Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UHURU MARATHON 2014 YADHAMINIWA NA STAR TIMES

Mratibu wa Uhurumarathon Innocent Melleck akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam wakati akielezea juu ya udhamini wa kampuni ya startimes kudhamini kwa kutoa matangazo na vifaa vyenye Zaidi ya shilingi milioni nne na laki tano.Kushoto kwake ni meneja huduma kwa wateja wa startimes Jackson Ngowi

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

STAR TIMES YATEMBELEA NA KUTOA MSAADA WANAFUNZI UHURU MCHANGANYIKO‏

Makamu wa Rais wa kampuni ya StarTimes Tanzania, Bi Zuhura Hanif (kulia) akimkabidhi msaada wa vyakula mbalimbali Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko ya jijini Dar es Salaam, Bi. Anna Mshana (kushoto). Kampuni hiyo ilitembelea na kutoa msaada wa vyakula kwa wanafunzi wa shule hiyo ambayo ina kitengo kinachofundisha wanafunzi wenye ulemavu. Msanii wa Bongo Flava na balozi mpya wa kampuni ya StarTimes Tanzania,...

 

10 years ago

TheCitizen

All set for 2014 Uhuru Marathon

A host of athletes, including elite runners from various countries across the world, are expected to compete in the fourth edition of Uhuru Marathon set for today in Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

Chibuku Super yadhamini Uhuru Marathon 2014

Mratibu wa Mbio za Uhuru Marathon,Innocent Melleck (kulia) akizungumza na waandishi wa habari katika dhifa ya kukabidhiwa hundi ya shilingi milioni sita kwaajili ya udhamini wa mbio hizo,ambapo wamedhamini mbio za km 5. kushoto ni meneja usambazaji na mauzo wa Darbrew,Fred Kazindogo.
KAMPUNI ya Bia za asili ya Darbrew (TBL) kupitia bia yake ya asili ya Chibuku super imetangaza kudhamini mashindano ya mbio ndefu za Uhuru ‘Uhuru Marathon’ kwa kiasi cha Sh.  milioni 6.
Akitangaza udhamini huo...

 

11 years ago

Michuzi

Uhuru Marathon 2014 kuzinduliwa kijini Butiama

Mratibu wa Mbio za Uhuru Marathon, Innocent Melleck akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati akizungumzia maandalizi ya uzinduzi wa Mbio hizo kwa Mwaka 2014,ambapo mwaka huu Mbio hizo zitazinduliwa kwenye Kijiji cha Butiama,Mkoani Mara. Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Selemani Nyambui akinzungumza kwenye Mkutano huo.
MBIO za Uhuru (Uhuru Marathon) zinatarajiwa kuzinduliwa rasmi katika kijiji cha Butiama mkoani Mara, Agosti mwaka huu, huku...

 

11 years ago

IPPmedia

Kilimanjaro Marathon organisers announce fees, starting times


IPPmedia
Kilimanjaro Marathon organisers announce fees, starting times
IPPmedia
The 2014 Kilimanjaro Marathon preparations are in full swing and organisers have announced starting times and entry fees for the running adventure slated for March 2 in Moshi. According to a statement released yesterday by John Addison, managing ...

 

10 years ago

Habarileo

Star Times yadhamini FDL

KAMPUNI ya Star Times imeingia mkataba wa miaka mitatu na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ajili ya kudhamini Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara wenye thamani ya Sh milioni 900.

 

10 years ago

Mwananchi

Hongera Star Times kudhamini ligi, ila...

Ni dhahiri kuwa hatimaye Ligi Daraja la Kwanza iliyoanza wiki moja iliyopita imetimiza ndoto yake kwa kupata msukumo wa kipekee ambao haujapata kuonekana baada ya kudhaminiwa na Kampuni ya Star Times.

 

5 years ago

Euronews

A dying star 1,000 times bigger than the sun could soon explode

A dying star 1,000 times bigger than the sun could soon explode  EuronewsA dying star one thousand times bigger than the sun could soon explode  euronews (in English)View Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani