Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majeshi ya China yalinda amani Sudan Kusini

Uchina imeanza kutuma mamia ya wanajeshi wake nchini Sudan Kusini mapema mwaka huu kujiunga katika kikosi cha Umoja wa Mataifa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini yatetea majeshi ya UG

Waziri wa mashauri ya Nchi za kigeni wa Sudan Kusini Barnaba Marial Benjamin, ametetea kuwepo kwa wanajeshi wa Uganda Nchini mwake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya kupeleka majeshi Sudan Kusini

Kamati ya usalama ya Kenya imependekeza kupelekwa kwa wanajeshi wa kudumisha amani nchini Sudan Kusini

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania kupeleka majeshi Sudan Kusini

Serikali inatarajia kupeleka kikosi kimoja cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) huko Sudan Kusini kwa ajili ya kulinda amani kutokana na vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa majeshi afutwa kazi Sudan.Kusini

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir amemfuta kazi mkuu wa majeshi yake Generali James Hoth Mai bila ya kutoa sababu yoyote

 

10 years ago

Habarileo

Mazungumzo ya amani Sudan Kusini yamalizika

Salva KiirMAZUNGUMZO ya vikundi vinavyopingana ndani ya chama cha SPLM cha Sudan Kusini, chini ya usuluhishi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) yamemaliza awamu ya pili ya mazungumzo hayo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkataba wa amani waafikiwa Sudan kusini

Mkataba wa usitishaji uhasama kati ya serikali na waasi nchini Sudan kusini waanza kutekelezwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya amani ya Sudan Kusini yaanza

Harakati za kupata suluhisho la kudumu la mgogoro wa Sudan Kusini zimeanza mjini Arusha.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kizungumkuti cha amani Sudan Kusini

Mazungumzo ya amani kati ya serikali ya Sudan Kusini na waasi yanatarajiwa kuanza tena leo mjini Addis Ababa Ethiopia.Je yatafaulu?

 

10 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini:Mazungumzo ya amani yaanza

Mazungumzo mapya yanayolenga kumaliza mgogoro wa wenyewe kwa wenyewe wa miezi 19 Sudan Kusini yameanza katika mji mkuu wa Ethiopia Addis Ababa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani