Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STAR TIMES YATEMBELEA NA KUTOA MSAADA WANAFUNZI UHURU MCHANGANYIKO‏

Makamu wa Rais wa kampuni ya StarTimes Tanzania, Bi Zuhura Hanif (kulia) akimkabidhi msaada wa vyakula mbalimbali Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko ya jijini Dar es Salaam, Bi. Anna Mshana (kushoto). Kampuni hiyo ilitembelea na kutoa msaada wa vyakula kwa wanafunzi wa shule hiyo ambayo ina kitengo kinachofundisha wanafunzi wenye ulemavu. Msanii wa Bongo Flava na balozi mpya wa kampuni ya StarTimes Tanzania,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

STARTIMES YAWAPIGA TAFU WANAFUNZI UHURU MCHANGANYIKO

Makamu wa Rais wa kampuni ya StarTimes Tanzania, Bi Zuhura Hanif (kulia) akimkabidhi msaada wa vyakula mbalimbali Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko ya jijini Dar es Salaam, Bi. Anna Mshana (kushoto). Kampuni hiyo ilitembelea na kutoa msaada wa vyakula kwa wanafunzi wa shule hiyo ambayo ina kitengo kinachofundisha wanafunzi wenye ulemavu. Msanii wa Bongo Flava na balozi mpya wa kampuni ya StarTimes Tanzania,...

 

10 years ago

Michuzi

TBL YAKABIDHI MSAADA WA KISIMA CHA MAJI SHULE YA UHURU MCHANGANYIKO DAR

 Ofisa Elimu Taaluma Manispaa ya Ilala, Rehema Msogoloni (wa pili kulia) akisaidiana na Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (wa pili kushoto), kufunua kitambaa ikiwa ni ishara ya makabidhiano ya kisima cha maji kilichojengwa kwa msaada wa TBL katika Shule ya Uhuru Mchanganyiko, Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Winners iliyosimamia ujenzi huo, Balozi mstaafu Herman Mkwizu na Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Anna Mshana. Wanafunzi...

 

10 years ago

Michuzi

UHURU MARATHON 2014 YADHAMINIWA NA STAR TIMES

Mratibu wa Uhurumarathon Innocent Melleck akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam wakati akielezea juu ya udhamini wa kampuni ya startimes kudhamini kwa kutoa matangazo na vifaa vyenye Zaidi ya shilingi milioni nne na laki tano.Kushoto kwake ni meneja huduma kwa wateja wa startimes Jackson Ngowi

 

10 years ago

Michuzi

KIPINDI CHA MASKANI YA TIMES FM WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MSAADA KATIKA HOSPITALI YA MWANAYAMALA, DAR

Mkurugenzi Mtendaji wa Times Radio Fm, Mr. Rehure Nyaulawa (kushoto) akimkabidhi msaada wa mashuka Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mwananyamala Dk, Sophinias Ngonyani (kulia) mara baada ya Timu nzima ya Kipindi cha Maskani kilipopiga hodi hospitalini hapo kutoa misaada ya mashuka yapatayo 200 kwa ajili wodi ya akina mama na watoto. Msaada huo ilikuwa ni kuunga mkono maadhimisho ya wanawake duniani inayoadhimishwa leo Machi 8, duniani kote. Wanaoshuhudia ni Mbunge wa Kinondoni Mhe. Idd...

 

11 years ago

AllAfrica.Com

Handicapped of Dar's Uhuru Mchanganyiko Prove Their Potential


Handicapped of Dar's Uhuru Mchanganyiko Prove Their Potential
AllAfrica.com
A DRAMATIC performance with drums and songs by disabled schoolchildren of Uhuru Mchanganyiko Primary School in Dar es Salaam has so impressed the government, prompting it to reconsider its earlier decision to streamline its offices by laying off some ...

 

10 years ago

Vijimambo

MAJAJI WA BONGO STAR SEARCH WATEMBELEA KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA CHAKUWAMA NA KUTOA MSAADA

Majaji wa Bongo Star Search kuelekea msimu wa nane wa BSS2015 wamejumuika na watoto Yatima wa kituo cha Chakuwama kilichopo eneo la Mwenge jijini Dar es Salaam na kula Iftaar na watoto hao kipindi hiki cha mfungo wa Ramadn na kutoa misaada mbali mbali.Kituo hicho ambacho kina jumla ya watoto yatima 100 kuanzia wachanga mpaka miaka 16 na wahudumu 10. Huduma ya kuchukua Iftaar tayari kwa kufuturu ikiendelea.
 Jaji kiongozi wa mashindano ya kusaka vipaji vya muziki, maarufu BSS, Rita Poulsen...

 

10 years ago

GPL

KIPINDI CHA MBONI SHOW CHAAZIMISHA MIAKA MITATU KWA KUTOA MSAADA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI, DAR‏

 Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba akipongezwa meneja wa Jengo la Wazazi, Sister Amina Mwakuluzo kwa moyo aliyouonyesha. Kila mwaka Kipindi cha Mboni huwa kinaadhimisha kwa kutoa msaada sehemu mbali mbali ikiwa ni mpango wake wa kurudisha fadhira kwa jamii ambapo mwaka huu aliungwa mkono na PSPF, Nakiete Pharmacy, Fadhaget Sanitarium Clinic pamoja Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.  Mkurugenzi wa Mboni Show,...

 

9 years ago

Habarileo

Star Times yadhamini FDL

KAMPUNI ya Star Times imeingia mkataba wa miaka mitatu na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ajili ya kudhamini Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara wenye thamani ya Sh milioni 900.

 

9 years ago

Mwananchi

Hongera Star Times kudhamini ligi, ila...

Ni dhahiri kuwa hatimaye Ligi Daraja la Kwanza iliyoanza wiki moja iliyopita imetimiza ndoto yake kwa kupata msukumo wa kipekee ambao haujapata kuonekana baada ya kudhaminiwa na Kampuni ya Star Times.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani