Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHAMA CHA MADAKTARI WANAFUNZI TANZANIA CHATOA HUDUMA ZA AFYA ZANZIBAR

 Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Dokta Sira Ubwa Mamboya akimkaribisha Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi katika uzinduzi wa kampeni za kutoa huduma za kisukari na shinikizo la damu zitakazofanyika Mikoa yote ya Zanzibar.
 Mratibu wa mtadi wa kutoa huduma za kisukari na shinikizo la damu Mr. Siraji M. Mtulia akitoa maelezo mafupi ya mradi huo utakaoanza kutekelezwa leo na Chama cha wanafunzi Madaktari Tanzania wakishikiana na Wizara ya Afya Zanzibar.   Mkuu wa CHUO cha (IMTU)...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA (TANNA) CHATOA WITO KWA WATOA HUDUMA ZA AFYA


 Rais wa Chama cha Wauguzi na Wakunga Tanzania  (TANNA) anatoa wito kwa Wauguzi na Wakunga wote kuikinga jamii zidi ya maambukizi ya COVID -19 Kupitia elimu ya afya, kuhudumia kwa weledi wagonjwa wa corona ikizingatiwa kuwa wauguzi wananafasi muhimu sana katika kutoa huduma ya afya

 

10 years ago

Dewji Blog

Chama cha Madaktari wa Kinywa na Meno chatoa huduma ya bure katika kituo cha watoto wenye Albinism

unnamed (4)

Raisi Mstaafu wa Chama cha  Madaktari wa Kinywa na Meno na Daktari Bingwa wa Watoto  Rachel Mhavile  toka Hospitali ya Taifa  Muhimbili, akifanya ukaguzi wa kinywa na Meno kwa Kuyela Masuka, aliyeanguka toka juu ya mti nakusababisha jino lake lambele juu kushotolikawa linaninginia na kunadaktari aliye jaribu kulirudishia lakini tiba hiyo ikamshinda kwa sababu hakua amepiga mswaki vuzuri na kumsababishia kupata maambukizi na kushindwa kufumba mdomo na kutokula chakula, matibabu aliyoyapata...

 

10 years ago

Vijimambo

Madaktari Diaspora kutoka Marekani wakitowa Huduma ya Elimu kwa Wanafunzi wa Chuo cha Eilimu ya Afya Kuhusiana na Saratani ya Matiti na Meno.Wakiwa Zanzibar

Madaktari wa kujitolea toka Marekani ambao wamepeletwa Tanzania na Jumuiya ya Watanzania DMV wakiratibiwa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa chini ya kitengo cha Diaspora leo siku ya Jumamosi July 25, 2015 walitembelea chuo cha elimu ya Afya na kutoa elimu ya afya ikiwemo Sratani ya Matiti.Madaktari wa kujitolea toka Marekani ambao wamepeletwa Tanzania na Jumuiya ya Watanzania DMV wakiratibiwa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa chini ya kitengo cha...

 

5 years ago

CCM Blog

CHAMA CHA WATAALAM WA AFYA YA KINYWA NA MENO TANZANIA (TDA) CHATOA MAELEKEZO KWA WANACHAMA WAKE KUJIKINGA NA CORONA

Ndugu Wanachama na watoa huduma wa Afya ya Kinywa na Meno. Hapa kwetu Tanzania kama ilivyo nchi zingine za Africa mashariki virusi hivi bado havijaingia ...Hata hivyo lazima tukumbuke kuwa, Dunia ya leo ni kijiji...Hivyo lazima tujipange na kujihadhari kwa maambukizi ya COVID-19 na kusambaa kwake. 
Kwa sisi madaktari na wahudumu wa afya ya kinywa na meno tujikumbushe yafuatayo:

1. Kama ilivyo ada tuendelee kutumia vikinga maaambukizo kama mask, gloves, mawani, nk wakati tunahudumia wagonjwa...

 

10 years ago

Michuzi

Madaktari Diaspora kutoka Marekani wakitowa Huduma ya Elimu kwa Wanafunzi wa Chuo cha Eilimu ya Afya Kuhusiana na Saratani ya Matiti na Meno

Rais wa Jumuiya ya Watanzania Washinton Ndg Iddi Sandaly akiutambulisha Ujumbe wa Madaktari 17 Diaspora, waliofika Zanzibar kutoa Tiba ya Maradhi ya Saratani ya Matiti, Kisukari na Meno akitowa maelezo wakati walipofika katik Chuo cha Elimu ya Afya Mombasa Zanzibar, na kutowa Elimu ya kutambua Saratani ya Matiti kwa Kinamama. na kutowa huduma ya uchunguzi wa Meno.Rais wa Jumuiya ya Wanawake Afrika Washington (Africa Womens Cancer Awereness Association ) Dr Ify Anne Nwabukwu, akiutambulisha...

 

9 years ago

Michuzi

TIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR

  Dokta Gao Yun Lai akimpima presha na sukari bwana Mohd Ali mkazi wa Kisauni upimaji huo ulifanyika katika kijiji  cha kisauni Zanzibar.   Dokta Fadhil Mohd ambae ni dokta dhamana kanda ya Unguja akitoa maelezo kwa waandishi wa habari hawapo pichani.Wananchi mbalimbali wakipatawa  huduma za matibabu katika kijiji cha Kisauni zanzibar.Picha na Abdalla Omar habari maelezo zanzibar.

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA MAPINDUZI CCM ZANZIBAR CHATOA TAMKO JUU YA KUJITOA KWENYE CHAMA WAZIRI MKUU MSTAAFU EDWARD LOWASA.

unnamed (4)Katibu wa CCM Mkoa Mjini Mohammed Omar Nyawenga akitoa taarifa ya Chama hicho kwa Waandishi wa Habari kuhusu kujitoa ndani ya Chama Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa katika mkutano uliofanyika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui.unnamed (5)Mwenyekiti wa CCM Mkoa Mjini Borafia Silima akitoa ufafanuzi katika mkutano uliohudhuriwa na wajumbe wa ngazi mbali mbali za Chama na waandishi wa Habari Afisi kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar.
unnamed (6)Baadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakifuatilia mkutano huo...

 

9 years ago

Michuzi

MADAKTARI WA CHINA NA WAZALENDO WAKISHIRIKIANA KUTOA HUDUMA ZA AFYA KATIKA KIJIJI CHA KITOPE MKOA WA KASKAZIN WILAYA YA KASKAZINI B” ZANZIBAR

 DAKTARI DHAMANA KANDA YA UNGUJA  DAKTARI FADHIL RAMADHAN AKITOA MAELEKEZO KWA MADAKTARI BINGWA KABLA YA KUANZA  ZOEZI LA MATIBABU KATIKA KIJIJI CHA KITOPE. DAKTARI FEI JIE AKIMPIMA MTOTO SARA SHAABAN MARADHI YA MENO NA KOO MKAZI WA KITOPE WILAYA YA KASKAZIN B”. PICHA NA ABDALLA OMAR - MAELEZO ZANZIBAR.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania aiambia BBC kuwa mfumo wa afya haujaelemewa

Rais wa Chama cha Madaktari nchini Tanzania (MAT) Dkt Elisha Osati ameiambia BBC kuwa hospitali nchini humo zinaendelea na shughuli zake kama kawaida licha ya kuwa na janga la corona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani