Tatizo la Luku latesa wananchi
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limesema linaendelea na kazi ya kurekebisha hitilafu kwenye mfumo wa Luku kwa njia ya mitandao ya simu ili kuwalipa ‘units’ wateja wake waliokatwa pesa zao kabla ya kupata huduma hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Tanesco: Kuna tatizo la upatikanaji umeme wa Luku
10 years ago
Mtanzania18 Apr
Tukio la ‘ugaidi’ latesa wafanyabiashara
Na Ramadhan Libenanga, Morogoro
WAFANYABIASHARA wa mchele na nyanya waliopo wilaya za Kilombero na Kilosa mkoani Morogoro wamelalamikia kupotea kwa wateja wao kutokana na tukio la watu tisa kukamatwa na Jeshi la Polisi wakiwa na milipuko, silaha za jadi na sare za jeshi katika Msikiti wa Salah Al-Fajih, uliopo Kijiji cha Chikago, Kata ya Kidatu.
MTANZANIA Jumamosi lilitembelea katika vijiji vya Rauha, Kidodi, Ruhembe, Mkamba, Kidatu na Chikago kwa upande wa wilaya zote mbili na lilibaini...
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Sauti za wananchi wa Dar kuhusu tatizo la foleni
9 years ago
MichuziTATIZO LA KIUFUNDI HALINA LENGO LA KUWAKOMOA WANANCHI-MRAMBA
11 years ago
GPLSINA TATIZO NA MAWAZIRI MZIGO NINA TATIZO NA CCM
11 years ago
Mwananchi17 Jul
‘Tatizo la kutonufaika na madini, tatizo ni viongozi si wawekezaji’
10 years ago
Michuzi11 Apr
TATIZO LA RUSHWA YA NGONO BADO NI TATIZO TANZANIA.
10 years ago
Habarileo08 Apr
Tanesco yaja na Luku mpya
Shirika la Umeme nchini (TANESCO) linatarajia kubadilisha mfumo wa huduma ya Lipia Umeme Kadri Utumiavyo (Luku) na kuuweka wa kisasa ili kuwaondolea usumbufu wateja wake.
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Luku yazua tafrani Mbeya