Iran yaipa Tanzania somo la uchumi
>Tanzania imetakiwa kuimarisha kilimo cha mazao ya chakula na biashara kwa kuwa ndiyo yanayoweza kuisaidia Tanzania kupiga hatua za maendeleo na si kuangalia ugunduzi wa gesi, mafuta na urani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Mar
WB yaipa somo la gesi Tanzania
10 years ago
Habarileo06 Feb
Tanzania, Iran zasaini mikataba kukuza uchumi
WIZARA ya Mambo ya Nje Tanzania kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran wamesaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kiuchumi.
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
SUMATRA yaipa somo TABOA
BARAZA Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), limetoa wito kwa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Nchini (TABOA) kuhakikisha madereva wanaacha tabia ya kuendesha...
11 years ago
Mwananchi06 May
EU yaipa Tanzania Sh1.4 trilioni
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Ubelgiji yaipa Tanzania bil. 15/-
SERIKALI ya Tanzania imepokea msaada wa sh bilioni 15 kutoka nchini Ubelgiji wenye lengo la kusaidia katika nyanja mbalimbali hasa katika sekta za kilimo, maji na maliasili. Akizungumza na waandishi...
10 years ago
Habarileo14 Oct
Kuwait yaipa Tanzania bil. 56/- za maji Same, Mwanga
SERIKALI ya Kuwait kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Uchumi wa nchi hiyo, imetoa Sh bilioni 56.1 zitakazowezesha kusaidia katika mradi mkubwa wa maji katika wilaya za Same na Mwanga mkoani Kilimanjaro.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UINCzroZiAs/VWV398DxbHI/AAAAAAAHaDc/Qv--SZeJt4s/s72-c/index.jpg)
CAF YAIPA TANZANIA UENYEJI FAINALI ZA U17
![](http://3.bp.blogspot.com/-UINCzroZiAs/VWV398DxbHI/AAAAAAAHaDc/Qv--SZeJt4s/s1600/index.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika -CAF leo hii limeipa Tanzania uenyeji wa fainali za michuano ya Afrika ya vijana umri chini ya miaka 17 mwaka 2019.
Uenyeji huu ni hatua muhimu sana kwa Tanzania katika kukuza soka la vijana na kwa hatua hii Tanzania itacheza moja kwa moja fainali hizi.
Katika kuandaa kikosi bora cha kushiriki fainali hizi Tanzania, mwezi Juni mwaka huu TFF itaandaa mashindano ya Taifa ya vijana umri chini ya miaka 13 na wachezaji bora wa mashindano haya...
9 years ago
Mtanzania18 Aug
Basata yaipa kibali cha muda Miss Tanzania
JULIET MORI NA LETICIA BWIRE (TUDARCO)
MASHINDANO ya urembo ya Miss Tanzania yaliyofungiwa kwa muda wa miaka miwili yamepata ahueni baada ya Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) kuipa kibali cha muda kampuni inayoendesha shindano hilo, International Agency Limited (LINO).
Basata imetoa kibali hicho cha muda kisichozidi miezi minne kwa ajili ya maandalizi ya awali, ikiwemo kukamilisha usajili wa mawakala katika ngazi zote husika ili kuboresha na kurudisha heshima ya shindano la Miss...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JLYvlMRM54o/UyF3f5VKEgI/AAAAAAAFTVw/PGu15STOuZY/s72-c/01.jpg)
Serikali ya Ubelgiji yaipa Tanzania msaada wa sh. bilioni 40 kusaidia sekta ya kilimo na maji
![](http://1.bp.blogspot.com/-JLYvlMRM54o/UyF3f5VKEgI/AAAAAAAFTVw/PGu15STOuZY/s1600/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8bzaKxCSYFY/UyF3hT3JE7I/AAAAAAAFTV4/fqBiOTdSFOk/s1600/02+(1).jpg)