Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NSSF yapiga jeki Rock City Marathon kwa Sh 15M/-

Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Salim Shao (kulia) akimkabidhi hundi ya shilingi milioni 15 Meneja Mkuu wa Kampuni ya Capital Plus International Limited, ambao ni waandaaji wa mbio za Rock City Marathon, Bw. Erasto Kilawe, jijini Dar es Salaam jana ikiwa ni udhamini wa mbio hizo zitakazofanyika katika viwanja vya CCM Kirumba jijini Mwanza tarehe 15 Novemba  mwaka huu. Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Benki ya Exim yapiga jeki mbio za marathon Ngorongoro

 Afisa Masoko wa Benki ya Exim (Tawi la Karatu), Bi. Rosemary Meglan (kulia) akikabidhi kasha la gurudumu kwa Waziri Mkuu mstaafu Mh. Frederick Sumaye ambaye alikua mgeni rasmi katika mbio za Ngorongoro Marathon zilizofanyika Karatu, Manyara hivi karibuni. Benki ya Exim ilikua miongoni mwa wadhamini wa mbio hizo. Wengine ni wafanyakazi wa benki hiyo.Afisa Masoko wa Benki ya Exim (Tawi la Karatu), Bi. Rosemary Meglan (kulia) akikabidhi vipeperushi vyenye taarifa za huduma zinazotolewa na...

 

10 years ago

Dewji Blog

TSN Group yapongeza kuanzishwa kwa mbio fupi katika Rock City Marathon 2014

1

Afisa Mtendaji Mkuu wa TSN group, Bw.  Farough Baghozah  (wapili kulia)akifafanua jambo  kwa waandishi wa habari wakati wa kukabidhi hundi yenye thamani ya shilingi milioni 13 iliyotolewa na kampuni hiyo kudhamini mbio za Rock City Marathon 2014 zitakazofanyika mkoani Mwanza katika uwanja wa CCM Kirumba tarehe 26 Mwezi huu. Wakishuhudia kulia ni Mkurugenzi wa Operesheni wa TSN Group Bi. Pamela Mandari, Mratibu wa mbio hizo, Bw. Mathew Kasonta (wapili kushoto) na Afisa Uhusiano na...

 

9 years ago

Habarileo

Malinzi azindua Rock City Marathon

MWENYEKITI wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Dioniz Malinzi amezindua msimu wa saba wa mbio za Rock City Marathon zitakazofanyika Novemba 15, mwaka huu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

 

10 years ago

TheCitizen

Rock City Marathon 2014 set for launch

The official launch of the sixth edition of Rock City Marathon 2014 which began in 2009 with the aim of promoting domestic tourism through sports is scheduled for September 10 at the New Africa Hotel.

 

10 years ago

Daily News

Rock City marathon registration forms ready


Rock City marathon registration forms ready
Daily News
MWANZA City Mayor Stanslaus Mabula has become the first participant to register for the Rock City Marathon 2014 which will start and end at CCM Kirumba Stadium on October 26, this year. Launching the registration process in Mwanza, the mayor opted for ...

 

10 years ago

TheCitizen

ATHLETICS: TZ athletes shine at Rock City Marathon

>Tanzanian athletes upstaged their Kenyan counterparts at the sixth edition of the Rock City Marathon yesterday after winning both men’s and women’s gold medals.

 

10 years ago

Michuzi

Malinzi azindua Rock City Marathon 2014

  Mratibu wa Rock City Marathon  kutoka kampuni ya Capital Plus International Ltd, Bi Grace Sanga (wa kwanza kulia) akipongezwa na Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT) Bw. Dioniz Malinzi (Wa nne kulia) ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika uzinduzi  wa Rock City Marathon 2014, jana jijini Dar es Salaam jana. Mbio hizo zitafanyika tarehe 26 Oktoba katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Baadhi ya wawakilishi wa wadhamini wa mbio za Rock City Marathon 2014 pamoja na viongozi wa chama...

 

10 years ago

Michuzi

Rock City Marathon 2014 kuzinduliwa keshokutwa

UZINDUZI wa msimu wa sita wa mbio za Rock City Marathon 2014zilizoanza mwaka 2009, zikiwa na lengo la kukuza Utalii wa Ndani
kupitia michezo, unatarajia kufanyika Septemba 10, kwenye Hoteli ya
New Afrika, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mratibu wa mbio hizo, Bi. Grace
Sanga, alisema kuwa baadhi ya wanariadha, viongozi wa vyama vya
riadha, viongozi wa Baraza la Michezo Tanzania na wadau mbali mbali wa
mchezo wa riadha nchini wanatarajiwa kuhudhuria uzinduzi huo.
Bi....

 

9 years ago

TheCitizen

Kenyans rule supreme at Rock City Marathon

Festus Taram breezed past his exhausted opponents to jubilantly claim the first position in this year’s 21km Rock City Marathon whose podium finish was at Kirumba Stadium in Mwanza yesterday.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani