Mbwa wa Benjamin Netanyahu huuma wageni
Mbwa ambaye anayefugwa na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aliwauma wageni wawili, akiwemo mbunge wakati wa hafla ya kidini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLoYPj7V-*DP6gutGBxqquhq5t6BgxrEdeSr6YhP-6SC*ku9waQnWyI8XEZgjY0MXxdbvnJBTEm0cINcRKkpbMsz/bibiobama.jpg?width=650)
MAREKANI IMESEMA BENJAMIN NETANYAHU AMEKIUKA MPANGO WA AMANI
Waziri mkuu wa Israel Bw. Benjamin Netanyahu akifanya mashauriano na Raisi wa Marekani Bw. Barack Obama. Msemaji wa serikali ya Marekani, Josh Earnest, amesema waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekiuka dhamira yake ya awali ya kuundwa kwa mataifa mawili kama suluhu ya mgogoro wa Israel na Palestina mwanzoni mwa wiki hii, na kwamba Marekani inautathmini msimamo wake upya. Matamshi ya waziri mkuu huyo wa Israel ya kutotaka...
11 years ago
Mwananchi25 May
Tuwadhibiti panya road, mbwa mwitu, watoto wa mbwa
Dar es Salaam kumezuka tafrani, umeibuka mtindo mpya wa vibaka kupora kwa makundi kwa kufanya operesheni maalumu katika baadhi ya maeneo. Hivi sasa pamoja na kuwa uhalifu umekithiri nchi nzima, lakini kila eneo kuna uhalifu wa aina yake na huu ulioibuka Dar es Salaam unatisha.
11 years ago
Habarileo24 May
Mbwa mwitu, watoto wa mbwa, panya road kutokomezwa
JESHI la Polisi nchini limewaagiza Makamanda wa Polisi wa Mikoa, kuhakikisha wanavidhibiti na kuvitokomeza vikundi vyote vinavyojihusisha na vitendo vya uhalifu, ikiwemo uporaji, unyang’anyi na kujeruhi watu katika maeneo mbalimbali.
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Netanyahu: walioua wanajeshi watakiona
Waziri Mkuu wa Israel Benjamini Netanyahu amesema wote waliohusika na mashambulizi dhidi ya msafara wa majeshi ya Israel watalipa gharama ya waliyoyafanya.
10 years ago
BBCSwahili24 Feb
Nyaraka za siri zamuumbua,Netanyahu
Nyaraka za siri zilizochapishwa na gazeti la Guardian la London ambazo Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alizihusisha na mpango wa nyuklia wa Iran zadaiwa kumuumbua.
10 years ago
BBCSwahili04 May
Netanyahu ashtumu ubaguzi Israeli
Benjamin Netanyahu ameelezea mshangao wake binafsi kwa mwanajeshi wa Israeli wa asili ya Ethiopia ambaye alipigwa na polisi wa Israeli
9 years ago
BBCSwahili22 Oct
Ujerumani yapinga madai ya Netanyahu
Ujerumani imesisitiza kwamba ndiyo inayowajibika kwa mauaji ya Wayahudi wakati wa Vita Vikuu vya Pili vya Dunia.
9 years ago
BBCSwahili03 Jan
Netanyahu atahadharisha Waisraeli Waarabu
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema usalama utaimarishwa zaidi katika maeneo ya Wairsaeli Waarabu baada ya mshambuliaji kuua watu wawili mjini Tel Aviv.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania