Virusi vya Corona: Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania aiambia BBC kuwa mfumo wa afya haujaelemewa
Rais wa Chama cha Madaktari nchini Tanzania (MAT) Dkt Elisha Osati ameiambia BBC kuwa hospitali nchini humo zinaendelea na shughuli zake kama kawaida licha ya kuwa na janga la corona.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Tanzania yathibitisha kuwa na kisa kimoja cha virusi vya corona
Waziri wa afya nchini Tanzania, Bi. Ummy Mwalimu ametangaza kuwepo kwa kisa kimoja cha corona.
5 years ago
BBCSwahili31 May
Virusi vya corona: Je mfumo wa maisha ya shule na vyuo utabadilika vipi kutokana na virusi Tanzania?
Nchini Tanzania, maelfu wa wanafunzi wa vyuo na wale wa sekondari wanaomaliza kidato cha sita hii leo wameanza rasmi masomo yao baada ya kuwepo katika likizo ya ghafla kwa muda wa miezi miwili iliyosababishwa na kutokea kwa janga la virusi vya corona.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-19ohpt6t96A/U1MVqUTXIOI/AAAAAAAFb20/0U1G5_CxHJw/s72-c/unnamed+(7).jpg)
CHAMA CHA MADAKTARI WANAFUNZI TANZANIA CHATOA HUDUMA ZA AFYA ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-19ohpt6t96A/U1MVqUTXIOI/AAAAAAAFb20/0U1G5_CxHJw/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VjWVjshaQ-w/U1MVp4V_rzI/AAAAAAAFb2k/odzr7rZ6nn0/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UiNN3w4-qrI/U1MVquwK0TI/AAAAAAAFb2o/-uiHENXTpMQ/s1600/unnamed+(9).jpg)
5 years ago
BBCSwahili31 May
Virusi vya corona: Makamu wa rais wa Sudan Kusini Wani Igga atangaza kuwa na virusi
Makamu wa rais wa Sudan Kusini Dkt James Wani Iga amesema kuwa amepatwa na virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: Shirika la Afya Duniani lasema huenda virusi vya corona visiishe
Shirika la Afya Duniani latoa angalizo juu ya ubashiri wa lini virusi vya corona vitatoweka
5 years ago
BBCSwahili10 May
Virusi vya corona: Vijana Kenya wavumbua mfumo wa CovIdent unaotarajiwa kutambua wenye virusi
Chuo kikuu Cha teknolojia cha Meru nchini Kenya kimevumbua mfumo wa kidigitali unaofahamika kama CovIdent utakaotoa alama za data binafsi kwa lengo la kurahisisha upimaji wa virusi vya corona kwa watu wengi.
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Coronavirus: Jinsi ya kulinda afya ya akili kipindi hiki cha mlipuko wa virusi vya corona
Ushauri wa kulinda afya ya akili wakati huu wa mlipuko wa virusi corona.
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya Corona: Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli atuma ndege Madagascar kuchukua 'dawa ya corona'
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli leo Jumapili Mei 3 amesema atatuma ndege Madagascar kwenda kufuata dawa ya mitishamba ambayo rais wa nchi hiyo anadai kuwa inatibu corona.
5 years ago
BBCSwahili16 Jun
Virusi vya corona: BBC Africa Eye yabaini jinsi corona inavyoathiri maisha Sierra Leone
Sierra Leone iliathiriwa vibaya na Ebola ilipoyakumba mataifa ya Magharibi mwa Afrika, na sasa Covid-19. Video hii ya BBC Africa Eye, inaangazia athari za corona.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania