Wizara ya Kilimo yatakiwa kukusanya bilioni 3.1/-
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeiagiza Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, kuhakikisha inakusanya Sh bilioni 3.1 zilizotumika kununulia mbolea ya Minjingu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 Mar
Gairo kukusanya bilioni 17/-
HALMASHAURI ya wilaya ya Gairo inatarajia kukusanya Sh bilioni 18.6 kutoka katika vyanzo mbalimbali vikiwemo mapato ya ndani katika kipindi cha bajeti ya mwaka wa fedha 2015/16.
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Kilombero kukusanya 48 bilioni
10 years ago
Habarileo19 Nov
TRA yashindwa kukusanya bilioni 40/-
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Mwanza imeshindwa kufikia malengo yake ya kukusanya mapato Sh bilioni 40 katika kipindi cha Julai hadi Oktoba, mwaka huu kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za ukwepaji kodi.
11 years ago
Michuzi18 Jun
10 years ago
Habarileo15 Nov
Wizara ya afya yatakiwa kushirikisha sekta binafsi
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameitaka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, ipanue wigo wa utoaji huduma za msingi kwa kuishirikisha zaidi sekta binafsi nchini.
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
AECF yapokea Bilioni 17 kuwezesha shindano la kilimo cha biashara
Mkurugenzi wa Mfuko wa Sekta Binafsi AECF, Hugh Scott akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo wakati akizungumzia shindano litakaloshirikisha kampuni za Tanzania zinazojishughulisha na shughuli za kilimo na biashara ambalo litafanyika hapa nchini, shirika hilo linalojishughulisha na mikopo ya shughuli za kilimo na biashara hapa nchini Tanzania.
Mkuu wa Huduma za Shirika la AECF, Bw.Sam Sang’ang’a akizungumzia kuhusu mashindao yatakavyofanyika katika...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JLYvlMRM54o/UyF3f5VKEgI/AAAAAAAFTVw/PGu15STOuZY/s72-c/01.jpg)
Serikali ya Ubelgiji yaipa Tanzania msaada wa sh. bilioni 40 kusaidia sekta ya kilimo na maji
![](http://1.bp.blogspot.com/-JLYvlMRM54o/UyF3f5VKEgI/AAAAAAAFTVw/PGu15STOuZY/s1600/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8bzaKxCSYFY/UyF3hT3JE7I/AAAAAAAFTV4/fqBiOTdSFOk/s1600/02+(1).jpg)
11 years ago
Habarileo12 May
Bajeti ya Wizara ya Kilimo yapita
PAMOJA na wabunge kuchachamalia makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika kwa kuondoa shilingi mara kadhaa, bajeti hiyo ilipita pamoja na maboresho.
11 years ago
Dewji Blog08 May
Serikali ya Tanzania yasaini msaada wa zaidi ya Sh. Bilioni 134 kusaidia sekta ya kilimo na usafirishaji
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kulia) akisaini mkataba wa msaada wa sh. Bilioni 134 kwa niaba ya Serikali ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Balozi EU nchini Filiberto Ceriani Sebregondi.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kulia) akibadilishana hati ya mkataba wa msaada wa sh. Bilioni 134 waliosaini kwa niaba ya Serikali ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Balozi EU nchini Filiberto Ceriani Sebregondi.(Picha na Wizara ya...