WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YAANDAA WARSHA YA KUPITIA SHERIA JUU YA MATUMIZI YA TUMBAKU.
Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar Dkt. Mohd Dahoma, akifungua warsha ya kupitia sheria ya kudhibiti matumizi ya tumbaku Zanzibar iliyofanyika Hoteli ya Zanzibar Beach Resourt Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Mshauri wa Ufundi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kanda ya Afrika William Onzivu akizungumza na washiriki wa warsha hiyo (hawapo pichani) katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resourt.
Afisa kutoka Bodi ya Mapato Tanzania (TRA) akitoa mchango katika warsha ya kupitia sheria...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q2EJzxqIHIw/VUJJ3fXBTSI/AAAAAAAHUXI/Mw2WowbpzMA/s72-c/01.jpeg)
WARSHA YA MFUMO MPYA WA USAMBAZAJI DAWA ZANZIBAR (eLMIS) KWA WAKURUGENZI NA MAAFISA WA WIZARA YA AFYA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q2EJzxqIHIw/VUJJ3fXBTSI/AAAAAAAHUXI/Mw2WowbpzMA/s1600/01.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YnaZ9ZIZmjc/VUJJvSYcnzI/AAAAAAAHUW4/U9TVnnfw-FY/s1600/02.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nQ7TqecStzw/VUJJ2DI_46I/AAAAAAAHUXA/gJmgcdCqmVQ/s1600/03.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GOkTIUjI3Po/VUJJ7HcD_ZI/AAAAAAAHUXQ/ay-rg7fWyOc/s1600/04.jpeg)
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Wizara ya ardhi yaandaa sheria kuwabana madalali
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vD_sslSn6pw/XuOB6gbEa5I/AAAAAAALtmE/3AVdiiCBAVgd9cxTM83TM8gMiEHElhlnQCLcBGAsYHQ/s72-c/ummy.jpg)
VIONGOZI WA TANCDA WAMPONGEZA WAZIRI WA AFYA KUKEMEA MATUMIZI YA TUMBAKU KWA KUWA NI HATARI
VIONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Magonjwa Yasiyoambukiza (TANCDA)limeamua kutoa pongezi kwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu kwa hatua yake ya kukemea matumizi ya tumbaku kwa kuwa ni hatari kwa afya.
Kwa mujibu wa TANCDA ni kwamba tamko la Waziri Ummy Mwalimu linaonesha namna ambavyo Serikali ya Awamu ya Tano inavyojali afya za Watanzania, lakini pia kulinda maslahi ya kiuchumi na kijamii.Waziri wakati akizindua Ripoti...
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) chawaomba wadau kutoa ushirikiano ili kupambana na matumizi Tumbaku kwa vijana
Dk. Adeline l. Kimambo(kulia) kutoka Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) akitoa muhutasari wa Madhara ya Tumbaku mbele ya waandishi wa habari pamoja na wageni waalikwa waliofika kujadili changamoto wanazokabiliwa nazo hasa wanapokuwa wanatoa huduma kwa jamii kuhusu matumizi ya Tumbaku na kuwaomba wadau hao kutoa ushirikiano wa kutosha ili kufikia malengo waliyojiwekea.Katikati ni Dk Faustine Njau kutoka Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) (Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog)
Mratibu wa Mradi...
9 years ago
MichuziCHAMA CHA AFYA YA JAMII(TPHA) CHAWAOMBA WADAU KUTOA USHIRIKIANO ILI KUPAMBANA NA MATUMIZI TUMBAKU KWA VIJANA
(Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog)
11 years ago
MichuziVIONGOZI WA KAMATI ZA AFYA ZA SHEHIYA WAPATIWA MAFUNZO JUU YA MIKAKATI YA AFYA YA JAMII ZANZIBAR
Amesema kuwa endapo mpango huo ukihamasishwa kwa jamii utaweza kuwasaidia wananchi katika kujikwamua na matatizo ya kujikinga na maradhi mbalimbali yanayojitokeza katika maeneo yao .
Akizungungumza katika ufunguzi wa mafunzo juu ya mkakati wa afya ya jamii...
11 years ago
Michuzi29 Mar
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo yaandaa kongamano la vijana la vyuo vya elimu ya juu.
Kongamano hili la Vijana kuhusu Muungano linafanyika Jumapili Machi 30, 2014 kuanzia Saa 5:00 Asubuhi katika ukumbi wa Ubungo Plaza, Dar es Salaam na litarushwa moja kwa moja na Televisheni ya Taifa, TBC One na TBC Taifa.
Kongamano hili ni sehemu ya...
5 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA ZANZIBAR YAPOKEA MSAADA KUTOKA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO)
Akipokea msaada huo, huko Wizara ya Afya Mnazimmoja Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar Dkt Jamala Adam Taib amelishukuru shirika hilo kwa kutoa msaada ambao utawasaidia wafanyakazi kutekeleza kazi zao kwa ufanisi pamoja na kujikinga na maambukizi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-feJJIt_rc6I/VTfNzaLCGfI/AAAAAAAHSlQ/VvLkNtRzI_4/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA ZANZIBAR (ZLSC) CHATOA Mafunzo kwa Maafisa wa Mahakama ya Kadhi juu ya ulinzi wa Mtoto Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-feJJIt_rc6I/VTfNzaLCGfI/AAAAAAAHSlQ/VvLkNtRzI_4/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3UFoPIqQSGQ/VTfNzbIBCsI/AAAAAAAHSlM/2Ho8DN2sAOI/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Hn2IJ-Sikyo/VTfNzSW52oI/AAAAAAAHSlY/nwInPgfCaa0/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NZUThdF43tM/VTfN0Kk3KXI/AAAAAAAHSlo/5BI8PVaCODs/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Dol2qq6_UzU/VTfN0dIu_-I/AAAAAAAHSlg/iMtO0DobQ5Y/s1600/unnamed%2B(49).jpg)