Chadema wajadili mgombea urais
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imekutana jijini Dar es Salaam ambapo itajadili masuala mbalimbali ikiwemo suala la mgombea urais kupitia vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Mbali na ajenda hiyo pia Kamati Kuu itajadili hatima ya uchaguzi mkuu pamoja na uandikishaji wa daftari la wapiga kura kupitia mfumo wa BVR.
Ukawa ni umoja ulioanzishwa Februari mwaka jana ukiwa ni kikundi shinikizi katika mchakato wa Katiba...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BW9opX4BqT0/VcC0-sQwxII/AAAAAAAHt3w/yzrGcN088s0/s72-c/MMGL0331.jpg)
MKUTANO MKUU WA CHADEMA WAMPITISHA BILA KUPINGWA MH. LOWASSA KUWA MGOMBEA URAIS WA TANZANIA NA DKT. JUMA HAJI DUNI MGOMBEA MWENZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-BW9opX4BqT0/VcC0-sQwxII/AAAAAAAHt3w/yzrGcN088s0/s640/MMGL0331.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aS4lc3hgu8o/VcC0-PsoIDI/AAAAAAAHt3o/71rMRImzqnU/s640/MMGL0055.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-H4LsJm9kCfg/VcDmoJ-VPWI/AAAAAAABTIM/TGX2EGarUdI/s72-c/1.jpg)
YALIYOJIRI KWENYE MKUTANO MKUU WA CHADEMA ULIOFANYIKA LEO NA KUWAPITISHA MH. LOWASSA KUWA MGOMBEA URAIS WA TANZANIA NA DKT. JUMA HAJI DUNI MGOMBEA MWENZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-H4LsJm9kCfg/VcDmoJ-VPWI/AAAAAAABTIM/TGX2EGarUdI/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4s2j9y6cMRs/VcDmuVyAntI/AAAAAAABTJs/Q9tBx8YnPZc/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZQ5QjY5JuuU/VcDmvLhtmkI/AAAAAAABTJo/tV8_6cFI0Lc/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-X7MfTLZMyfc/VcDmvlQz-uI/AAAAAAABTJw/Xa5dh71Clrc/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fooSDRJP62Q/VcDmwWYau6I/AAAAAAABTKE/iF5gS2bmcAs/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aHavGADOhMQ/VcDmw5ZF_rI/AAAAAAABTKA/h4zEKWFlCyc/s640/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gK8BiSdGPZ4/VcDmxvzkSwI/AAAAAAABTKI/94nBfdXje7Y/s640/7.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6lBwATAtAks/VcCf0l2JfMI/AAAAAAAAA7Y/x-4eWlH_yXw/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
Mkutano Mkuu wa CHADEMA wamempitisha Edward Lowassa kama mgombea Urais na Haji Duni kama mgombea Mwenza.
![](http://4.bp.blogspot.com/-6lBwATAtAks/VcCf0l2JfMI/AAAAAAAAA7Y/x-4eWlH_yXw/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-d-NZ6oQiLRo/VcCkcrv0CvI/AAAAAAAAA7s/nxyfyCpAQro/s640/0.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uKFbKWC5sec/VcCf0i5OouI/AAAAAAAAA7c/1jmDKwUOGqI/s640/1%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
BBCSwahili30 Jul
Lowassa mgombea urais CHADEMA
10 years ago
Mwananchi22 Jul
Chadema yafanya maamuzi mgombea urais
10 years ago
Mtanzania06 May
Mgombea urais Chadema kupatikana Agosti
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinatarajia kumpata mgombea wake wa urais Agosti 4, mwaka huu.
Kupatikana kwa mgombea huyo kutatokana na uamuzi wa mkutano mkuu wa taifa, ambacho ndio chombo cha juu cha uamuzi.
Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, wakati akitangaza kwa waandishi wa habari uamuzi wa kikao cha Kamati Kuu kilichoketi kwa siku mbili.
Alisema pamoja na mambo mengine kikao hicho...
10 years ago
Mwananchi06 May
Mgombea urais Chadema kupatikana Agosti 4
10 years ago
Michuzi01 Aug
MGOMBEA URAIS WA CHADEMA KUREJESHA FOMU LEO
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
KUHUSU MGOMBEA URAIS KUREJESHA FOMU
Taarifa inatolewa kwa vyombo vya habari kuwa baada ya hatua ya kuchukua fomu ya kuwania uteuzi wa ndani ya chama kugombea nafasi ya urais, Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa kesho (LEO) Agosti 1, 2015 atarejesha fomu yake kwa ajili ya taratibu zingine za ndani ya chama.
Shughuli hiyo itafanyika kuanzia saa 9.00 jioni, ambapo mgombea atakabidhi fomu yake Ofisi ya Katibu Mkuu, Makao...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-cgFeqyGylw4/VcC04r9_5zI/AAAAAAAAcCQ/omhO-aOQrNk/s72-c/c16.jpg)
PICHA: MGOMBEA WA URAIS KWA TIKETI YA CCM DKT. JOHN MAGUFULI NA MGOMBEA MWENZA MH. SAMIA SULUHU WACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-cgFeqyGylw4/VcC04r9_5zI/AAAAAAAAcCQ/omhO-aOQrNk/s640/c16.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-283YW3zqPqY/VcC04hc0ZFI/AAAAAAAAcCM/6Yn8L0MksWw/s640/c17.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-X1hklPGs6_4/VcC04dfGx7I/AAAAAAAAcCI/tK03pjoNSxE/s640/c18.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dQMFnDG46-o/VcC050ISKbI/AAAAAAAAcCg/wczVQE642p4/s640/c19.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4K6YSo9YezA/VcC06IaqWuI/AAAAAAAAcCk/btgG3CzKLYc/s640/c20.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-C-vbmMMYATo/VcC06oLLGlI/AAAAAAAAcCo/Uf0oA3y06vw/s640/c21.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-i0L0gdBbxR0/VcC06wBZ0uI/AAAAAAAAcCs/ilzWOvRdpY8/s640/c22.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mXP8dksn-Zk/VcC07ngiiFI/AAAAAAAAcC8/EDURRoHq4gc/s640/c23.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vFq-Sn-LLws/VcC08FuPX5I/AAAAAAAAcDI/2JMLVef8exk/s640/c24.jpg)