Ubelgiji yaipa Tanzania bil. 15/-
SERIKALI ya Tanzania imepokea msaada wa sh bilioni 15 kutoka nchini Ubelgiji wenye lengo la kusaidia katika nyanja mbalimbali hasa katika sekta za kilimo, maji na maliasili. Akizungumza na waandishi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Oct
Kuwait yaipa Tanzania bil. 56/- za maji Same, Mwanga
SERIKALI ya Kuwait kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Uchumi wa nchi hiyo, imetoa Sh bilioni 56.1 zitakazowezesha kusaidia katika mradi mkubwa wa maji katika wilaya za Same na Mwanga mkoani Kilimanjaro.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JLYvlMRM54o/UyF3f5VKEgI/AAAAAAAFTVw/PGu15STOuZY/s72-c/01.jpg)
Serikali ya Ubelgiji yaipa Tanzania msaada wa sh. bilioni 40 kusaidia sekta ya kilimo na maji
![](http://1.bp.blogspot.com/-JLYvlMRM54o/UyF3f5VKEgI/AAAAAAAFTVw/PGu15STOuZY/s1600/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8bzaKxCSYFY/UyF3hT3JE7I/AAAAAAAFTV4/fqBiOTdSFOk/s1600/02+(1).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Aug
Sweden yaipa Zanzibar bil.11/-
SERIKALI ya Sweden imetiliana saini mkataba wa sh. bilioni 11na Serikali ya Zanzibar kwa ajili ya kuisaidia miradi ya maendeleo ikiwemo nishati. Mkataba huo ulisainiwa na Katibu mkuu wa Wizara...
11 years ago
Habarileo12 Mar
Ubelgiji yaipatia Serikali bil.40/-
SERIKALI imepokea msaada wa Sh bilioni 40 kutoka Serikali ya Ubelgiji kusaidia sekta ya kilimo na maji.
11 years ago
MichuziBALOZI WA TANZANIA UBELGIJI AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI LIEGE - UBELGIJI
11 years ago
Mwananchi06 May
EU yaipa Tanzania Sh1.4 trilioni
11 years ago
Mwananchi13 Mar
WB yaipa somo la gesi Tanzania
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Iran yaipa Tanzania somo la uchumi
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UINCzroZiAs/VWV398DxbHI/AAAAAAAHaDc/Qv--SZeJt4s/s72-c/index.jpg)
CAF YAIPA TANZANIA UENYEJI FAINALI ZA U17
![](http://3.bp.blogspot.com/-UINCzroZiAs/VWV398DxbHI/AAAAAAAHaDc/Qv--SZeJt4s/s1600/index.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika -CAF leo hii limeipa Tanzania uenyeji wa fainali za michuano ya Afrika ya vijana umri chini ya miaka 17 mwaka 2019.
Uenyeji huu ni hatua muhimu sana kwa Tanzania katika kukuza soka la vijana na kwa hatua hii Tanzania itacheza moja kwa moja fainali hizi.
Katika kuandaa kikosi bora cha kushiriki fainali hizi Tanzania, mwezi Juni mwaka huu TFF itaandaa mashindano ya Taifa ya vijana umri chini ya miaka 13 na wachezaji bora wa mashindano haya...