Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUKIO LA UJAMBAZI,MLANDEGE ZANZIBAR LEO

MKUU wa Polisi Wilaya ya Mjini, Ali Makame (wa pili kushoto) akiangalia gari iliyovunjwa na kuibiwa pesa zinazosadikiwa kuwa ni euro elfu moja na shilingi za kitanzania milioni tano, muda mfupi baada ya kufika eneo la tukio katika eneo la Mlandege mjini Zanzibar. ASKARI Polisi wakiwa wameizunguka gari iliyovunjwa na kuibiwa pesa zinazosadikiwa kuwa ni euro elfu moja na shilingi za kitanzania milioni tano, tukio hilo limetokea majira ya saa saba mchana katika eneo la Mlandege mjini Zanzibar...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Wawili watiwa mbaroni katika tukio la Ujambazi,Darajani Zanzibar mchana wa leo

Watuhumiwa wawili katika tukio la Ujambazi lililotokea Mchana wa leo eneo la Darajani Jua Kali,Zanzibar wametiwa mbaroni baada ya kuzidiwa nguvu na wananchi wenye hasira wakati walipokuwa wakiwakimbia Polisi.

Inadaiwa kuwa watuhumiwa hao walikua watatu na walitaka kuiba katika maduka na mawakala wa huduma za pesa yaliyopo eneo la Mnazi,baada ya kushtukiwa walikimbia na kufukuzana na Polisi hadi katika maeneo ya Darajani ndipo wananchi kwa kushirikiana na polisi wakawadhibiti na...

 

11 years ago

Bongo5

Dude azungumzia taarifa za gari lake kuhusishwa na tukio la ujambazi

Baada ya gari la muigizaji maarufu wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ kukamatwa na polisi jijini Dar es Salaam likihusishwa na tukio la ujambazi linalodaiwa kutokea Kijitonyama, amezungumzia nini kinaendelea kwenye madai hayo. Akizungumza na Bongo5 leo, Dude amesema kuwa ni kweli gari yake imedaiwa kuhusishwa na tukio hilo lakini uchunguzi unaendelea wa kuwatafuta wahusika […]

 

10 years ago

Michuzi

ASKARI WANNE WA JESHI LA POLISI NA RAIA WATATU WAPOTEZA MAISHA KATIKA TUKIO LA UJAMBAZI JIJINI DAR

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Ernest Mangu akizungumza na waandishi wa habari leo katika kituo cha Stakishari Ukonga jijini Dar es Salaam, kutokana na Askari wa Jeshi la Polisi  na raia wa eneo hilo kuuwawa na majambazi waliovamia katika kituo hicho usiku wa kuamkia leo.  Viongozi wa Jeshi la Polisi nchini wakiongozwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Ernest Mangu, wakitembelea maeneo mbalimbali ambayo majambazi walidhuru, katika kituo cha Stakishari Ukonga jijini Dar es...

 

11 years ago

Michuzi

Maalim Seif Sharif Hamad, atembelea maduka mbali mbali ya nguo na viatu katika maeneo ya Mlandege, Mchangani na Darajani Zanzibar

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akitembelea maduka mbali mbali ya nguo na viatu katika maeneo ya Mlandege, Mchangani na Darajani Zanzibar jana usiku, kuangalia hali ya upatikanaji wa bidhaa hizo katika kipindi hiki cha kuelekea sikukuu ya Eid- El-Fitri. Picha zote na Salmin Said, OMKRMakamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akitembelea maduka mbali mbali ya nguo na viatu katika maeneo ya Mlandege, Mchangani na Darajani Zanzibar

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU ASHIRIKI TUKIO LA KUVUNJWA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Spika wa Baraza la Wawakilishi, Zubeir Ali Maulid (kulia) na Katibu wa Baraza la Wawakilishi, Raya Issa Musellem  wakati alipowasili kwenye ukumbi wa Baraza la Wakilishi  kushiriki katika tukio la kuvunjwa kwa Baraza hilo kulikofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt, Ali Mohammed Shein, Juni 20, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Rais wa Zanzibar n a Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali...

 

11 years ago

Habarileo

Wacheza bao Mlandege wapewa 100,000/-

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Iringa Mjini, Mahamudu Madenge ametoa mchango wa Sh 100,000 kwa kikundi cha wacheza bao wa Mlandege. Kikundi hicho chenye wanachama 154, kina Sh 264,000 benki. Fedha hiyo inatokana na mchango wa Sh 1,000 unaotolewa kwa mwezi na kila mwanachama.

 

9 years ago

MillardAyo

Kilichonifikia kuhusu tukio la kuzuka moto Wizara ya Mambo ya ndani Dar leo.. (Pichaz)

Huenda umekutana na stori mitandaoni au picha kuhusu tukio la ajali ya moto katika jengo la Wizara ya Mambo ya ndani, posta Dar es Salaam. Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, SSP Advera Senzo Bulimba amesema ni kweli kulitokea cheche za moto katika jengo hilo katika ghorofa ya nne, taarifa zikatolewa kwa vikosi vya zimamoto […]

The post Kilichonifikia kuhusu tukio la kuzuka moto Wizara ya Mambo ya ndani Dar leo.. (Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Michuzi

ANGALIA MOJA KWA MOJA TUKIO LA MAKABIDHIANO YA RASIMU YA KATIBA HUKO MJINI DODOMA LEO

Ndugu Wadau,Mnaweza kuangalia moja kwa moja tukio la kukabidhiwa Rasimu ya Katiba Mpya inayotegemewa, tukio ambalo linaendelea hivi sasa katika uwanja wa Jamhuri pale Dodoma kupitia mtandao huu: www.ikulu.go.tz

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani