TARI YACHAGUA VIWANJA VYA NANENANE SIMIYU KUWA KITUO CHA UENEZAJI TEKNOLOJIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lzAolfixqLQ/XumywhpL0VI/AAAAAAALuKo/jYrjgUWKn1k87csz_nmS29IMrEOSi-ubQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-1-7-2048x1365.jpg)
Na Stella Kalinga, Simiyu RS.
Kituo cha utafiti wa kilimo nchini (TARI) kimechagua eneo la viwanja vya maonesho ya nane nane vilivyopo kata ya Nyakabindi wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu kuwa kituo endelevu cha uenezaji wa teknolojia lengo likiwa kuwawezesha wakulima kupata huduma za kilimo kwa mwaka mzima.
Hayo yamebainishwa na Bibi. Mshaghuley Ishika kutoka TARI Dodoma kwenye kikao cha maandalizi nane nane kilichofanyika Juni 15, 2020 kwenye jengo la mkoa wa Simiyu lililopo kwenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-or0u4wm7NKQ/XurQp1GCCbI/AAAAAAAAlJs/D0cs6Ges5Gs75u7x3mxTesRSpVLBNJfewCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-06-18-04h23m09s639.png)
WAZIRI HASUNGA AFUNGUA MAONESHO YA KILIMO BIASHARA 2020 TARI ILONGA, AGUSWA NA KASI YA TEKNOLOJIA KWENYE KITUO
![](https://1.bp.blogspot.com/-or0u4wm7NKQ/XurQp1GCCbI/AAAAAAAAlJs/D0cs6Ges5Gs75u7x3mxTesRSpVLBNJfewCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-18-04h23m09s639.png)
Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga, akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) Taifa, Dk. Yohana Budeba, alipowasili kufungua Maonesho ya Kilimo Biashara 2020 yaliyofanyika kwenye Kijiji cha Majambaa Kata ya Msowero, Kilosa mkoani Morogoro jana. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) Dk. Geofrey Mkamilo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ylq0sqxzIGI/XurQufs8s0I/AAAAAAAAlJw/vKWfdpGP7-gnbGvx6p3ZlkHWY4gjvFieACLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-18-04h24m36s448.png)
Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga, akisalimiana na Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Kilimo TARI Ilonga, Dk.Joel Meliyo...
11 years ago
Michuzi05 Aug
KITUO CHA REDIO 5 NDANI YA VIWANJA VYA 8 8 JIJINI ARUSHA
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Ey6_1jC1e0Hbf1AuiW0N08rsgMhP-WQd0GnzyCNB2vdDbLTowzua9RXkoeCAdXcFM3F9DFny0fvrFuoDIubrF_SCVyXEk_jiaxgtIMLES_SaEJ92TWyIfKVdodKLpVRJrC_DTgsP0lvyENThUQuORmCADqmQbmFllT_4CA=s0-d-e1-ft#https://scontent-b.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/t1.0-9/10533906_787774157941732_6171184658367640784_n.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/bReVNKQ7i5ZtX9GfB0zy-_xoNdWkDORukQjCK5lpux0GULVQlqcUcpVix8AptF8Rq8UOrLfbZbGAF1uEIih0Vl0BNB_uORjlfSRGtrbpDJZe7nKSJNwP85VdcHbQ-tK0b0gvPiRmc4xlpCNnIc7_tpsEfUmOdVvVKbhtMg=s0-d-e1-ft#https://scontent-b.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/t1.0-9/10525863_787774277941720_1649986858832343868_n.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/rtgJMu8No2TzgTR8z_tpeSfOsO2l_a05Up896Ltx6THdjo122MNkXCWZPGMugS8B0FAHxWJXOCfZY32PhTwjgPc41K16rJO9qsia6Rpzh-9fytYZhzTh_x65_IlcRfvlZ90JQgfwDYD1aeucng3u6olF6RovFaGLEc_7ctmF16ehVDalnHkn5DLk-JdwPuFM9rjc-5JUbrXdblLue62vJkp7_qiHowLCvwjvt4ZAfw=s0-d-e1-ft#https://scontent-b.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10348594_787773937941754_1552291046139374602_n.jpg?oh=fc957a7722bfa177821ffde96c402281&oe=543AAD2F)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/oKpWthSsERUkvLc8GWkkzEdsPtLlhR35LzaV8CHhbeVD0jLAQSb4XDQ2Ld6dlARYDOE5mCsAPyws8r4KOqPMCx1k86sMjVb5FHTQaskh1a9GG3kkD5hLs27zOaprlbpnAawWhgYsIgbtZ8pbAbAan6ro-Ut1Vxjo2o7BaQOKsm5cy2jNgNfGf_575T6NsDs=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/t1.0-9/s526x296/10455356_787773727941775_2801812013228693007_n.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Aug
Kituo cha Radio 5 chashinda nafasi ya kwanza maonyesho ya Nanenane Arusha
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Sera Mahusiano na Uratibu Dkt.Mary Nagu akikabidhi kikombe Meneja masoko na mawasiliano Sarah Lazaro Keiya mara baada yakituo cha Radio5 kutangazwa washindi wa kwanza kwa upande wa Radio na wapili katika sekta nzima ya mawasiliano katika kilele cha sherehe za sikukuu ya Wakulima nanenane na maonyesho ya kilimo Kanda ya Kaskazini yaliyofanyika katika uwanja wa maonyeshoThemi Mkoani Arusha(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).
Meneja masoko na...
10 years ago
Mwananchi03 Apr
Tanzania kuwa kituo cha usuluhishi
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Lushoto kuwa kituo cha uzalishaji matunda
SERIKALI imeazimia kuifanya Wilaya ya Lushoto, mkoani Tanga kuwa kituo kikuu cha uzalishaji wa matunda na mbogamboga nchini kutokana na kuzalisha kwa wingi mazao hayo hadi kuuza nje ya nchi....
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya Corona: Kituo cha kudhibiti magonjwa cha AU chaitaka Tanzania kutoa takwimu
9 years ago
Dewji Blog19 Sep
Miaka 17 ya Kituo cha Mazoezi cha Home Gym: kutembelea wodi ya wazazi Kituo cha Afya Sinza Palestina leo Sept 19
Kituo cha Mazoezi cha Home Gym…
Na Andrew Chale, modewjiblog
[Dar es Salaam-Tanzania]- Kuelekea miaka 17 ya tangu kuanzishwa kwa kituo cha Mazoezi cha Home Gym chenye maskani yake Mwenge jijini Dar es Salaam-Tanzania, uongozi wa kituo hicho unatarajia kufanya matukio makuu muhimu ikiwemo kutembelea wodi ya akina mama katika kituo cha Afrya cha Sinza Palestina Jijini.
Akizungumza na modewjiblog, Mkurugenzi wa kituo hicho, Andrew Mangomango amebainisha kuwa, kuelekea shughuli za miaka 17 za...
10 years ago
Habarileo20 Jun
Kituo cha UDOM kuwa na mashine 40 za kusafisha figo
KITUO cha Uchunguzi wa maradhi cha Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kinatarajia kuwa na mashine za kisasa 40 za kusafisha figo pia kitakuwa kituo cha kwanza kubadilisha figo nchini.
11 years ago
Habarileo12 Jul
Kituo cha mabasi Dodoma kuwa nje ya mji
WAZIRI wa Ujenzi Dk John Magufuli ameagiza uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma na Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) kuhamishia kituo kikuu cha mabasi cha Dodoma nje ya mji, ili kudhibiti msongamano wa magari unaochangiwa na kukua kwa haraka kwa mji.