AUNT: NIACHENI NIVAE NITAKAVYO
![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj2wK6GQhXdp6EtMTbTGszyrQqcFDSTTu31KYZ5INKR9fn*p4H7Baj0-VazKoGPk5G08BnN4OruPwk*Q0xFM5Mug/RIYAMA.jpg?width=650)
Stori: Imelda Mtema MKALI wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa aachwe avae jinsi anavyojisikia hata kama yeye ni mke wa mtu. Mkali wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel pichani. Akifafanua kauli yake mbele ya kinasa sauti chetu, Aunt alisema watu wengi wamekuwa wakimtaka avae kistaarabu kwa kuwa ni mke wa mtu. “Waniache… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies28 Apr
Shamsa Ford: Kuanzia Leo Naishi Nitakavyo..
Ustaa kazi: Baada ya kuchoshwa na maneno ya watu kuhusu maisha yake binafsi, staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford ameamua kuweka wazi msimamo wake kwa mashabiki zake wote.
“Siku zote nimekuwa muoga kuishi maisha yangu kwa kuogopa watu but hao watu naowaogopa hata siku moja hawajawahi kuogopa kuishi maisha yao kwa kuniogopa mm..from today nitaishi nitakavyo mimi na kufanya kile ambacho nahic kinafaida na kunifurahisha katika maisha yangu.Mashabiki wangu wa ukweli kabisaa alionipangia...
9 years ago
Bongo Movies20 Nov
Niacheni na Fito Zangu-Shilole
Staa mrembo wa Bongo Movies na bongo Fleva Shilole ambae kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya wa 'Nyang'anyang'a' amefunguka na kuwataka watu ambao wanamkejeli kuwa ana miguu mibaya wamuache na miguu yake hiyo.
Shilole jana alipost picha kwenye Instagram ambayo ilikuwa ikionyesha sehemu kubwa ya miguu yake na baadhi ya watu walianza kusema kuwa afunike miguu yake hiyo kwani ni mibaya wengine walionyesha kupenda picha ile huku wengine wakimpa sifa kuwa ni mrembo, lakini hizo comment...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMnXdX-uxwKIq8HlWIM0WGzYoU47DimG1jHUM4WrolfKBqF1M6WW0jkbdQuHcSs6aa6fW3i*03pCW26XyS--2Wcw/hemedi1.jpg?width=650)
HEMED: NIACHENI, NAOA SASA
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Maximo: Niacheni nitengeneze timu
10 years ago
GPLKAJALA: NIACHENI NA MAISHA YANGU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAZCpa6IVGQcmsVYmHYfEUAv2GaUUGOTcT-9x2IY4-F9Tdf*16pz3Fasmvu05VkwDueDVia6tO4PiEKpvjy7VpWy/nisha.jpg)
NISHA: NIACHENI NA MAMA YANGU
10 years ago
Mwananchi18 Apr
Wema: Niacheni nipumzike na mimi ni binadamu
11 years ago
GPLLUCY KOMBA: NIACHENI NIDENDEKE NA MZUNGU
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-oveMaOHiLPQ/Ve7gGRMqPYI/AAAAAAAAJLA/JdK7phaZH0U/s72-c/jknalowassa.jpg)
LOWASSA ; SINA MUDA NA NYINYI,NIACHENI NIFANYE KAMPENI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-oveMaOHiLPQ/Ve7gGRMqPYI/AAAAAAAAJLA/JdK7phaZH0U/s640/jknalowassa.jpg)
MGOMBEA urais wa Tanzania anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Edward Lowassa amesema hana muda wa kujibu matusi na kejeli zinazotolewa na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) dhidi yake.
Badala yake amesema anatumia muda uliobaki wa kampeni kutafuta kura kwa wananchi kwa kunadi ilani ya chama chake.Akizungumza kwenye mikutano ya hadhara, Bunju na baadaye Mbezi mkoani Dar es Salaam, Lowassa alisema kila alichoahidi ataanza kukifanyia kazi punde tu baada ya...