Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vodacom and Tigo battle for Zantel stake

Two mobile operators, Vodacom and Millicom International Cellular that trades as Tigo, are competing for a 65 per cent Etisalat stake in Zanzibar Telecom (Zantel) as competition stiffens in the country.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWS: MILLICOM SIGNS DEAL TO ACQUIRE 85% STAKE AT ZANTEL

Millicom signs agreement to acquire Zanzibar Telecom
Stockholm, June 5, 2015 – Millicom (Stockholmsbörsen: MIC), today announced that it has signed a Share Purchase Agreement to acquire an 85% stake in Zanzibar Telecom (Zantel) from Etisalat Group.


Zantel is the leading mobile telecom operator on the islands of Zanzibar with 2014 gross revenues of $82 million and 1.7 million subscribers across Zanzibar and mainland Tanzania. It operates 2G and 3G services over 545 network sites, with 57MHz of...

 

10 years ago

TheCitizen

Tigo finally acquires Zantel

Dar es Salaam. Millicom International Cellular that trades as Tigo has finally acquired an 85 per cent stake in Zanzibar Telecom (Zantel) from the United Arab Emirates’ Etisalat Group.

 

11 years ago

Mwananchi

Tigo, Airtel, Zantel zaunganisha huduma

Kampuni za simu za mkononi za Tigo, Airtel na Zantel zimeunganisha huduma zao za kutoa, kutuma na kuweka fedha na sasa mteja anaweza kutuma fedha kutoka mtandao mmoja kupitia mwingine.

 

5 years ago

Quartz Africa

Safaricom, Vodacom buy Vodafone's M-Pesa stake

Safaricom, Vodacom buy Vodafone's M-Pesa stake  Quartz AfricaSafaricom, Vodacom partner to grow M-pesa across Africa  CNBCAfrica.comView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Dewji Blog

Wateja wa Tigo na ZANTEL sasa kufurahia huduma salama na uhakika ya kutumiana fedha kwenye Mitandao yao kwa 100%

2

Meneja Chapa wa Tigo William Mpinga akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mjini Zanzibar mapema leo kuhusu ushirikiano kati ya TigoPesa na EzyPesa ambapo sasa wateja kutoka mitandao hiyo miwili wataweza kutuma na kupokea pesa kutoka mtandao hiyo moja kwa moja kutoka kwa wakala wa mtandao wao bila kuwa na ulazima tena wa mteja kutafuta wakala wa mtandao wa mtu aliyemtumia pesa.

3

Mkurugenzi wa Huduma za Kutuma na Kupokea Fedha wa Tigo Andrew Hodgson akitoa maelezo kwa waandishi...

 

9 years ago

TheCitizen

Vodacom, Tigo speak out on new telecoms competitor

Vietnam’s telecoms operator Vietel officially launched its mobile and internet services – under the brand name of Halotel – mid-last month (October 15), in a move that is likely going to rekindle competition in the market.

 

10 years ago

Mwananchi

Vodacom, Tigo sasa kuunganisha huduma

Zaidi ya wateja milioni 11 wa huduma za M-pesa na Tigo Pesa nchini, wanatarajiwa kunufaika na gharama nafuu za kutuma fedha baina ya mitandao hiyo kuanzia mwaka huu.

 

10 years ago

StarTV

Vodacom, Tigo wakubaliana kuwa na gharama moja.

Na Grace Semfuko,

Dar Es Salaam,

 

Kampuni za simu za mkononi za Vodacom na Tigo zimeingia makubaliano ya pamoja ya kuwa na gharama moja ya utumaji wa pesa kupitia huduma zao za Tigo pesa na Mpesa.

 

Katika makubaliano hayo wateja milioni nne kutoka Tigo na wateja milioni 3 wa Vodacom watanufaika na huduma hizo.

 

Utiliaji saini makubaliano hayo umefanyika Jijini Dar Es Salaam baina ya wakurugenzi wa kampuni hizo mbili za Vodacom na Tigo.

Mkurugenzi wa Vodacom Rene Meza alisema...

 

10 years ago

Michuzi

VODACOM NA TIGO WAUNGANA KUTOA HUDUMA BORA ZA KIFEDHA

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza (kushoto, aliyekaa) na Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez (kulia, aliyekaa), wakitia saini mkataba wa makubaliano ya kutoa huduma za kutuma na kupokea fedha na miamala mbalimbali ya malipo zinazotolewa na makampuni yao kupitia huduma ya M-Pesa na Tigopesa. Wanaoshuhudia kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Sheria wa Vodacom Tanzania, Ngayama Matongo na kulia ni Meneja wa Chapa ya Tigo, William Mpinga.Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani