yapuuzwe kwa kile alichosema ni biashara ya kuuza picha za vurugu nje ya nchi kwa ajili ya kupata misaada kutoka mataifa makubwa.

 

10 years ago

Michuzi

MAANDAMANO YA CHADEMA YADHIBITIWA NA POLISI DODOMA

Maandamano ya CHADEMA Mkoa wa Dodoma yamedhibitiwa kwa Mkoa mzima.Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi wa Polisi EMMANUEL G. LUKULA (ACP) (pichani) amesema katika hilo kuna gari lenye namba za usajili T.792 CAX aina ya Pick up Ford Ranger nyeupe mali ya CHADEMA iliyokuwa ikiendesha na CHRISTOPHER NYAMWINJA, Mweneye miaka 52, Mgogo, Mkristo Mratibu wa CHADEMA Kanda ya magharibi ambapo makazi yake ni TABORA mjini limekamatwa mtaa wa KUU karibu na kituo cha mafuta cha GAPCO...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani