Vodacom, Tigo wakubaliana kuwa na gharama moja.
Na Grace Semfuko,
Dar Es Salaam,
Kampuni za simu za mkononi za Vodacom na Tigo zimeingia makubaliano ya pamoja ya kuwa na gharama moja ya utumaji wa pesa kupitia huduma zao za Tigo pesa na Mpesa.
Katika makubaliano hayo wateja milioni nne kutoka Tigo na wateja milioni 3 wa Vodacom watanufaika na huduma hizo.
Utiliaji saini makubaliano hayo umefanyika Jijini Dar Es Salaam baina ya wakurugenzi wa kampuni hizo mbili za Vodacom na Tigo.
Mkurugenzi wa Vodacom Rene Meza alisema...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
Airtel Money yazindua rasmi huduma ya kutuma/kupokea pesa moja kwa moja kwenye akaunti ya tigo pesa

11 years ago
GPL
AIRTEL MONEY YAZINDUA RASMI HUDUMA YA KUTUMA, KUPOKEA PESA MOJA KWA MOJA KWENYE AKAUNTI YA TIGO PESA
11 years ago
Habarileo21 Jan
Tigo kurejesha gharama za laini za simu kwa wateja wake
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tigo imezindua utaratibu wa kurudishia wateja wake gharama zote za ununuzi wa laini za simu kwa kuwapa muda wa maongezi na salio katika akaunti za Tigo pesa.
11 years ago
Michuzi.jpg)
‘MADINI HOUSE’ KUJENGWA ARUSHA, Kuwa na huduma za kibenki, Helkopita kutua moja kwa moja kituoni
9 years ago
TheCitizen26 Nov
Vodacom, Tigo speak out on new telecoms competitor
10 years ago
TheCitizen01 Oct
Vodacom and Tigo battle for Zantel stake
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Vodacom, Tigo sasa kuunganisha huduma
10 years ago
Michuzi.jpg)
VODACOM NA TIGO WAUNGANA KUTOA HUDUMA BORA ZA KIFEDHA
.jpg)
.jpg)
10 years ago
GPL
VODACOM NA TIGO WAUNGANA KUTOA HUDUMA BORA ZA KIFEDHA