Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiir aahidi kutekeleza mkataba wa amani

Akihutubu kupitia runinga ya taifa Kiir amesema amejitolea kufanikisha mkataba wa amani uliotiwa saini mwezi uliopita.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Salva Kiir atia saini mkataba wa amani

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir ametia saini makubaliano ya amani yanayonuiwa kumaliza mzozo uliodumu kwa muda wa miezi ishirini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Salva Kiir akataa kutia sahihi mkataba

Serikali ya Sudan Kusini imekataa kusaini mkataba uliotarajiwa kuleta amani na kumaliza mapigano yaliyodumu nchini humo kwa zaidi ya miezi ishirini.

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI SEFUE AAHIDI KUTEKELEZA MIRADI YA AFYA BRN

Katibu Mkuu Kiongozi Ikulu, Balozi Ombeni Sefue ameeleza kufurahishwa na miradi ya sekta ya afya inayopendekezwa kuingia katika Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).
Balozi Sefue aliyasema hayo mara baada ya kutembelea jijini Dar es Salaam juzi, maabara inayokutanisha wataalamu mbalimbali kutoka SErikali na sekta binafsi wanaochambua miradi michache ya afya itakayoingizwa katika mfumo wa utekelezaji wa haraka wa miradi wa BRN.
“Binafsi nimefurahishwa na maeneo ya kipaumbele mnayoendelea...

 

10 years ago

BBCSwahili

Salva Kiir akubali kutia sahihi ya amani

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir amesema kuwa ataweka sahihi ya makubaliano ya amani siku ya jumatano baada ya kukataa kufanya hivyo wiki iliopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Iran yaanza kutekeleza mkataba wa nyuklia

Iran imeanza kutekeleza vipengee vya mkataba wa kufuta mradi wake wa nyuklia iliyokubaliana na mataifa ya makubwa duniani.

 

11 years ago

Michuzi

Wizara ya uchukuzi yasaini mkataba na kutekeleza amradi wa treni za kisasa nchini

Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRL), Mhandisi Kipalo Kisamfu(aliyevaa koti la kaki), na Balozi wa heshima wa Tanzania nchini Marekani na mmiliki wa Kampuni ya M/s Shumoja kutoka nchini Marekani, Robert Shumake wakisaini Mkataba wa awali wa mradi wa treni za kisasa zitakazohudumia abiria kutoka stesheni ya Dar es Salaam mpaka Pugu kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, leo asubuhi katika ofisi za Wizara ya Uchukuzi. Wanaoshuhudia na Waziri wa Uchukuzi, Dkt Harrison...

 

9 years ago

BBCSwahili

Netanyahu aahidi kuendelea kutafuta amani

Rais wa Marekani Barack Obama na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu wamesema wamejitolea kufanikisha amani Mashariki ya Kati.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan.K: Kusaini mkataba wa amani

Pande zinazozozana kwenye mgogoro wa Sudan Kusini zinatarajiwa kutia saini mkataba wa kusitisha vita mjini Addis Ababa Ethiopia

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkataba wa amani wa Sudan-K watarajiwa

Viongozi wa Afrika Mashariki wakusanyika Ethiopia kwa mkutano kuhusu mkataba wa amani wa Sudan Kusini

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani