Mkuu wa majeshi afutwa kazi Sudan.Kusini
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir amemfuta kazi mkuu wa majeshi yake Generali James Hoth Mai bila ya kutoa sababu yoyote
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili12 Feb
Sudan Kusini yatetea majeshi ya UG
Waziri wa mashauri ya Nchi za kigeni wa Sudan Kusini Barnaba Marial Benjamin, ametetea kuwepo kwa wanajeshi wa Uganda Nchini mwake.
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Tanzania kupeleka majeshi Sudan Kusini
Serikali inatarajia kupeleka kikosi kimoja cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) huko Sudan Kusini kwa ajili ya kulinda amani kutokana na vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea.
11 years ago
BBCSwahili26 Feb
Kenya kupeleka majeshi Sudan Kusini
Kamati ya usalama ya Kenya imependekeza kupelekwa kwa wanajeshi wa kudumisha amani nchini Sudan Kusini
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Majeshi ya China yalinda amani Sudan Kusini
Uchina imeanza kutuma mamia ya wanajeshi wake nchini Sudan Kusini mapema mwaka huu kujiunga katika kikosi cha Umoja wa Mataifa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/U8LSueg-IYqb4Oc0XUJ-eLBrniCyROwO068-Xs-6IetZAH3*CJnk*V-lIIqYH1IqY2KJon-bl-4CBhBJAT32s*-6DF6ZDyRB/breakingnews.gif)
MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR, OTHMAN MASOUD OTHMAN AFUTWA KAZI
Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman. RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, leo amemfuta kazi Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman na nafasi yake kuchukuliwa na Said Hassan Said. Rais Shein amefanya uteuzi huo wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya Kifungu 55 (1) cha...
10 years ago
MichuziUJUMBE WA VIONGOZI WA SUDAN KUSINI WAVUTIWA NA UTENDAJI KAZI WA TANROADS
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Afisaa mkuu wa UN azuru Sudan Kusini
Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la haki za binadamu, Navi Pillay yuko nchini Sudan Kusini kutathmini hali huko baada ya miezi minne ya mzozo .
11 years ago
BBCSwahili12 May
Sudan Kusini yaahirisha uchaguzi mkuu
Sudan Kusini imeahirisha uchaguzi wake uliotarajiwa kufanyika mwaka ujao ili kutoa fursa kwa pande zinazozozana kufikia makubaliano ya amani.
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
Laudrup afutwa kazi na Swansea
Uvumi wasambaa kuhusu hatma ya Laudrup baada ya Swansea kushindwa 2-0 na West Ham .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania