Maelfu wajitokeza kujiandikisha Kilimanjaro Marathon 2014
Ujenzi wa mabanda mbalimbali ndani ya uwanja wa Ushirika ukiendelea. Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziNSSF ILIVYOSHIRIKI KILIMANJARO MARATHON 2014
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YXj6rJYcCt8/Uw5maf0NfnI/AAAAAAAFP5k/yO3exLmetME/s72-c/unnamed+%252847%2529.jpg)
Maandalizi Kilimanjaro Marathon 2014 yaendelea mjini Moshi
Na Dixon Busagaga
wa Globu ya Jamii, Moshi.
Waandaaji wa mbio za Kilimanjaro Marathon wametangaza njia mpya zitakazotumika kwa mbio za mwaka huu ikiwa ni hatua nyingine muhimu katika mafanikio ya mbio hizo ambazo sasa zinaingia mwaka wa 12 tangu kuanzishwa.
Njia mpya zimelenga kuboresha mwendo wa washiriki barabarani na kuwafanya wafurahie zaidi mbio hizo zilizopangwa kufanyika tarehe 2 Machi, 2014 mjini Moshi.
Akitangaza njia hizo mpya jana, John Addison, Mkurugenzi wa Wild...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tiDXtPvjFrE/Uvpwl9Sf8AI/AAAAAAAFMbc/uB_b3M2RGNE/s72-c/Kilimanjaro-Marathon-2014.jpg)
Washindi Kilimanjaro Marathon 2014 kujipatia zaidi ya shilingi milioni 40
![](http://2.bp.blogspot.com/-tiDXtPvjFrE/Uvpwl9Sf8AI/AAAAAAAFMbc/uB_b3M2RGNE/s1600/Kilimanjaro-Marathon-2014.jpg)
Waandaaji wa mbio hizo wametangaza kuwa washindi wa wa Kilimanjaro Marathon 2014 watajipatia zaidi ya shilingi milioni 40 fedha taslimu kama zawadi.
John Addison, Mkurugenzi Mkuu wa Wild Frontiers, waandaaji wa mbio hizo alisema katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana kuwa mbali na washindi kujinyakulia...
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
JACKLINE JUMA SAKILU: Mpiganaji JWTZ aliyewafuta machozi Watanzania Kilimanjaro Marathon 2014
MBIO za Kilimanjaro Marathon 2014 zimefanyika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro jana, huku ikishuhudiwa Mtanzania pekee, Jackline Juma Sakilu akiipeperusha vema bendera ya Tanzania katika mbio za Nusu Marathoni Km 21....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-41SbUnQLrkM/XpsVfUclZTI/AAAAAAAAMyU/-BKJnDFYDwQYLYcijJVd86C9lN6os_BogCLcBGAsYHQ/s72-c/M%2B1.jpg)
WANANCHI JIJINI ARUSHA WAJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGAKURA
![](https://1.bp.blogspot.com/-41SbUnQLrkM/XpsVfUclZTI/AAAAAAAAMyU/-BKJnDFYDwQYLYcijJVd86C9lN6os_BogCLcBGAsYHQ/s640/M%2B1.jpg)
Wakazi wa Kata ya Osunyai jijini Arusha wakinawa mikono kujikinga dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa corona kabla ya kuingia kwenye vyumba kujiaandikisha na kubadilisha taarifa zao katika mpango wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) kuboresha daftari la kudumu la wapigakura katika mikoa 12 ya mwanzo kabla ya uchaguzi mkuu Oktoba 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3326QnCiu4Y/XpsVroUR1BI/AAAAAAAAMyY/oFx3zF0u588DXJdRrA8UfakxW5e22-6swCLcBGAsYHQ/s640/M%2B2.jpg)
Msimamizi Msaidizi wa uchaguzi Arusha Mjini,Dk Maulid Madeni akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mwenendo wa uandikishaji wapigakura jijini Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-PnKYUQQqml0/XpsVv-ZFSuI/AAAAAAAAMyg/Y7he80nsK3MwSG3zLeM_Xc54ATxPMANPACLcBGAsYHQ/s640/M%2B3.jpg)
Wananchi...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-sPwZCl_o3u4/VQcSTZ6csLI/AAAAAAAAYL0/5dPRLziXkwM/s72-c/b1.jpg)
KINANA AUNGURUMA KARATU MAELFU WAJITOKEZA KUMSIKILIZA
ZAIDI YA WANACHAMA 324 KUTOKA CHADEMA WAJIUNGA NA CCMAIVUNJA NGOME KUU NA YA MWANZO YA CHADEMA QURONG'IDHAWANANCHI WAKIRI WALIFANYA MAKOSA KUUCHAGUA CHADEMAHALMASHAURI YA WILAYA YA KARATU IMEJAA UBADHILIFU
![](http://1.bp.blogspot.com/-sPwZCl_o3u4/VQcSTZ6csLI/AAAAAAAAYL0/5dPRLziXkwM/s1600/b1.jpg)
Katibu Mkuu yupo kwenye ziara ya kujenga na kukiimarisha Chama mkoa wa Arusha pamoja na kukagua utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010.
![](http://3.bp.blogspot.com/-hKjD9AikK_E/VQcSYPO6V0I/AAAAAAAAYMs/jn15vIZmFt4/s1600/b2.jpg)
10 years ago
MichuziWANANCHI WAJIJI LA DAR ES SALAAM WAJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTALI LA WAPIGA KURA.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania