Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Breaking News! Wananchi wa Yombo jijini Dar “wakamua jipu” wakusanya taka watupa ofisi ya Mtendaji!

569e188b-8fc3-4f69-9f09-029f69de67d0

Takataka zinavyoonekana mbele ya ofisi za Afisa Mtendaji wa Mtaa wa Yombo baada ya Wananchi masaa machache yaliyopita kuamua kwenda hapo na kutupaa taka hizo kwa kile walichokieleza kuwa, Mtendaji huyo kushindwa kuzoa taka licha ya wananchi kulipa pesa za ukusanyaji wake. (Picha na  JM wa Modewjiblog-Yombo).

Katika hali isiliyo ya kawaida,  wananchi wa Yombo wameamua kuchukua hatua ya kukusanya takataaka zao zilizokuwa pembeni mwa nyumba zao na kisha kwenda kuzitupa mbele ya ofisi ya Afisa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Breaking News!!Wananchi wa Yombo jijini Dar “wakamua jipu” wakusanya taka watupa ofisi ya Mtendaji!!

569e188b-8fc3-4f69-9f09-029f69de67d0

Takataka zinavyoonekana mbele ya ofisi za Afisa Mtendaji wa Mtaa wa Yombo baada ya Wananchi masaa machache yaliyopita kuamua kwenda hapo na kutupaa taka hizo kwa kile walichokieleza kuwa, Mtendaji huyo kushindwa kuzoa taka licha ya wananchi kulipa pesa za ukusanyaji wake. (Picha na  JM wa Modewjiblog-Yombo).

Katika hali isiliyo ya kawaida,  wananchi wa Yombo wameamua kuchukua hatua ya kukusanya takataaka zao zilizokuwa pembeni mwa nyumba zao na kisha kwenda kuzitupa mbele ya ofisi ya Afisa...

 

11 years ago

GPL

LINAH ATOA MISAADA KWA WAJANE, VIKONGWE YOMBO JIJINI DAR

Gari lililombeba Linah likiwasili Yombo-Kilakala.
Linah akielekea walikokuwa wajane.
….Akitembea kwa madaha.…

 

10 years ago

GPL

APIGWA RISASI ASUBUHI YA LEO, YOMBO VITUKA JIJINI DAR ES SALAAM!

Mwili wa marehemu aliyefahamika kwa jina la Betty baada ya kupigwa risasi asubuhi ya leo, Yombo Vituka, Temeke  jijini Dar es Salaam akiwa kwenye gari aina ya Toyota Pick Up ya Tunu Security na watu waliokuwa na bodaboda.…

 

10 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: MKUTANO WA PROF. LIPUMBA WAHAIRISHWA BAADA YA WANACHAMA KUZINGIRA OFISI YA CHAMA HICHO

Ilikuwa leo Mwenyekiti wa CUF Prof. Ibrahim azungumze na Wanahabari asubuhi hii ila mkutano huo umehairishwa hadi siku nyingine tena. Wananchi wa chama cha wananchi CUF wamezingira ofisi za chama hicho wakiongozwa na wazee wakitaka kujua hatima ya wenyekiti wao Prof.Ibrahim Lipumba aliyedawai kutaka kujiuzulu.Magdalena Sakaya ameulizwa Prof. Lipumba alitaka kuzungumza nini na akajibu wao hawajui kitu alichotaka kuwaambia wananchi Sababu kubwa ya kusitishwa mkutano, Magdalena amesema Wazee wa...

 

10 years ago

GPL

WANANCHI WAGOMA KULIPA USHURU KWASABABU YA CHEMBA YA MAJI TAKA – AFRIKA SANA DAR

Chemba iliyowazi kwa muda mrefu maeneo ya Afrika sana.…

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI WA UTURUKI ATEMBELEA OFISI YA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS, MUUNGANO NA MAZINGIRA JIJINI DAR LEO.

 Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira , January Makamba akisisitiza jambo kwa Balozi wa Uturuki Ms.Yasemin Eralp,alipomtembelea Ofisini kwake Mapema hii leo kwa ajili  ya utambulisho pamoja na kujadili mambo Mengine yanayohusu Mahusiano kati ya Tanzania na Uturuki.
 Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira  Mh .January Makamba akisisitiza jambo kwa Balozi wa Uturuki Ms.Yasemin Eralp,alipomtembelea Ofisini kwake Mapema hii leo kwa ajili  ya...

 

9 years ago

Global Publishers

Breaking News: Mawaziri waliobaki waapishwa Ikulu, Dar!

BREAKINGNEWS3Magufuli3 (1)Rais Dkt. John Pombe Magufuli

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Dkt. John Pombe Magufuli leo amewaapisha mawaziri na naibu waziri, Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais Magufuli aliwateua mawaziri na naibu waziri hao Desemba 23 ili kukamilisha idadi kwenye Baraza la Mawaziri.

Walioapishwa leo ni

Prof. Jumanne Maghembe -Waziri wa Maliasili na Utalii. Dkt. Philip Mpango – Waziri wa Fedha na Mipango (Ni baada ya kumteua kuwa Mbunge). Eng. Gerson Lwenge – Waziri wa Maji na Umwagiliaji. Dkt. Joyce...

 

9 years ago

Global Publishers

Breaking News: Rais Magufuli awaapisha Makatibu Wakuu, Ikulu – Dar

BREAKINGNEWS3Rais John Pombe Magufuli asubuhi hii kwenye Ikulu jijini  Dar es Salaam, anawaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu wa wizara mbalimbali aliowateua juzi Desemba 30.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani