TUKIO LA UJAMBAZI,MLANDEGE ZANZIBAR LEO
MKUU wa Polisi Wilaya ya Mjini, Ali Makame (wa pili kushoto) akiangalia gari iliyovunjwa na kuibiwa pesa zinazosadikiwa kuwa ni euro elfu moja na shilingi za kitanzania milioni tano, muda mfupi baada ya kufika eneo la tukio katika eneo la Mlandege mjini Zanzibar.
ASKARI Polisi wakiwa wameizunguka gari iliyovunjwa na kuibiwa pesa zinazosadikiwa kuwa ni euro elfu moja na shilingi za kitanzania milioni tano, tukio hilo limetokea majira ya saa saba mchana katika eneo la Mlandege mjini Zanzibar...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u2i2RN9rNfw/VMJnFqCEm2I/AAAAAAAG_LY/IaQD5wuNF60/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Wawili watiwa mbaroni katika tukio la Ujambazi,Darajani Zanzibar mchana wa leo
Inadaiwa kuwa watuhumiwa hao walikua watatu na walitaka kuiba katika maduka na mawakala wa huduma za pesa yaliyopo eneo la Mnazi,baada ya kushtukiwa walikimbia na kufukuzana na Polisi hadi katika maeneo ya Darajani ndipo wananchi kwa kushirikiana na polisi wakawadhibiti na...
11 years ago
Bongo502 Aug
Dude azungumzia taarifa za gari lake kuhusishwa na tukio la ujambazi
10 years ago
MichuziASKARI WANNE WA JESHI LA POLISI NA RAIA WATATU WAPOTEZA MAISHA KATIKA TUKIO LA UJAMBAZI JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gDRvUbeGG0s/U9P3GacYBeI/AAAAAAAF6pY/JBHNVd8RQAg/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad, atembelea maduka mbali mbali ya nguo na viatu katika maeneo ya Mlandege, Mchangani na Darajani Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-gDRvUbeGG0s/U9P3GacYBeI/AAAAAAAF6pY/JBHNVd8RQAg/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AQerfULHSlg/U9P3G1MPEdI/AAAAAAAF6pc/1BA2KHqgMKE/s1600/unnamed+(9).jpg)
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU ASHIRIKI TUKIO LA KUVUNJWA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR
11 years ago
Habarileo09 Jan
Wacheza bao Mlandege wapewa 100,000/-
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Iringa Mjini, Mahamudu Madenge ametoa mchango wa Sh 100,000 kwa kikundi cha wacheza bao wa Mlandege. Kikundi hicho chenye wanachama 154, kina Sh 264,000 benki. Fedha hiyo inatokana na mchango wa Sh 1,000 unaotolewa kwa mwezi na kila mwanachama.
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Kilichonifikia kuhusu tukio la kuzuka moto Wizara ya Mambo ya ndani Dar leo.. (Pichaz)
Huenda umekutana na stori mitandaoni au picha kuhusu tukio la ajali ya moto katika jengo la Wizara ya Mambo ya ndani, posta Dar es Salaam. Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, SSP Advera Senzo Bulimba amesema ni kweli kulitokea cheche za moto katika jengo hilo katika ghorofa ya nne, taarifa zikatolewa kwa vikosi vya zimamoto […]
The post Kilichonifikia kuhusu tukio la kuzuka moto Wizara ya Mambo ya ndani Dar leo.. (Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Michuzi31 Jan
10 years ago
Michuzi08 Oct
ANGALIA MOJA KWA MOJA TUKIO LA MAKABIDHIANO YA RASIMU YA KATIBA HUKO MJINI DODOMA LEO
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10