Kiir aahidi kutekeleza mkataba wa amani
Akihutubu kupitia runinga ya taifa Kiir amesema amejitolea kufanikisha mkataba wa amani uliotiwa saini mwezi uliopita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Aug
Salva Kiir atia saini mkataba wa amani
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir ametia saini makubaliano ya amani yanayonuiwa kumaliza mzozo uliodumu kwa muda wa miezi ishirini.
10 years ago
BBCSwahili17 Aug
Salva Kiir akataa kutia sahihi mkataba
Serikali ya Sudan Kusini imekataa kusaini mkataba uliotarajiwa kuleta amani na kumaliza mapigano yaliyodumu nchini humo kwa zaidi ya miezi ishirini.
11 years ago
Michuzi
BALOZI SEFUE AAHIDI KUTEKELEZA MIRADI YA AFYA BRN

Balozi Sefue aliyasema hayo mara baada ya kutembelea jijini Dar es Salaam juzi, maabara inayokutanisha wataalamu mbalimbali kutoka SErikali na sekta binafsi wanaochambua miradi michache ya afya itakayoingizwa katika mfumo wa utekelezaji wa haraka wa miradi wa BRN.
“Binafsi nimefurahishwa na maeneo ya kipaumbele mnayoendelea...
10 years ago
BBCSwahili25 Aug
Salva Kiir akubali kutia sahihi ya amani
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir amesema kuwa ataweka sahihi ya makubaliano ya amani siku ya jumatano baada ya kukataa kufanya hivyo wiki iliopita.
10 years ago
BBCSwahili02 Nov
Iran yaanza kutekeleza mkataba wa nyuklia
Iran imeanza kutekeleza vipengee vya mkataba wa kufuta mradi wake wa nyuklia iliyokubaliana na mataifa ya makubwa duniani.
11 years ago
MichuziWizara ya uchukuzi yasaini mkataba na kutekeleza amradi wa treni za kisasa nchini
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Netanyahu aahidi kuendelea kutafuta amani
Rais wa Marekani Barack Obama na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu wamesema wamejitolea kufanikisha amani Mashariki ya Kati.
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Sudan.K: Kusaini mkataba wa amani
Pande zinazozozana kwenye mgogoro wa Sudan Kusini zinatarajiwa kutia saini mkataba wa kusitisha vita mjini Addis Ababa Ethiopia
10 years ago
BBCSwahili16 Aug
Mkataba wa amani wa Sudan-K watarajiwa
Viongozi wa Afrika Mashariki wakusanyika Ethiopia kwa mkutano kuhusu mkataba wa amani wa Sudan Kusini
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania