Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FABREGAS: WENGER ALINIAMBIA SIHITAJIKI ARSENAL

Cesc Fabregas wakati akiongea na wanahabari nchini Brazil. KIUNGO wa Hispania, Cesc Fabregas amefunguka kuwa aliambiwa na Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger kuwa alikuwa hahitajiki katika timu yake maana nafasi yake tayari ilikuwa imechukuliwa na kiungo wa Ujerumani Mesut Ozil. Mesut Ozil. Fabregas amesema aliongea na Wenger kabla ya kufanya maamuzi ya kujiunga na Chelsea kwa… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Cesc Fabregas afunguka, asema Nimehamia Chelsea sababu Wenger kaniambia sina namba Arsenal

 Kiungo wa Spain  Cesc Fabregas (pichani) amefunguka leo kwa kusema alifanya mazungumzo na kocha wa Arsenal Arsene Wenge kabla ya kuhamia Chelsea, na kuambiwa kwamba nafasi yake tayari imeshacukuliwa na Mesut Ozil.  Fabregas alikuwa chagua la kwanza la Arsenal baada ya mchezaji huyo alipoamua kuondoka Barcelona mwishoni mwa msimu uliopita, lakini akamua kwenda Chelsea kwa dau la pauni milioni 30.  “Niliongea na Mzee Wenger naye akanambia atapata wakati mgumu kumpa nafasi ya kucheza kwani...

 

5 years ago

Football.London

Cesc Fabregas on Arsenal snub and why he joined Chelsea over Manchester United

Cesc Fabregas on Arsenal snub and why he joined Chelsea over Manchester United  Football.LondonWhy Cesc Fabregas left Arsenal for Barcelona in 2011  Sky Sports‘I’m going back to Arsenal’: £110k-a-week star opens up on failed Emirates return  HITC - Football, Gaming, Movies, TV, Music‘Alonso begged for Arsenal move over Real Madrid’ – Fabregas frustrated Gunners did no deal with Liverpool  Goal.comFabregas on why he chose Chelsea over Man United and City as Arsenal rejected chance to re-sign...

 

5 years ago

The Sun

Cesc Fabregas claims only two players were on his level at end of Arsenal career and reveals he cried after

Cesc Fabregas claims only two players were on his level at end of Arsenal career and reveals he cried after  The SunWhy Cesc Fabregas left Arsenal for Barcelona in 2011  Sky Sports'Van Persie and Nasri were the only players on my level' - Fabregas explains decision to leave Arsenal in 2011  Goal.com‘I’m going back to Arsenal’: £110k-a-week star opens up on failed Emirates return  HITC - Football, Gaming, Movies, TV, MusicCesc Fabregas 'thanks God' for Chelsea move, Real Madrid eye deal and...

 

5 years ago

The Sun

11pm Arsenal news LIVE: Coronavirus plans, Fabregas ‘tried to get Alonso transfer’, Martinelli eyes legendary

11pm Arsenal news LIVE: Coronavirus plans, Fabregas ‘tried to get Alonso transfer’, Martinelli eyes legendary  The Sun11pm Arsenal news LIVE: Coronavirus plans, Fabregas ‘tried to get Alonso transfer’, Martinelli eyes legendary  The SunThe 10 most viral rants from AFTV  GIVEMESPORTArsenal fans slam 'greatest manager of all time' list for leaving out Wenger  Read ArsenalEx-Gunner: 'Wenger is Arsenal and Arsenal is Wenger'  Football365.comView Full coverage on Google...

 

9 years ago

TheCitizen

Wenger rocked by Arsenal nightmare

Arsene Wenger described Arsenal’s 2-1 defeat at West Bromwich Albion as the “perfect nightmare” after midfielders Francis Coquelin and Mikel Arteta added to his injury problems.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger:Walcot Kusalia Arsenal

Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott anakaribia kuongeza mkataba wake na klabu hiyo hadi mwaka wa 2019.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger akasirishwa na sare ya Arsenal

Meneja Arsene wenger amekasirishwa na sare ya tatu kwa tatu iliopatikana katika mechi kati ya Arsenal na Anderlecht.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger alaumu walinzi wa Arsenal

Mkufunzi wa Arsenal Arsene wenger amesema kuwa safu ya ulinzi ya Arsenal ni hafifu

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger:Walcott kusalia Arsenal

Meneja wa kilabu ya Arsenal Arsene Wenger ana imani kwamba Theo Walcot ataweka mkataba mpya na kilabu hiyo ya Ligi ya Uingereza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani