RAIS KIKWETE KUZINDUA BARABARA YA MWENGE —TEGETA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za ufunguzi wa barabara ya Mwenge –Tegeta yenye urefu wa kilometa 12.9 katika eneo la Lugalo, jijini Dar es salaam.
Taarifa iliyotolewa leo jijini Dar esalaam na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Muhandisi Musa Iyombe imeeleza kuwa sherehe za ufunguzi wa barabara hiyo zitafanyika tarehe 1, Oktoba ,2014 katika eneo la Lugalo njia panda ya Kawe kuanzia saa nne asubuhi.
Taarifa hiyo imeeleza...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE KUZINDUA UPANUZI WA BARABARA YA MWENGE - TEGETA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zN4X8TJTgIw/VCqAeqbvBgI/AAAAAAAGmsA/WLOrMvpd7k8/s72-c/Tegeta.jpeg)
RAIS KIKWETE KUFUNGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-zN4X8TJTgIw/VCqAeqbvBgI/AAAAAAAGmsA/WLOrMvpd7k8/s1600/Tegeta.jpeg)
Ufunguzi wa barabara ya Mwenge-Tegeta wenye urefu wa Kilomita 12.9, utafanyika kuanzia saa nne asubuhi katika eneo la Lugalo njia panda ya Kawe.
Upanuzi wa barabara ya Mwenge-Tegeta Km 12.9, ni sehemu ya mkakati wa Serikali ya Tanzania wa kupunguza msongamano wa magari katika jiji la Dar es ...
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Rais Kikwete kufungua Barabara ya Mwenge — Tegeta leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika sherehe za ufunguzi wa barabara ya Mwenge- Tegeta utakaofanyika leo tarehe 1 Oktoba 2014.
Ufunguzi wa barabara ya Mwenge-Tegeta wenye urefu wa Kilomita 12.9, utafanyika kuanzia saa nne asubuhi hii katika eneo la Lugalo njia panda ya Kawe.
Upanuzi wa barabara ya Mwenge-Tegeta Km 12.9, ni sehemu ya mkakati wa Serikali ya Tanzania wa kupunguza msongamano wa magari katika jiji la Dar es...
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Rais Kikwete afungua rasmi Barabara ya Mwenge-Tegeta jijini Dar leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-6KANjx5FtBk/VCvemttMeZI/AAAAAAAGm84/HBhnEbb8yNo/s1600/0L7C2141.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dZfP8BJgGgY/VCvfVW-5n5I/AAAAAAAGm9o/h4KBEhQOEeE/s1600/0L7C2146.jpg)
10 years ago
Michuzi11 Oct
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6KANjx5FtBk/VCvemttMeZI/AAAAAAAGm84/HBhnEbb8yNo/s72-c/0L7C2141.jpg)
JK AFUNGUA RASMI BARABARA YA MWENGE-TEGETA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-6KANjx5FtBk/VCvemttMeZI/AAAAAAAGm84/HBhnEbb8yNo/s1600/0L7C2141.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dZfP8BJgGgY/VCvfVW-5n5I/AAAAAAAGm9o/h4KBEhQOEeE/s1600/0L7C2146.jpg)
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AZINDUA RASMI UPANUZI WA BARABARA YA NEW BAGAMOYO SEHEMU YA MWENGE - TEGETE LEO
9 years ago
Habarileo14 Sep
Kikwete kuzindua barabara Kigoma, daraja Malagarasi
RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajiwa kuzindua barabara ya Kidahwe -Uvinza yenye urefu wa kilometa 76.6. Mbali na barabara hiyo, Rais pia atazindua daraja la Kikwete katika mto Malagarasi na barabara unganishi kilometa 48 mkoani Kigoma.