Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


1,000 kushiriki Sokoine Mini Marathon

WANARIADHA zaidi ya 1,000 wamethibitisha kushiriki mbio za kumuenzi Waziri Mkuu wa zamani, Edward Sokoine zitakazofanyika wilayani Monduli Aprili 12, ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Jakaya Kikwete. Mratibu wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Yaliyojiri Sokoine Mini Marathon 2014

MWISHONI mwa wiki, Aprili 12 mwaka huu, macho na masikio ya Watanzania wengi yalielekea katika Kijiji cha Monduli Juu, kilichopo Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha, kufuatilia kumbukumbu za miaka 30...

 

11 years ago

Mwananchi

Sokoine marathon safi

Zaidi ya wanariadha 1000 wanatarajiwa kushiriki mbio za Sokoine marathon za kumuenzi aliyekuwa waziri mkuu wa awamu ya kwanza, hayati Edward Sokoine.

 

11 years ago

AllAfrica.Com

Sokoine Marathon to Become International Event


Daily News
Sokoine Marathon to Become International Event
AllAfrica.com
Arusha — AFTER running for two consecutive years, the annual Sokoine Marathon will now be registered to become one of the international races and be included in the world marathon timetables. Race coordinator Wilhelm Gidabuday said until now the ...
Kikwete calls for completion of Sokoine family homeDaily News

all 7

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fabian Joseph, Jackline Sekilu mabingwa Sokoine Min Marathon 2014

BINGWA wa mbio za Edmund World Half Marathon nchini Canada mwaka 2005, Fabian Joseph, na bingwa wa Kili Marathon 2014 kwa wanawake, Jackline Sekilu, wameibuka washindi wa Sokoine Min Marathon...

 

11 years ago

GPL

MFANYAKAZI WA GLOBAL KUSHIRIKI MARATHON KESHO

Mfanyakazi wa Kampuni ya Global Publishers, Jimmy Haroub. Na Ibrahim Mussa
MFANYAKAZI wa Kampuni ya Global Publishers, Jimmy Haroub anatarajiwa kushiriki katika mbio za Sokoine Marathon zitakazofanyika Monduli mkoani Arusha, kesho Jumamosi. Jimmy ambaye ni mmoja wa wanamichezo wenye uwezo mkubwa ndani ya kampuni hiyo, amesema amejiandaa vizuri na yupo tayari kwa ushindani. Akizungumza na Championi Ijumaa, Jimmy alisema kuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

HYAC kushiriki Bagamoyo Historical Marathon

KLABU ya Holili Youth Athletics (HYAC), ya mkoani Kilimanjaro inatarajiwa kupeleka nyota wake katika mbio za Bagamoyo Historical Marathon 2014 zinazotarajiwa kurindima mjini Bagamoyo, Pwani Jumapili. Kwa mujibu wa taarifa...

 

9 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA MWANZA KUSHIRIKI ROCK CITY MARATHON

 Katibu wa idara ya utumishi wa waalimu mkoa wa Mwanza, Genzi Sahani (wa pili kushoto), akipokea fomu ya usajili kutoka kwa Katibu wa chama cha riadha Mwanza, Peter Mujaya (wa pili kulia), kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ambaye jana alijisajili rasmi kushiriki katika mbio za kilomita tano katika mbio za Rock City Marathon zinazotarajia kufanyika tarehe 15 Novemba, 2015 katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Wanaoshuhudia ni Kaimu Afisa Michezo mkoa wa Mwanza, Kizito Bahati (kushoto)...

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani