Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tigo finally acquires Zantel

Dar es Salaam. Millicom International Cellular that trades as Tigo has finally acquired an 85 per cent stake in Zanzibar Telecom (Zantel) from the United Arab Emirates’ Etisalat Group.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Vodacom and Tigo battle for Zantel stake

Two mobile operators, Vodacom and Millicom International Cellular that trades as Tigo, are competing for a 65 per cent Etisalat stake in Zanzibar Telecom (Zantel) as competition stiffens in the country.

 

11 years ago

Mwananchi

Tigo, Airtel, Zantel zaunganisha huduma

Kampuni za simu za mkononi za Tigo, Airtel na Zantel zimeunganisha huduma zao za kutoa, kutuma na kuweka fedha na sasa mteja anaweza kutuma fedha kutoka mtandao mmoja kupitia mwingine.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wateja wa Tigo na ZANTEL sasa kufurahia huduma salama na uhakika ya kutumiana fedha kwenye Mitandao yao kwa 100%

2

Meneja Chapa wa Tigo William Mpinga akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mjini Zanzibar mapema leo kuhusu ushirikiano kati ya TigoPesa na EzyPesa ambapo sasa wateja kutoka mitandao hiyo miwili wataweza kutuma na kupokea pesa kutoka mtandao hiyo moja kwa moja kutoka kwa wakala wa mtandao wao bila kuwa na ulazima tena wa mteja kutafuta wakala wa mtandao wa mtu aliyemtumia pesa.

3

Mkurugenzi wa Huduma za Kutuma na Kupokea Fedha wa Tigo Andrew Hodgson akitoa maelezo kwa waandishi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yatoa udhamini kwa washindi wa Tigo Ngorongoro Run kushiriki Tigo Kili Half Marathon 2015

tigo 18

Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Kanda ya Kaskazini, David Charles akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo kwa wanariadha ambao walishinda mbio za mwaka jana za Tigo Ngorongoro Run Marathon kushirki kwenye mbio za mwaka huu za Tigo Kili Half Marathon, Kushoto kwake ni Meneja wa Mawasiliano wa Tigo John Wanyancha na Kulia kwake ni mwanariadha Mary Naali na Mjumbe toka Riadha Tanzania Meta Petro.  Mkutano huo ulifanyika Mkoani Arusha jana.

tigo 2

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya simu ya Tigo yazindua kampeni ya ‘Chagua Tigo Pesa, Inalipa’

1

Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana katika uzinduzi wa kampeni ya ya Chagua Tigo Pesa, Inalipa. Kulia ni Meneja  Bidhaa wa Tigo, William Mpinga.

2

Meneja  Bidhaa wa Tigo, William Mpinga (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo. Kushoto ni Mkuu wa wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel.

IMG_2230

Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.

Na Dotto Mwaibale

KAMPUNI ya simu ya mkononi ya...

 

10 years ago

TheCitizen

Shell acquires British Gas for $70bn

Tanzania’s dream of being the first country in East and Central Africa to have a liquefied natural gas (LNG) plant may take longer than expected following yesterday’s move by one of the key partners in the planned project to be acquired by a Dutch firm.

 

10 years ago

TheCitizen

Uchumi acquires Dar’s Sifamart Supermarket

>Uchumi supermarket has acquired a store in Tanzania as part of its aggressive expansion plan in that market. Chief executive Jonathan Ciano said the acquisition of the outlet from Dar es Salaam-based Sifamart Supermarkets was concluded last week in a deal financed by debt.

 

9 years ago

Oil Review Africa

Octant Energy acquires assets in Kenya and Tanzania


Oil Review Africa
Octant Energy acquires assets in Kenya and Tanzania
Oil Review Africa
offshore tanzania Berardo62 flickr The acquisitions include both onshore and offshore assets in East Africa. (Image source: Berardo62/Flickr). The assets acquired by Canada-based Octant include Block L17/L18 and Block 1 in Kenya, and the Tanga Block in ...
KENYA/TANZANIA : The people behind Octant, the company that bought AfrenAfrica Intelligence (subscription)

all 2

 

10 years ago

Dewji Blog

Wateja wa Tigo Pesa kunufaika na huduma ya “Tigo wekeza” kwa kupata faida kupitia akaunti zao

1

Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu huduma mpya ya Tigo Wekeza iliyozinduliwa leo kwa ajili ya kuwawezesha wateja wa Tigo Pesa zaidi ya milioni 3.5 kuweza kupata gawiwo moja kwa moja katika akaunti zao za Tigo Pesa. Kushoto ni Profesa Andrew Temu kutoka mfuko wa fedha Financial Services Deepening Trust (FSDT), wa pili kulia ni Mkuu wa Idara ya Tigo Pesa Andrew Hodgson na wakala wa Tigo Pesa Ramadhan Wangwa.

Tigo Tanzania leo imekuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani