Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ushirikina Uhuru Marathon

MBIO za Uhuru Marathon msimu wa pili zilizofanyika jana kwenye viwanja vya Leaders Club, kwa kiasi fulani zilitiwa dosari kutokana na baadhi ya wanariadha kushutumiana kwa mambo ya kishirikina. Tukio...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

YALIYOJIRI LEO UHURU MARATHON

Bendi ya jeshi la polisi ikitumbuiza. Wageni rasmi (kutoka kushoto) Mwenyekiti mstaafu wa BMT, Kanali Idd Kipingu, Mkurugenzi Msaidizi Wizara ya Habari na Michezo, Juliana yasoda, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangala,  Mratibu wa Uhuru Marathon, Innocent Meleck. Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha,…

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

TheCitizen

All set for 2014 Uhuru Marathon

A host of athletes, including elite runners from various countries across the world, are expected to compete in the fourth edition of Uhuru Marathon set for today in Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Uhuru Marathon kivumbi leo

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ataongoza wabunge 84 katika mbio za Uhuru Marathon zitakazofanyika leo kwenye Viwanja wa Leaders Club

 

10 years ago

Daily News

Uhuru Marathon set for Dec 7


Uhuru Marathon set for Dec 7
Daily News
THE second edition of Uhuru Marathon is set for December 7, this year, in Dar es Salaam. Speaking at the launch of the marathon in the city on Tuesday, Deputy Permanent Secretary in the Ministry of Information, Youth, Culture and Sports, Prof. Elisante Ole ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK kubariki Uhuru Marathon leo

p>MBIO za Uhuru Marathon 2013 zinatimua vumbi leo huku mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Rais Jakaya Kikwete. Mbio hizo za Km 42, Km 21, Km 5 na Km 3 zitaanzia viwanja...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtanzania ang’ara Uhuru Marathon

Dar es Salaam. Mwanariadha, Jacqueline Juma alipeperusha vema bendera ya Tanzania jana kwenye mbio za Uhuru Marathon baada ya kutwaa medali ya dhahabu katika nusu marathon (km 21).

 

10 years ago

GPL

MBIO ZA UHURU MARATHON ZAZINDULIWA LEO

Kutoka kushoto ni Zainabu Mbino (M/Kiti Riadha Dar), Naibu Katibu wa Chama cha Riadha Tanzania (RT) Ombeni Zavara, mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo, Elisante Ole  Gabriel na Mratibu wa mashindano ya Uhuru Marathon, na Inocent Melleck. Mgeni Rasmi wa uzinduzi wa mbio za Uhuru Marathon, Mh. Elisante ole Gabriel akiongea na waandishi wa habari(… ...

 

10 years ago

Michuzi

Chibuku Super yadhamini Uhuru Marathon 2014

Mratibu wa Mbio za Uhuru Marathon,Innocent Melleck (kulia) akizungumza na waandishi wa habari katika dhifa ya kukabidhiwa hundi ya shilingi milioni sita kwaajili ya udhamini wa mbio hizo,ambapo wamedhamini mbio za km 5. kushoto ni meneja usambazaji na mauzo wa Darbrew,Fred Kazindogo.
KAMPUNI ya Bia za asili ya Darbrew (TBL) kupitia bia yake ya asili ya Chibuku super imetangaza kudhamini mashindano ya mbio ndefu za Uhuru ‘Uhuru Marathon’ kwa kiasi cha Sh.  milioni 6.
Akitangaza udhamini huo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani