SHILATU AKAGUA UJENZI NYUMBA YA MWALIMU,WANANCHI WAMSHUKURU RAIS MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-M_2jzKnNuTw/XswXSvaFX1I/AAAAAAALrfo/ISC2MiIJRbYgKc-9y4wqWK5t3Y0DQ6mqACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200525-WA0105.jpg)
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu amekagua ujenzi nyumba ya Mwalimu huku Wakazi wa Kijiji cha Mpunda kilichopo kata ya Michenjele wakimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwajengea nyumba ya kuishi Mwalimu katika shule ya msingi Mpunda.
"Tunamshuru Rais Magufuli kutuletea fedha za kujenga nyumba hii ya Mwalimu. Haijawahi kutokea tangu tupate Uhuru maendeleo haya ya kasi tunayoyaona. Pia tunamshukuru Afisa Tarafa Mihambwe kututembelea mara kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-aTaFecdvwFo/XrY8cRyXQ9I/AAAAAAALphk/TlJusRIOz-QdXkkEQvgMxlFhXR_bhabUwCLcBGAsYHQ/s72-c/3de15645-5431-4ae8-a751-75738d17f5ee.jpg)
WANANCHI DODOMA WAMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUPATA FIDIA KUPISHA UJENZI WA SGR
Wananchi jijini Dodoma wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa kupata fidia baada ya maeneo yao kuwekwa katika orodha ya maeneo yanayopitiwa na mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Morogoro – Dodoma – Singida katika Kata za Ihumwa, Mkonze na Kikuyu Kusini mkoani Dodoma, hivi karibuni Mei 2020.
Zoezi hilo linahusisha fidia za nyumba na viwanja, jumla ya wananchi 2,604 wanatarajiwa kulipwa fidia yenye thamani ya zaidi ya Shilingi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aTaFecdvwFo/XrY8cRyXQ9I/AAAAAAALphk/TlJusRIOz-QdXkkEQvgMxlFhXR_bhabUwCLcBGAsYHQ/s72-c/3de15645-5431-4ae8-a751-75738d17f5ee.jpg)
WANANCHI DODOMA WAMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUPATA FIDIA KUPISHA UJENZI WA SGR
Zoezi hilo linahusisha fidia za nyumba na viwanja, jumla ya wananchi 2,604 wanatarajiwa kulipwa fidia yenye thamani ya zaidi ya Shilingi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb14s6cNTB0D0X-qvWaZtHfh3RlG1fVuvMHXuBQUTnNIPGDHSN-Tx5sfDdBt7lpG3rQDUBfuH06frHve-pNTsrmG/3DKMAGUFULI1.jpg)
DK. MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA NYUMBA 851
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4sx_K5iTzTw/Xm9DUVMhYeI/AAAAAAAC8gw/2AouE5bmZVgwG87BydYxr1lGRT1jxavMwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA DARAJA LA JUU UBUNGO NA BARABARA, AONGEA NA KUSIKIL|IZA KERO ZA WANANCHI MBEZI MWISHO, MLOGANZILA, MLANDIZI,CHALINZE
![](https://1.bp.blogspot.com/-4sx_K5iTzTw/Xm9DUVMhYeI/AAAAAAAC8gw/2AouE5bmZVgwG87BydYxr1lGRT1jxavMwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CPPTFg0190Q/Xm9DUa7ZR7I/AAAAAAAC8g0/qD2088gCYhw20uVxkxjYtyBMCF-HjqHwgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MSps4ZB6XlM/Xm9DTtifBsI/AAAAAAAC8gs/B8MCzfAO41gxX-Z62qFvSMeSYP4BMU-WwCLcBGAsYHQ/s640/3...jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wEa9UhIk1_c/Xm9DVBx4lfI/AAAAAAAC8g4/hUwjLl8p0pslqFUZMtljMqxYf3paf4pFQCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pt3mu6d4Kqo/UwNluIVh3WI/AAAAAAAFNzo/pGyMBbTkYqE/s72-c/image.jpg)
WAZIRI MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA NYUMBA 851 ZA SERIKALI ZINAZOJENGWA MABWEPANDE JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-pt3mu6d4Kqo/UwNluIVh3WI/AAAAAAAFNzo/pGyMBbTkYqE/s1600/image.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-l58bjwMcWzE/UwNlu4roK9I/AAAAAAAFNzw/3X6Z85sck08/s1600/image_1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-l61KGCNu9F8/UwNlvBvuY-I/AAAAAAAFNz0/Xqn-sOIIPqw/s1600/image_2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tv6bblZXVEo/Xr11_PKr16I/AAAAAAALqPc/QZINf_I7LpsncJDEea2lTd0sRFBVPPyagCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1589462861742.jpg)
SHILATU ASHIRIKI UJENZI OFISI YA KIJIJI WANANCHI WAFURAHIA
Akemea hujuma na tamaa ya posho
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu ameshiriki pamoja na Wananchi kwenye ujenzi ofisi ya Kijiji cha Mwenge A kilichopo kata ya Kitama kwa kumwaga zege jamvi.
Gavana Shilatu alijumuika na Wananchi hao ambao walikuwa na kiu ya siku nyingi ya kupata ofisi ya Kijiji chao na hatimaye limewezekana kwa ushirikiano mkubwa wa Afisa Tarafa huyo.
Gavana Shilatu aliwasisitiza Wananchi kuwa Wazalendo na kuacha tamaa ili malengo ya mradi wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-zO-7nkS0Xoc/XlkvqaDIDvI/AAAAAAACH9Y/Cd-ra3zMIlExj6x7TNe4oa95kYDzia55ACLcBGAsYHQ/s72-c/m%2B%25287%2529.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AKAGUA LEO UJENZI WA MSIKITI UTAKAOKUWA MKUBWA KULIKO YOTE TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zO-7nkS0Xoc/XlkvqaDIDvI/AAAAAAACH9Y/Cd-ra3zMIlExj6x7TNe4oa95kYDzia55ACLcBGAsYHQ/s400/m%2B%25287%2529.jpg)
Ikulu Dar es Salaam
Rais Dk. John Magufuli leo amekagua maendeleo ya ujenzi wa Msikiti wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) unaojengwa Kinondoni Jijini Dar es Salaam ambao utakuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--lN0Ls9kkRs/XtE1SY4nQHI/AAAAAAALr_c/dCpe6xpenA0u9I1Z2bI7YM6GZftTsGIyQCLcBGAsYHQ/s72-c/2-23.jpg)
Rais Magufuli akagua maandalizi ya sherehe za uwekaji jiwe la msingi ujenzi wa Ofisi za Ikulu Chamwino
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 29 Mei, 2020 amekagua maandalizi ya sherehe za uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa Ofisi za Ikulu, Chamwino Mkoani Dodoma zitakazofanyika kesho tarehe 30 Mei, 2020.
Jiwe la msingi la ujenzi wa ofisi hizo litawekwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L1qhpFBXwDE/XmI-Z03NjuI/AAAAAAALhgE/ahNIUppVPtUEIPQOCtIatFBeaaIZ5QiggCLcBGAsYHQ/s72-c/Pic%252Bjpm.gif)
RAIS MAGUFULI ATOA BILLIONI 15 KUMALIZIA UJENZI HOSPITALI YA MWALIMU NYERERE MARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-L1qhpFBXwDE/XmI-Z03NjuI/AAAAAAALhgE/ahNIUppVPtUEIPQOCtIatFBeaaIZ5QiggCLcBGAsYHQ/s640/Pic%252Bjpm.gif)
Haya yamebainika wakati wa ziara ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi katika hospitali hiyo kujionea maendeleo ya ujenzi wake.
Akizungumza mara baada ya...