Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAANDAMANO YA CHADEMA YADHIBITIWA NA POLISI DODOMA

Maandamano ya CHADEMA Mkoa wa Dodoma yamedhibitiwa kwa Mkoa mzima.Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi wa Polisi EMMANUEL G. LUKULA (ACP) (pichani) amesema katika hilo kuna gari lenye namba za usajili T.792 CAX aina ya Pick up Ford Ranger nyeupe mali ya CHADEMA iliyokuwa ikiendesha na CHRISTOPHER NYAMWINJA, Mweneye miaka 52, Mgogo, Mkristo Mratibu wa CHADEMA Kanda ya magharibi ambapo makazi yake ni TABORA mjini limekamatwa mtaa wa KUU karibu na kituo cha mafuta cha GAPCO...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAZUIA MAANDAMANO YALIYOPANGWA NA CHADEMA

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi wa Polisi (ACP) EMMANUEL G. LUKULANa Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma.Jeshi la Polisi mkoani Dodoma limetoa tamko la kuzuia maandamano ya Chama cha CHADEMA hapo tarehe 18/09/2014 na kuwataka wananchi kuyapuuza.Akiongea na waandishi wa habari, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi wa Polisi EMMANUEL G. LUKULA (ACP) alisema kuwa; Kufuatia Viongozi wa CHADEMA kutaka kufanya maandamano kuelekea viwanja...

 

10 years ago

GPL

JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAZUIA MAANDAMANO YALIYOPANGWA NA CHADEMA

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Kamishina Msaidizi wa Polisi (ACP), Emmanuel G. Lukula. Na Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma Jeshi la Polisi mkoani Dodoma limetoa tamko la kuzuia maandamano ya Chama cha CHADEMA ya tarehe 18/09/2014 na kuwataka wananchi kuyapuuza. Akiongea na waandishi wa habari, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi wa Polisi EMMANUEL G. LUKULA (ACP) alisema kuwa;...

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi yazima maandamano ya Chadema Dodoma, ni ya kupinga kuendelea Bunge la Katiba

Jeshi la polisi mkoani Dodoma leo limezima maandamano yaliyopangwa kufanywa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupinga kuendelea kwa vikao vya Bunge la Katiba kwa kile wanachodai ni kufuja fedha za umma.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi yapiga marufuku maandamano Chadema

JESHI la Polisi nchini limepiga marufuku maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yaliyotarajiwa kuanza kufanyika leo katika maeneo mbalimbali nchini. Jeshi hilo limeonya kuwa maandamano hayo ni batili na ni kinyume cha sheria.

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi wazuia maandamano ya wafuasi wa Chadema

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya  Dar es Salaam, limeyapiga marufuku maandamano ya Chadema yasiyo na kikomo ya kupinga  kinachodaiwa ‘uporaji wa demokrasia’.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi wafunga barabara Dodoma kuzuia maandamano

>Barabara Kuu ya Dodoma - Morogoro inayopita mbele ya jengo la Bunge jana ilifungwa na polisi kwa zaidi ya saa tano kuzuia maandamano yaliyoandaliwa na Chadema kupinga vikao vya Bunge la Katiba vinavyoendelea mjini hapa.

 

9 years ago

Habarileo

Jeshi la Polisi lapiga ‘stop’maandamano ya Chadema

POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imepiga marufuku maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), yaliyopangwa kufanyika bila ukomo kutokana na kile kilichoelezwa kuwa ni kinyume cha sheria.

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema wang’ang’ania maandamano, polisi yaonya

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesisitiza kufanya maandamano kuanzia leo hadi Ijumaa wiki hii licha ya Polisi kuyapiga marufuku.

 

9 years ago

StarTV

Polisi Mwanza yazuia mikusanyiko ya maandamano ya CHADEMA kuhofia Hofu Wa Kipindupindu

Polisi mkoa wa Mwanza imezuia mikusanyiko ya watu na maandamano kwa kuhofia kuenea kwa ugonjwa wa kipindupindu ambao unatajwa kuzagaa mkoani humo.

Hatua hiyo inatokana na kuwepo kwa taarifa za shughuli ya kuuaga mwili wa aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoa wa Geita katika viwanja vya Furahisha.

Kwa mujibu wa taarifa za kiintelijensia za jeshi la polisi, mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Geita Alphonce Mawazo unatarajiwa kuagwa kesho katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani