Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkuu wa majeshi afutwa kazi Sudan.Kusini

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir amemfuta kazi mkuu wa majeshi yake Generali James Hoth Mai bila ya kutoa sababu yoyote

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini yatetea majeshi ya UG

Waziri wa mashauri ya Nchi za kigeni wa Sudan Kusini Barnaba Marial Benjamin, ametetea kuwepo kwa wanajeshi wa Uganda Nchini mwake.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania kupeleka majeshi Sudan Kusini

Serikali inatarajia kupeleka kikosi kimoja cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) huko Sudan Kusini kwa ajili ya kulinda amani kutokana na vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya kupeleka majeshi Sudan Kusini

Kamati ya usalama ya Kenya imependekeza kupelekwa kwa wanajeshi wa kudumisha amani nchini Sudan Kusini

 

9 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya China yalinda amani Sudan Kusini

Uchina imeanza kutuma mamia ya wanajeshi wake nchini Sudan Kusini mapema mwaka huu kujiunga katika kikosi cha Umoja wa Mataifa

 

10 years ago

GPL

MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR, OTHMAN MASOUD OTHMAN AFUTWA KAZI

Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman. RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, leo amemfuta kazi Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman na nafasi yake kuchukuliwa na Said Hassan Said. Rais Shein amefanya uteuzi huo wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya Kifungu 55 (1) cha...

 

10 years ago

Michuzi

UJUMBE WA VIONGOZI WA SUDAN KUSINI WAVUTIWA NA UTENDAJI KAZI WA TANROADS

Mkurugenzi wa Mipango wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) Eng. Jason Rwiza, akielezea namna TANROADS inavyofanya kazi za ujenzi wa barabara hapa nchini kwa ujumbe wa viongozi kutoka Sudan Kusini katika ofisi za Wakala hao jijini Dar es salaam jana. Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Barabara wa Sudan Kusini Eng. Kenyata Warille, akifafanua namna Mamlaka yake inavyofanya kazi za ujenzi wa barabara nchini kwao. (Nyuma wa kwanza kulia) ni Mwakilishi wa JICA wa Sudan Kusini Tomoki Kobayashi,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Afisaa mkuu wa UN azuru Sudan Kusini

Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la haki za binadamu, Navi Pillay yuko nchini Sudan Kusini kutathmini hali huko baada ya miezi minne ya mzozo .

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini yaahirisha uchaguzi mkuu

Sudan Kusini imeahirisha uchaguzi wake uliotarajiwa kufanyika mwaka ujao ili kutoa fursa kwa pande zinazozozana kufikia makubaliano ya amani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Laudrup afutwa kazi na Swansea

Uvumi wasambaa kuhusu hatma ya Laudrup baada ya Swansea kushindwa 2-0 na West Ham .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani