Vodacom, Tigo speak out on new telecoms competitor
Vietnam’s telecoms operator Vietel officially launched its mobile and internet services – under the brand name of Halotel – mid-last month (October 15), in a move that is likely going to rekindle competition in the market.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen01 Oct
Vodacom and Tigo battle for Zantel stake
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Vodacom, Tigo sasa kuunganisha huduma
10 years ago
StarTV26 Feb
Vodacom, Tigo wakubaliana kuwa na gharama moja.
Na Grace Semfuko,
Dar Es Salaam,
Kampuni za simu za mkononi za Vodacom na Tigo zimeingia makubaliano ya pamoja ya kuwa na gharama moja ya utumaji wa pesa kupitia huduma zao za Tigo pesa na Mpesa.
Katika makubaliano hayo wateja milioni nne kutoka Tigo na wateja milioni 3 wa Vodacom watanufaika na huduma hizo.
Utiliaji saini makubaliano hayo umefanyika Jijini Dar Es Salaam baina ya wakurugenzi wa kampuni hizo mbili za Vodacom na Tigo.
Mkurugenzi wa Vodacom Rene Meza alisema...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2B1-QLkIo_o/VO27Bk8K3lI/AAAAAAAHF1E/p95qtpfBySg/s72-c/unnamed%2B(58).jpg)
VODACOM NA TIGO WAUNGANA KUTOA HUDUMA BORA ZA KIFEDHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-2B1-QLkIo_o/VO27Bk8K3lI/AAAAAAAHF1E/p95qtpfBySg/s1600/unnamed%2B(58).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-U07cOF2XESY/VO27AjbJaWI/AAAAAAAHF0w/ABAl6VaGssg/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 Dec
Tigo, Airtel na Vodacom zashirikiana na AU ‘kutokomeza Ebola barani Afrika’
Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii kutoka Tigo Bi. Woinde Shisael (katikati) akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na kampeni maalum ya kampuni za simu tatu nchini zilizoungana kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia kutokomeza ugonjwa wa Ebola Afrika. Kushoto ni Mkuu wa Mawasliano na Mahusiano ya Umma kutoka Vodacom Bi. Rosalynn Mworia, na Meneja wa Huduma za Kijamii kutoka Airtel Bi. Hawa Bayumi (kulia). Kuchangia mteja yeyote wa kampuni hizo tatu tajwa anaweza akatuma neno ‘Tokomeza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gDF3S0THO9xaLxKrBLF-NcW3dpcS--dMgIBn-UqPXh-VLsIrWTU5YcJ1nInbDtx3N3nkDvmllKahgEDaV7c0DNUnYJ8kgAjU/001.LEO.jpg?width=650)
VODACOM NA TIGO WAUNGANA KUTOA HUDUMA BORA ZA KIFEDHA
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Tigo yatoa udhamini kwa washindi wa Tigo Ngorongoro Run kushiriki Tigo Kili Half Marathon 2015
Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Kanda ya Kaskazini, David Charles akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo kwa wanariadha ambao walishinda mbio za mwaka jana za Tigo Ngorongoro Run Marathon kushirki kwenye mbio za mwaka huu za Tigo Kili Half Marathon, Kushoto kwake ni Meneja wa Mawasiliano wa Tigo John Wanyancha na Kulia kwake ni mwanariadha Mary Naali na Mjumbe toka Riadha Tanzania Meta Petro. Mkutano huo ulifanyika Mkoani Arusha jana.
11 years ago
TheCitizen29 Jun
Bar competitor threatens to drive Mzee Shirima nuts
5 years ago
The Verge02 Apr
YouTube reportedly working on TikTok competitor called Shorts