Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ubelgiji yaipa Tanzania bil. 15/-

SERIKALI ya Tanzania imepokea msaada wa sh bilioni 15 kutoka nchini Ubelgiji wenye lengo la kusaidia katika nyanja mbalimbali hasa katika sekta za kilimo, maji na maliasili. Akizungumza na waandishi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kuwait yaipa Tanzania bil. 56/- za maji Same, Mwanga

SERIKALI ya Kuwait kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Uchumi wa nchi hiyo, imetoa Sh bilioni 56.1 zitakazowezesha kusaidia katika mradi mkubwa wa maji katika wilaya za Same na Mwanga mkoani Kilimanjaro.

 

11 years ago

Michuzi

Serikali ya Ubelgiji yaipa Tanzania msaada wa sh. bilioni 40 kusaidia sekta ya kilimo na maji

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwalile (kulia) akisaini mkataba wa msaada ambao serikali ya Ubelgiji imetoa Euro milioni 20 sawa na sh.bilioni 40 za Kitanzania kuisaidia Tanzania. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Maendeleo na Ushirikiano Peter Moors akimwakilisha Waziri wa Ushirikiano kwa niaba ya Serikali ya Ubelgiji hivi karibuni jijini Dar es salaam. Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwalile (kulia) kwa niaba ya serikali ya Tanzania...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sweden yaipa Zanzibar bil.11/-

SERIKALI ya Sweden imetiliana saini mkataba wa sh. bilioni 11na Serikali ya Zanzibar kwa ajili ya kuisaidia miradi ya maendeleo ikiwemo nishati.  Mkataba huo ulisainiwa na Katibu mkuu wa Wizara...

 

11 years ago

Habarileo

Ubelgiji yaipatia Serikali bil.40/-

SERIKALI imepokea msaada wa Sh bilioni 40 kutoka Serikali ya Ubelgiji kusaidia sekta ya kilimo na maji.

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI WA TANZANIA UBELGIJI AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI LIEGE - UBELGIJI

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye tai) akiwa katika picha ya pamoja na Watanzania wanaoishi Ubelgiji baada ya kumaliza mazungumzo nao leo Liege - Ubelgiji.

 

11 years ago

Mwananchi

EU yaipa Tanzania Sh1.4 trilioni

Umoja wa Ulaya (EU), utaipatia Tanzania msaada wa Euro 626 milioni sawa na Sh1.4 trilioni kwa ajili ya kuboresha miradi ya maendeleo na utawala bora katika kipindi cha miaka sita.

 

11 years ago

Mwananchi

WB yaipa somo la gesi Tanzania

Benki ya Dunia imetoa somo la gesi kwa Watanzania kwa kuwataka kuzalisha rasilimali hiyo kwa viwango vya kimataifa huku kampuni zitakazoisambaza zukishauriwa kuwa na uwezo wa kutosha.

 

11 years ago

Mwananchi

Iran yaipa Tanzania somo la uchumi

>Tanzania imetakiwa kuimarisha kilimo cha mazao ya chakula na biashara kwa kuwa ndiyo yanayoweza kuisaidia Tanzania kupiga hatua za maendeleo na si kuangalia ugunduzi wa gesi, mafuta na urani.

 

10 years ago

Michuzi

CAF YAIPA TANZANIA UENYEJI FAINALI ZA U17


Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika -CAF leo hii limeipa Tanzania uenyeji wa fainali za michuano ya Afrika ya vijana umri chini ya miaka 17 mwaka 2019.
Uenyeji huu ni hatua muhimu sana kwa Tanzania katika kukuza soka la vijana na kwa hatua hii Tanzania itacheza moja kwa moja fainali hizi. 
Katika kuandaa kikosi bora cha kushiriki fainali hizi Tanzania, mwezi Juni mwaka huu TFF itaandaa mashindano ya Taifa ya vijana umri chini ya miaka 13 na wachezaji bora wa mashindano haya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani