Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dhamana ya vigogo TRA Sh2.16 bilioni

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa masharti magumu ya dhamana kwa vigogo watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kati ya washtakiwa wanane wa kesi ya uhujumu uchumi, kutokana na sakata la makontena yaliyoondolewa katika Bandari Kavu ya Azam bila kulipa kodi.     

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Dhamana ya vigogo TRA Sh bilioni 7.8

Pg 2Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imeridhia kutoa dhamana kwa watuhumiwa watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kuwataka kila mmoja kutoa fedha taslimu Sh bilioni 2.6.

Akisoma uamuzi huo jana, Jaji Winfrida Koroso, aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni Tiagi Masamaki (56) ambaye ni Kamishna wa Forodha wa mamlaka hiyo, Burton Mponezya (51) na Habibu Mponezya (45) ambaye ni Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja.

Alisema kabla ya kutoa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ikungi wakusanya Sh2.9 bilioni

Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi mkoani Singida imekusanya Sh2.9 bilioni kutoka katika vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, kati ya Julai na Septemba 30 mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Kashfa ya Sh2 bilioni yaibuliwa Wizara ya Afya

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imeingia katika kashfa wilayani hapa baada ya kutoa Sh2 bilioni kwa mkandarasi aliyepewa zabuni ya ujenzi wa vituo vya afya na zahanati, lakini akavitelekeza bila kumalizia uje

 

10 years ago

Mwananchi

Vyama vya ushirika vyapewa mkopo Sh2 bilioni

Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Wilaya ya Mbinga, limetoa mkopo wa Sh 2 bilioni kwa vyama vinne vya ushirika ili viweze kukusanyia kahawa kwa wanachama wake ambao ni wakulima.

 

9 years ago

Mwananchi

Washtakiwa TRA wapata dhamana

Washtakiwa wanne katika kesi ya uhujumu uchumi na kuisababishia hasara Serikali ya Sh 12.7 bilioni katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wamepata dhamana na kufanya idadi ya waliopata dhamana kufikia saba.

 

9 years ago

Habarileo

Mtikisiko vigogo TRA

RAIS John Magufuli amemsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Rished Bade, muda mfupi baada ya ziara ya kushitukiza ya Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa iliyofanyika jana.

 

9 years ago

MillardAyo

Ziara ya LOWASSA, Mchungaji, mkewe wafanya ukatili, dhamana ya vigogo wa TRA…#MAGAZETINI

MWANANCHI Aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Edward Lowassa, anatarajia kufanya mkutano wa hadhara kesho jijini Tanga, ikiwa ni sehemu ya ziara ya kuwashukuru Watanzania waliompigia kura wakati wa uchaguzi mkuu. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana […]

The post Ziara ya LOWASSA, Mchungaji, mkewe wafanya ukatili, dhamana ya vigogo wa TRA…#MAGAZETINI appeared first on...

 

10 years ago

Mtanzania

Escrow yauma vigogo BoT, TRA

Pg 1Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MKURUGENZI wa Fedha wa Benki Kuu, Julius Angello, Meneja wa Misamaha ya Kodi wa TRA, Kyabukoba Mutabingwa na Mwanasheria Mwandamizi wa Tanesco, Steven Urassa wamepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kupokea rushwa ya zaidi ya Sh bilioni mbili kutoka katika Akaunti ya Tegeta Escrow.
Washtakiwa hao walipandishwa jana kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya mahakimu wawili tofauti na kusomewa mashtaka na Wakili wa Serikali kutoka Taasisi ya Kuzuia na...

 

9 years ago

Mwananchi

Vigogo wa TRA kesi ya makontena nje

Hatimaye vigogo watatu wa Mamlaka ya Mapato (TRA) wanaokabiliwa na kesi ya uhujujmu uchumi kutokana na sakata la upotevu wa makotena 329 kutoka bandari kavu ya Azam, wamerejea uraiani baada ya kuachiwa kwa dhamana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani