Tukio la ‘ugaidi’ latesa wafanyabiashara
Na Ramadhan Libenanga, Morogoro
WAFANYABIASHARA wa mchele na nyanya waliopo wilaya za Kilombero na Kilosa mkoani Morogoro wamelalamikia kupotea kwa wateja wao kutokana na tukio la watu tisa kukamatwa na Jeshi la Polisi wakiwa na milipuko, silaha za jadi na sare za jeshi katika Msikiti wa Salah Al-Fajih, uliopo Kijiji cha Chikago, Kata ya Kidatu.
MTANZANIA Jumamosi lilitembelea katika vijiji vya Rauha, Kidodi, Ruhembe, Mkamba, Kidatu na Chikago kwa upande wa wilaya zote mbili na lilibaini...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo27 Aug
Polisi kupeleka wapelelezi Kenya tukio la ugaidi
POLISI imesema inaandaa mipango ya kumtuma mtu nchini Kenya kwa ajili ya kupata taarifa kamili kuhusu, madai ya kukamatwa kwa Watanzania sita na kuhusishwa na ugaidi nchini Kenya.
10 years ago
Mwananchi03 Mar
Tatizo la Luku latesa wananchi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGutO9vx3lEh5wtOstOP24B9me-e2PcfG8l1JEOjuImcue0t0QV9D6eFNEniUJXpgqP4qmFAic9IdiMjbT10b01dQ/BACKUWAZI.gif?width=650)
MAUAJI YA POLISI 2 MKOA WA PWANI UGAIDI UGAIDI
10 years ago
BBCSwahili21 Sep
Wakenya waadhimisha tukio la kigaidi.
10 years ago
Mwananchi21 Oct
‘Sitasahau tukio la moto wa Mbeya’
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
CCM ijitathmini kwa tukio la Keisy
KITENDO cha Mjumbe wa Bunge la Maalum la Katiba, Ally Keisy kufichua madudu ya Kamati yake namba moja ya Bunge hilo, cha kuwalazimishwa kupiga kura bila akidi ya wajumbe kutimia,...
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Watatu wauawa tukio la utekaji Sydney
10 years ago
MichuziTUKIO LA UJAMBAZI,MLANDEGE ZANZIBAR LEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LfgKbiwL6OY/Xneb689y3PI/AAAAAAALkv8/rk23BgHaQXYrzyuKnQEQ64CnJjGi-KQzQCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
KUKAMATWA KWA MTUHUMIWA WA TUKIO LA MAUAJI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-LfgKbiwL6OY/Xneb689y3PI/AAAAAAALkv8/rk23BgHaQXYrzyuKnQEQ64CnJjGi-KQzQCLcBGAsYHQ/s1600/index.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia FESTO MADUHU [28 -30] Mbeba Mizigo @ Kuli na Mkazi wa Mtaa wa Benki Kabwe Jijini Mbeya kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake na kisha yeye mwenyewe kujaribu kujiua kwa kisu.
Ni kwamba mnamo tarehe 22/03/2020majira ya saa 09:00 Asubuhi huko katika nyumba ya kulala wageni iitwayo “NEGERO”iliyopo Mtaa wa Ilolo, Kata ya Ruanda, Tarafa ya Iyunga, Jijini Mbeya katika chumba namba 111 @ Victoria, Mwanamke mmoja aitwaye JESCA MICHAEL @ KUNGULU [28] Mhudumu...