Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Salva Kiir atia saini mkataba wa amani

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir ametia saini makubaliano ya amani yanayonuiwa kumaliza mzozo uliodumu kwa muda wa miezi ishirini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Salva Kiir akataa kutia sahihi mkataba

Serikali ya Sudan Kusini imekataa kusaini mkataba uliotarajiwa kuleta amani na kumaliza mapigano yaliyodumu nchini humo kwa zaidi ya miezi ishirini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Salva Kiir akubali kutia sahihi ya amani

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir amesema kuwa ataweka sahihi ya makubaliano ya amani siku ya jumatano baada ya kukataa kufanya hivyo wiki iliopita.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiir aahidi kutekeleza mkataba wa amani

Akihutubu kupitia runinga ya taifa Kiir amesema amejitolea kufanikisha mkataba wa amani uliotiwa saini mwezi uliopita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Bashir kukutana na Salva Kiir

Rais wa Sudan Omar al-Bashir anatarajiwa kwenda Juba kwa mazungumzo na Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir nchi hiyo inapokumbwa na vita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Salva Kiir, Machar kukutana Tanzania

Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir na aliyekuwa makamu wake Riek Machar, wanakutana Tanzania kutafuta suluhu ya kisiasa nchini mwao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Salva Kiir:Vikwazo vitachochea vita

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir amesema kuwa vikwazo vya kimataifa vitachochoea zaidi vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Salva Kiir atabaki zaidi madarakani

Sudan Kusini yaahirisha uchaguzi uliotarajiwa kufanywa kati ya mwaka kwa sababu yataka muda kujadili amani

 

10 years ago

BBCSwahili

Salva Kiir sasa ataka kusitshwa kwa vita

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir amesema kuwa serikali yake imejitolea kumaliza vita nchini nchini humo.

 

10 years ago

TheCitizen

Letter to South Sudan’s Dr Riek Machal and Salva Kiir

I hope you are fine, and now you can sleep peacefully after signing a peace agreement in Ngurdoto Tanzania. I salute you. Reaching such a juncture after long time fighting is recommendable and welcome, especially, for the people of South Sudan. I understand. You both, hand-in-hand, fought for the emancipation of your esteemed nation referred to as the youngest nation of the world. Again, your country is young but you are not.  This being the case, your maturity is an asset for the young...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani