Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali ya Ubelgiji yaipa Tanzania msaada wa sh. bilioni 40 kusaidia sekta ya kilimo na maji

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwalile (kulia) akisaini mkataba wa msaada ambao serikali ya Ubelgiji imetoa Euro milioni 20 sawa na sh.bilioni 40 za Kitanzania kuisaidia Tanzania. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Maendeleo na Ushirikiano Peter Moors akimwakilisha Waziri wa Ushirikiano kwa niaba ya Serikali ya Ubelgiji hivi karibuni jijini Dar es salaam. Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwalile (kulia) kwa niaba ya serikali ya Tanzania...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Serikali ya Tanzania yasaini msaada wa zaidi ya Sh. Bilioni 134 kusaidia sekta ya kilimo na usafirishaji

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kulia) akisaini mkataba wa msaada wa sh. Bilioni 134 kwa niaba ya Serikali ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Balozi EU nchini Filberto Sebregond. Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kulia) akibadilishana hati ya mkataba wa msaada wa sh. Bilioni 134 waliosaini kwa niaba ya Serikali ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Balozi EU nchini Filberto Sebregond. (Picha na Wizara ya Fedha)...

 

11 years ago

Dewji Blog

Serikali ya Tanzania yasaini msaada wa zaidi ya Sh. Bilioni 134 kusaidia sekta ya kilimo na usafirishaji

01

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kulia) akisaini mkataba wa msaada wa sh. Bilioni 134 kwa niaba ya Serikali ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Balozi EU nchini Filiberto Ceriani Sebregondi.

02

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kulia) akibadilishana hati ya mkataba wa msaada wa sh. Bilioni 134 waliosaini kwa niaba ya Serikali ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Balozi EU nchini Filiberto Ceriani Sebregondi.(Picha na Wizara ya...

 

9 years ago

Michuzi

Ujerumani yaipatia Serikali ya Tanzania Sh. Bilioni 39.1 kusaidia sekta ya afya, maji na maliasili.

Na Jenikisa Ndile-MAELEZO Serikali ya Tanzania na Ujerumani zimetiliana saini mikataba miwili ya misaada yenye thamani ya jumla ya Euro milioni 17 ambazo ni sawa na Tsh. Bilioni 39.1 kusaidia sekta ya afya, maji na maliasili.  Makubaliano hayo yamesainiwa jijini Dar es salaam kati ya Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile kwa niaba ya Serikali ya Tanzania na Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania Egon Kochanke ili kuleta mafanikio na maendeleo katika.  Aidha, Dkt. Likwelile...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ubelgiji yaipa Tanzania bil. 15/-

SERIKALI ya Tanzania imepokea msaada wa sh bilioni 15 kutoka nchini Ubelgiji wenye lengo la kusaidia katika nyanja mbalimbali hasa katika sekta za kilimo, maji na maliasili. Akizungumza na waandishi...

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA YAPATA BILIONI 24.1 TOKA JAPAN KUSAIDIA BAJETI YA SERIKALI

Wakati wizara ya fedha ikiendelea na majadiliano ya Bajeti ya Serikali mjini Dodoma, Serikali ya Japan imetoa kiasi cha Yen za Kijapani bilioni 1.5 ambazo ni sawa na shilingi bilioni 24.1 za kitanzania kutoka Serikali ya Japani kwa ajili ya shughuli za maendeleo hapa nchini.   Akizungumza katika hafla hiyo ya kutiliana saini, Waziri Mkuya aliishukuru Serikali ya Japani kwa kuwa na ushirikiano mzuri na Tanzania.  “Mkopo huu utachangia bajeti ya serikali ya mwaka wa fedha wa 2014/2015, na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Shirika la Helvetas Swiss Intercooperation Tanzania lashauri uvunaji wa maji ya mvua kusaidia kilimo cha umwagiliaji Mkoani Singida

IMG_1760 (1)

Afisa tathimini wa shirika lisilo la kiserikali la Helvetas Tanzania, Shoma Nangale, akichangia ajenda zilizokuwa zinatolewa kwenye kikao cha kamati ya maendeleo (RCC) mkoa wa Singida kilichofanyika juzi mjini hapa.Shoma ametoa wito kwa halmashauri za wilaya na manispaa, kuweka mikakati ya kuvuna maji ya mvua kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji cha mboga mboga.(Picha  na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

Halmashauri za wilaya na manispaa mkoani Singida zimehimizwa kuweka mikakati...

 

10 years ago

Mwananchi

China sasa kuendelea kusaidia sekta ya kilimo

Serikali ya China imeahidi kuendelea kutoa ufadhili na utaalamu katika sekta ya kilimo, ili kuongeza uzalishaji wa mazao utakao saidia kuongeza pato la wakulima wadogo na taifa.

 

5 years ago

Michuzi

SEKTA BINAFSI YACHANGIA SERIKALI BILIONI 2.1 KWA AJILI YA KUBORESHA SEKTA YA AFYA


Na. WAMJW-DSM

Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepokea kiasi cha shilingi bilioni 2.1 kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini kutoka kwa wadau wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF).

Akiongea wakati wa makabidhiano hayo Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi ameishukuru TPSF kwa uratibu wao kwa sekta binafsi kuchangia vifaa tiba hivyo ili vituo vya afya kuwa na vifaa muhimu vya kutolea...

 

10 years ago

Habarileo

Kuwait yaipa Tanzania bil. 56/- za maji Same, Mwanga

SERIKALI ya Kuwait kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Uchumi wa nchi hiyo, imetoa Sh bilioni 56.1 zitakazowezesha kusaidia katika mradi mkubwa wa maji katika wilaya za Same na Mwanga mkoani Kilimanjaro.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani