Boti ya kupambana na wahalifu yazinduliwa
Mkuu wa Wilaya ya Muleba Kagera, Lambris Kipuyo jana alizindua boti iendayo kasi ambayo itafanya kazi ya kupambana na majambazi katika visiwa vya Mazinga na Ikuza vilivyoko Ziwa Victoria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLKAMPENI YA KUPAMBANA NA HOMA YA INI YAZINDULIWA JIJINI DAR
Mganga Mkuu Hospitali ya Amana, Dk. Meshack Shimwela, akielezea madhara ya ugonjwa wa Homa ya Ini. Shigongo akiwaomba wadau mbalimbali kupambana dhidi ya ugonjwa wa Homa ya Ini.…
11 years ago
MichuziWASHIRIKI WARSHA YA MASHIRIKIANO YA TANAPA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KATIKA KUPAMBANA NA UHALIFU WA UNAOLENGA MALIASILI WATOA MICHANGO YAO KATIKA KUPAMBANA NA UJANGILI.
11 years ago
Mwananchi25 Jul
TCRA yasema haikamati wahalifu
Tume ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewataka wananchi na mashirika kutoa taarifa za uhalifu kwa Jeshi la Polisi kila wanapobaini uhalifu katika mawasiliano yao.
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Balloteli akerwa kufananishwa na wahalifu
Kuanzishwa kwa juhudi mpya za utafutaji wa ndege katika Bahari ya Hindi huenda kukatoa sura mpya ya matumaini hasa kutokana na ripoti kuwa huenda ndege hiyo ilibadilisha mwelekeo wa safari.
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Polisi walaumiwa kulinda wahalifu
JESHI la Polisi Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam limeshutumiwa kuwa limeshindwa kudhibiti vitendo vya uuzaji dola bandia karibu na Idara ya Habari (Maelezo), Dar es Salaam. Baadhi ya mashuhuda...
5 years ago
StarTV19 Feb
Bodaboda watakiwa kuwafichua wahalifu.
JESHI la polisi mkoa wa kipolisi wa Tarime na Rorya limeutaka umoja wa wafanyabiashara ya kusafirisha abiria kwa kutumia pikipiki maarufu kwa jina bodaboda wilayani Tarime mkoani mara kuwafichua waendesha pikipiki wanao fanya vitendo vya uharifu nyakati za usiku ukiwemo ubakaji wa wanawake na kukimbia na pesa za chenchi za wateja. kauli hiyo imetolewa na …
10 years ago
Uhuru Newspaper08 Apr
Kova awachimba mkwara wahalifu
NA FURAHA OMARYPOLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, imewatangazia kiama wahalifu, ambapo imeamua kuwasaka kwa kutumia helkopta, baada ya kupata taarifa kwamba wamekimbilia mpakani mwa mkoa huo na wa Pwani.
“Tunaendelea na operesheni kali dhidi ya wahalifu, kwani tumepata taarifa kwamba kuna wahalifu wamekimbilia mpakani mwa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani,” alisema Kamishna wa Kanda hiyo, Suleiman Kova.
Kamishna Kova aliyasema hayo mjini Dar es Salaam, alipozungumza na Uhuru kuhusiana na...
11 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-7zcd18w1Ps4/U5HKvaCct9I/AAAAAAAAAo8/Nup8BKQ7i9M/s72-c/123.jpg)
WAHALIFU MTANDAO WAITIKISA KOLOMBIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7zcd18w1Ps4/U5HKvaCct9I/AAAAAAAAAo8/Nup8BKQ7i9M/s1600/123.jpg)
Mwaka 2011 Kolombia ilikua Nchi ya kwanza kuanzisha sera ya usalama mitandao katika ukanda wan chi za latini amerika kupitia baraza la taifa la nchini humo linaloshughulikia maswala ya sera za uchumi na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania